Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,090
- 13,511
Mi jana niliamka mchana na viungo vikawa vinauma hatari na usiku sikulala but leo nimepata nafuu ila tatizo la kutohisi ladha na harufu limeanzaNiliona kama nakufa vile,mwili ukawa kama umepondwa na mawe,
nabanwa ndani kwa ndani macho yanatoa machozi tu,
harufu hata ya chooni sisikii..
mliopitia haka kaupepo poleni naelewa shida zake
Nunua panadol na dawa za malaria, tengeneza juice au chai ya tangawizi mixer limau na unywe kwa siku mara 4. Tafuna sana tangawizi mbichiPolee sana,njia gani umetumia kupona maana hali yangu ni dhohofu
A gni umetumiakuoona
Nyote wenye tatizo hilo na kichwa huwa kinauma kisogoni hasa, nendeni mkacheki blood pressure kwanza ipo vipi
Naumwa sana viungo vya mikono na miguu. Ladha ya chakula imerudi.
Hii tabia ninayo,navaa nguo zaidi ya mara moja,nainusa kama haina arufu ya jasho itarudiwa,ikiwa na harufu ya jasho hata kwa mbali hio ni chafu.Nilipata same issue. Kuanzia leo nimeanza kupata harufu na ladha.
Imenipa shida sana asubuhi kunusa nguo ili nijue kama chafu au safi. Maana me nguo uwa nanusa kwanza ndio navaa. Week izi mbili nikawa natupia tu bila kujua harufu yake.
Fanya mazoezi mzee, otea jua na Maji sana ya moto na chai.
Acha tu mkuu... Mdomo unakuwa kama umepigwa ganzi, kama kidonda ndugu hv.
Sometimes unaweza kumlaum mpishi wa chakula hajatia chumvi kumbe hapana,
Nimewahi kula chapati + maharage wiki 3 mfululizo asubuhi+mchana+usiku maharage yenye pilipili nyingi ndio nilipenda chakula cha namna hii.. sikuwa na hamu ya chakula tofauti na hiki karibu mwezi mzima.
Hiyo ni Corona ..Niliona kama nakufa vile,mwili ukawa kama umepondwa na mawe,
nabanwa ndani kwa ndani macho yanatoa machozi tu,
harufu hata ya chooni sisikii..
mliopitia haka kaupepo poleni naelewa shida zake
Nilijaribu kutafuna hadi pilipili kichaa ndo nikawa nasikia kamuwasho kwa mbaliii, na limao ndo nahisi ladha kwa mbaliii, hii ni baada ya kupitia changamoto zifatazo; kuumwa kichwa kusikoeleweka yaani kichwa kizito tuu, kichomi, mgongo kuuma, misuli, kikohozi, mafua yasiyoeleweka yaani pua haikuziba. Matibabu niliyo tumia.ciproflaxin dozi, orodar,ampiclox dozi, metro dozi, brufen, limao, tangawizi,kitunguu sahumu, juice ya ukwaju, juice ya pera, peasi.
Baada ya kupata nafuu nikabaki na hii dalili chakushangaza leo wamekuja kunyonya choo jirani kila mtu analalamika harufu nawashangaa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh...wanazunguka mbuyu..umetoboa tobo!...Hivi mnajua nyinyi wote mna Corona?
Ila hamjijui?.na kuna watu watafikiri natania..
Kumbe Corona imesambaa hivi?
Mkuu ndo maana jiwe hataki kufunga mikoa maana ugonjwa ushasambaa sana kumbeHivi mnajua nyinyi wote mna Corona?
Ila hamjijui?.na kuna watu watafikiri natania..
Kumbe Corona imesambaa hivi?
Hiyo ni Corona ..
Shukuru Mungu ni mild kwako
Wengine inawaua
Hizo dalili alizozitaja mtoa mada mm nimezipitia zote kwa wiki mbili mfululizo,nikatumia sana tangawizi na limao(juice) ogopa sana kutopata radha ya chakula aisee mm ni mpenzi mkubwa sana wa wali samaki lkn wiki mbili hizi nilikuwa naona Kama matope,nilijilazimisha kufanya jogging km 12 kila siku jioni mpaka nimepona,ajabu nikitoka jogging nikivua nguo tu nahisi baridi Kali mpaka naoga maji ya baridi nakubali hii CORONA inakuja kwa njia nyingi sanaElimu dhidi ya huu ugonjwa wa Corona inapaswa kusambazwa..
Inaonekana umewagusa wengi Sana bila kujua
Elimu dhidi ya huu ugonjwa wa Corona inapaswa kusambazwa..
Inaonekana umewagusa wengi Sana bila kujua
Hizo dalili alizozitaja mtoa mada mm nimezipitia zote kwa wiki mbili mfululizo,nikatumia sana tangawizi na limao(juice) ogopa sana kutopata radha ya chakula aisee mm ni mpenzi mkubwa sana wa wali samaki lkn wiki mbili hizi nilikuwa naona Kama matope,nilijilazimisha kufanya jogging km 12 kila siku jioni mpaka nimepona,ajabu nikitoka jogging nikivua nguo tu nahisi baridi Kali mpaka naoga maji ya baridi nakubali hii CORONA inakuja kwa njia nyingi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Very true mkuu hizi ni dalili za Corona kabisa ila watu wanadhani ni zile dalili za kukohoa na mafua....kwa sasa wengi inakuja kwa kupoteza ladha na harufu plus viungo na homa sometimesHivi mnajua nyinyi wote mna Corona?
Ila hamjijui?.na kuna watu watafikiri natania..
Kumbe Corona imesambaa hivi?