Kupoteza uwezo wa kunusa yaweza kuwa/ni dalili za mwazo za COVID19

Niliona kama nakufa vile,mwili ukawa kama umepondwa na mawe,
nabanwa ndani kwa ndani macho yanatoa machozi tu,
harufu hata ya chooni sisikii..
mliopitia haka kaupepo poleni naelewa shida zake
Mi jana niliamka mchana na viungo vikawa vinauma hatari na usiku sikulala but leo nimepata nafuu ila tatizo la kutohisi ladha na harufu limeanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii tabia ninayo,navaa nguo zaidi ya mara moja,nainusa kama haina arufu ya jasho itarudiwa,ikiwa na harufu ya jasho hata kwa mbali hio ni chafu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu, hukupata constipation kwa aina hii ya mlo??
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Elimu dhidi ya huu ugonjwa wa Corona inapaswa kusambazwa..
Inaonekana umewagusa wengi Sana bila kujua
 
Elimu dhidi ya huu ugonjwa wa Corona inapaswa kusambazwa..
Inaonekana umewagusa wengi Sana bila kujua
Hizo dalili alizozitaja mtoa mada mm nimezipitia zote kwa wiki mbili mfululizo,nikatumia sana tangawizi na limao(juice) ogopa sana kutopata radha ya chakula aisee mm ni mpenzi mkubwa sana wa wali samaki lkn wiki mbili hizi nilikuwa naona Kama matope,nilijilazimisha kufanya jogging km 12 kila siku jioni mpaka nimepona,ajabu nikitoka jogging nikivua nguo tu nahisi baridi Kali mpaka naoga maji ya baridi nakubali hii CORONA inakuja kwa njia nyingi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni corona basi kwa dalili za hawa basi bongo wengi watapona au haina nguvu
Elimu dhidi ya huu ugonjwa wa Corona inapaswa kusambazwa..
Inaonekana umewagusa wengi Sana bila kujua
 
Sasa kama ni hivo si ni kama mafua tu,maana hapa hamna anayeonyesha imemtesa sana kama tunavyosikia inatisha
 
Hii ni dalili ya CORONA KABISA HATA MIMI NDIO INAISHIA ISHIA DAAH CORONA NUX SANA AISEE..


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hivi mnajua nyinyi wote mna Corona?

Ila hamjijui?.na kuna watu watafikiri natania..

Kumbe Corona imesambaa hivi?
Very true mkuu hizi ni dalili za Corona kabisa ila watu wanadhani ni zile dalili za kukohoa na mafua....kwa sasa wengi inakuja kwa kupoteza ladha na harufu plus viungo na homa sometimes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…