womanhood
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 609
- 881
Mi naomba kuuliza hv huu ugonjwa hakuna watu wanaugua tu uko majumbani Hadi wanapona au kupona Hadi hospital? Yani mtu anaumwa baadae ugonjwa unaondoka wenyewe? Maana nilisoma mahali kuwa Kuna nchi Hadi ukishindwa kupumua ndo unawapigia wanakufata,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app