Kupoteza uwezo wa kunusa yaweza kuwa/ni dalili za mwazo za COVID19

Kupoteza uwezo wa kunusa yaweza kuwa/ni dalili za mwazo za COVID19

Ni Kwa vipi Stress zinachangia?
Na Stress zenyewe ni zipi? Za Uchimi,kukosa kazi?...
Soma taratibu Mkuu utanielewa...nimeandika virusi vya Corona vinaathiri kinga ya mwili kama ukimwi unavyoathiri pia (this is the core).

My take: Pamoja na usafi bado tunapaswa kula vizuri ili kuinua kinga zetu za mwili.
Nimeandika pia tuachane na stress siyo kwamba stress inachangia mona kwa moja ila inaweza kuathiri sana mtu na kumfanya kuwa susceptible to any diseases.
Tujadili core issues kwanza.
 
Hili swala limenikuta,japo upande wa taste nipo vzur.
Ila kunusa kumekufa, kama nashindwa kuhisi hata harufu ya spirit hii imeniogopesha.

Ila niko poa tu
Sehemu mbali mbali Duniani kumezuka mijadala ya watu wengi sana wakijadili tatizo la upotevu au ukosefu wa uwezo wa kunusa na kuhisi ladha ya chakula( Loss of taste and smell)

Kwa hapa Tanzania mimi ni mmoja wao na kuna rafiki yangu ni Dkt amenambia amekumbana na kesi nyingi hivi karibuni za wagonjwa wengi kulalamikia tatizo hilo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sehemu mbali mbali Duniani kumezuka mijadala ya watu wengi sana wakijadili tatizo la upotevu au ukosefu wa uwezo wa kunusa na kuhisi ladha ya chakula( Loss of taste and smell)

Kwa hapa Tanzania mimi ni mmoja wao na kuna rafiki yangu ni Dkt amenambia amekumbana na kesi nyingi hivi karibuni za wagonjwa wengi kulalamikia tatizo hilo...
Mkuu vipi hiyo hali imeisha? if yes ulitumia njia gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vitunguu swaumu, tangawizi, castor oil, malimao, asali, apple cider vinega n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera mkuu STUNTER kwa kufikisha 80%. Unaweza kushea namna ulivofanya mchanganyiko wake? Naamini itatusaidia wengi.

So far nimechanganya maji moto + apple cider vinegar + asali ambayo wanasema matumizi ni mara 1 kwa siku, nimeshaipiga io tayari.
 
Kama ni hivyo WAKUU TUMEKWISHA...Mimi Nina mwezi na nusu sasa tangu nirudi NYUMBANI toka FRANCE...nilipotoka sijapimwa chochote,,, na hata hapa AIRPORT HAKUNA NILICHOPIMWA..kibaya zaidi siku nipo NJIANI TRANSIT ADDIS ABABA ,,,NILIJISIKIA VIBAYA SN,,BAADAE HALI IKARUDI KAWAIDA,,,lakini sasa nimepoteza hamu ya kula na Nina MAFUA yasiyokwisha,,,SIJAJUWA TATIZO NINI...
Please, self Isolate... likely ni Corona.. symptoms zinavyokuja huwa hazina formula.. kama umetembelea areas zenye local transmission, especially Europe na una flu like symptoms.. Isolate yourself to protect your loved ones.

Jitibu dalili: maji ya uvugu yenye chumvi kusafisha koo.. Kula vizuri, tumia dawa za mafua (anthistamine). tumia vyakula vya vitamin c kwa wingi.. pumzika

Mimi ni medical personnel, ninajifunza alto through webinars na maandiko ya wenzetu.. kitu ambacho naamini WHO wanahitaji kukiongeza katika kumtambua mgonjwa wa Corona ni hii hali ya kukosa sense of smell and test

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Please, self Isolate... likely ni Corona.. symptoms zinavyokuja huwa hazina formula.. kama umetembelea areas zenye local transmission, especially Europe na una flu like symptoms.. Isolate yourself to protect your loved ones..
Jitibu dalili: maji ya uvugu yenye chumvi kusafisha koo.. Kula vizuri, tumia dawa za mafua(anthistamine)...
Shukran mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmh hii shida kumbe sio mimi peke yangu, ila namshukuru Mungu leo nimeanza kuhisi baadhi ya vitu kwa mbali na ladha ya vyakula.
Ila kinachonishangaza nilipoteza ladha na kuhisi harufu japo sikuwa na mafua makali sana, nilikuwa napumua kawaida tu . Kitu kilichonisaidia mpaka mda huu ni Malio na tangawizi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi siku ya 5 Leo sisikii harufu yoyote na sina mafua Wala kikohozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom