Kupoteza uwezo wa kunusa yaweza kuwa/ni dalili za mwazo za COVID19

Kupoteza uwezo wa kunusa yaweza kuwa/ni dalili za mwazo za COVID19

Mtaani watu wana mafua na kifua sana,sa hivi karibu kila mti anaumwa hvyo.hata ukienda hospital unastaajabu wengi wanamatatzo common.

Nafikiri kuna la ziada lapaswa kufanyika
Kwa kweli maan hali ishakuwa tete sasa
 
Mie nilikaa wiki mbili sisikii harufu wala ladha ya msosi harufu pekee nilikua nasikia moshi wa kuni sema nauona mkali puani hata nikikaa mita 3 kutoka kwny kuni...


Pua ilikua inaziba ila mafua hakuna sema fulu kukohoa...

Nikameza applicix afu nikasaga kitunguu saumu na limao na asali na kusukutia kwa chumvi kila mara naona nimepata nafuu harufu imerudi na msosi pia nasikia ladha na kifua nafuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maendeleo kwa siku ya 7:
Hadi kufikia unafuu wa 30% nimetumia:-
1. maji vuguvugu kikombe kimoja + apple cider vinegar (1 tablespoon)+ asali (1tablespoon) mara 1 kwa siku (vinegar inashauriwa usitumie zaidi ya kipimo hicho kwa siku).
2. maji vuguvugu + limao + tangawizi
3. kitunguu swaumu ponda ponda, tia kwenye maji, chemsha kunywa
4. dawa za hospitali; kifua (amoxicillin), mafua (cetrizen), aleji (prednisolone) + isoryn nasal drops.
Kimsingi nipo serious sana na hili suala, nipo sehemu sichangamani na watu na nimesitisha masuala mengine. Tuendelee kushauriana ndugu zanguni tuone tunafikiaje lengo. Kwa uwezo wa Mungu naamini tutafanikiwa.
 
Maendeleo kwa siku ya 7:
Hadi kufikia unafuu wa 30% nimetumia:-
1. maji vuguvugu kikombe kimoja + apple cider vinegar (1 tablespoon)+ asali (1tablespoon) mara 1 kwa siku (vinegar inashauriwa usitumie zaidi ya kipimo hicho kwa siku).
2. maji vuguvugu + limao + tangawizi
3. kitunguu swaumu ponda ponda, tia kwenye maji, chemsha kunywa
4. dawa za hospitali; kifua (amoxicillin), mafua (cetrizen), aleji (prednisolone) + isoryn nasal drops.
Kimsingi nipo serious sana na hili suala, nipo sehemu sichangamani na watu na nimesitisha masuala mengine. Tuendelee kushauriana ndugu zanguni tuone tunafikiaje lengo. Kwa uwezo wa Mungu naamini tutafanikiwa.
Asante sana kwa kushare hii, hope itatusaidia wengi
 
Mie nilikaa wiki mbili sisikii harufu wala ladha ya msosi harufu pekee nilikua nasikia moshi wa kuni sema nauona mkali puani hata nikikaa mita 3 kutoka kwny kuni...


Pua ilikua inaziba ila mafua hakuna sema fulu kukohoa...

Nikameza applicix afu nikasaga kitunguu saumu na limao na asali na kusukutia kwa chumvi kila mara naona nimepata nafuu harufu imerudi na msosi pia nasikia ladha na kifua nafuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sina mafua wala sikohoi,ila siwezi kunusa wala sisikii taste kwenye ulimi,napiga dozi ya malimao daily sina nafuu paka leo siku ya tano.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maendeleo kwa siku ya 7:
Hadi kufikia unafuu wa 30% nimetumia:-
1. maji vuguvugu kikombe kimoja + apple cider vinegar (1 tablespoon)+ asali (1tablespoon) mara 1 kwa siku (vinegar inashauriwa usitumie zaidi ya kipimo hicho kwa siku).
2. maji vuguvugu + limao + tangawizi
3. kitunguu swaumu ponda ponda, tia kwenye maji, chemsha kunywa
4. dawa za hospitali; kifua (amoxicillin), mafua (cetrizen), aleji (prednisolone) + isoryn nasal drops.
Kimsingi nipo serious sana na hili suala, nipo sehemu sichangamani na watu na nimesitisha masuala mengine. Tuendelee kushauriana ndugu zanguni tuone tunafikiaje lengo. Kwa uwezo wa Mungu naamini tutafanikiwa.
Naona kila mtu anapewa predlisone sa hivi japo kwa wenye gesi/vidonda vya tumbo ni mtihan sana.

Kwa kweli ni wakati mgumu sana,ila allah yupo na msaada wake hauna kikomo.Tusimame ussiku tumuombe yeye tu
 
Daah! kumbe tuko wengi, mimi leo ni siku ya tatu nimepoteza uwezo wa kunusa kabisa ladha ya chakula naskia kwa mbali sana hapa nimepanic sana, tusaidiane mawazo wakuu kwa aliyetumia formula ambayo imemsaidia
 
Kwa mbaaali hali inarejea, nimenusa harufu ya kitunguu thom, perfume pia ladha ya msosi wa leo nimeipata japo kwa shida,

Kwa muda wa wiki nzima nilipoteza uwezo wa kunusa na kupata ladha ya chakula, sikupanic, nilianza kunusa kitunguu maji nikibadilisha kitunguu thom muda wote ninavyo mkononi, nilijifukiza kwa Vicks, lakini pia Tangawizi, Asali na Lemon havikua nyuma kusindikiza siku yangu,

Naimani hali itarejea kama ni Corona nishaanza kuipiga teke.
[emoji1320][emoji1320]

Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
 
Nimeona muhimbili wameiweka hyo dalili ktk tangazo lake la corona.

Ila kwa stile hii Basi watu ni wengi Sana
 
Mimi nahisi ni alerg ya zile dawa walizo puliza. Maana mimi nina tatizo hilo pia kuna watu mtaani wana same same problem.
 
Back
Top Bottom