Kupoteza uwezo wa kunusa yaweza kuwa/ni dalili za mwazo za COVID19

Kupoteza uwezo wa kunusa yaweza kuwa/ni dalili za mwazo za COVID19

Nina tatizo hili na limenipata ndani ya hizi siku mbili, natumaini tutapata suluhisho
 
Aisee sasa korona imeshasambaa Dar nzima Nami sina Ladha ya chakula japo harufu naisikia kwa mbali sana...mpaka ninuse kitu lakini kikiwa mbali sisikii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo ni siku ya 5 sipati radha yoyote mdomoni pia sisikii harufu yoyote. Naona mmenitisha kwa COVID 19 itabidi nianze seriously tiba mbadala as per Mama Tibaijuka advice

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni dalili mojawapo ya kuwa na Covid19
Chukua tahadhari sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kweli! It is normal kupoteza kunusa, kuonja unapokuwa na mafua... hivi you can not associate it with Corona that much simple! Of course ukiona hivyo n vema kuchukua tahadhali! lkn siyo dalili specifically for corona
 
Mcheki mama Anna Tibaijuka yuko vizuri kwenye tiba za mizizi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona anayoyaonyesha mama Tibaijuka ni kawaida kwa wahaya! Ni tiba from time immemorial kwa wahaya na haina msaada mkubwa , watu wameponea modern medicines. Anayoyaonyesha kwenye clip yanafanywa miaka nenda miaka rudi na mafua yako pale pale na hayaponi.
 
Ndugu hiyo hali ni korona maana waliouguwa walipoteza uwezo wao wa kunusa.
Siyo kweli! It is normal kupoteza kunusa, kuonja unapokuwa na mafua... hivi you can not associate it with Corona that much simple! Of course ukiona hivyo n vema kuchukua tahadhali! lkn siyo dalili specifically for corona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni dalili mojawapo ya kuwa na Covid19
Chukua tahadhari sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kweli. nilipatwa na same problem mwezi wa tisa mwaka jana. Nilijitibu na dawa za kutuliza mafua, antibiotics etc. Nilikaa na hali hiyo for 2 weeks!

For all this period temperature was always high! Sikwenda hospitali maana niliamini ni mafua ila ni different strain ambayo ni more virulent! It went away with time ..
 
Hiyo kitu inanisumbua pia, siku ya 5 leo sipati harufu, lakin mke wangu na mtoto wao haijawakumba ingawa tunacontact muda mwingi.


Sijisikii homa wala mwili hauna joto, ila kuna kiharufu kibaya nakisikia ninavyohema. Kama ni corona iwaje sijaambukiza watu wa karibu had sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu tupe dalili ulizokua nazo muda huo.
Siyo kweli. nilipatwa na same problem mwezi wa tisa mwaka jana. Nilijitibu na dawa za kutuliza mafua, antibiotics etc. Nilikaa na hali hiyo for 2 weeks! For all this period temperature was always high! Sikwenda hospitali maana niliamini ni mafua ila ni different strain ambayo ni more virulent! It went away with time ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu hiyo hali ni korona maana waliouguwa walipoteza uwezo wao wa kunusa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mafua miaka yote yanaambatana na kupoteza kunusa. Mimi mwaka jana mwezi wa 9 (september) nilikuwa na homa, mafua, kuumwa kichwa, mwili kukosa nguvu for about 2 weeks. Nilikuwa bed ridden for 2 weeks or three nilipoanza kutoka nje. Was it Corona? Na ni mimi peke yangu niliyeugua nyuma yangu ya watu kumi all were well till now! hakuna hata aliyeambukizwa mafua.
 
Back
Top Bottom