Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,537
- 3,873
Aiseee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mafua nimeumwa sana lakini sijawahi poteza Sense of Smell, kwa uchunguzi nimeona tatalizo hilo limekua kubwa hivi karibuni.Vitu vingine ni matokeo ya hofu,kuogopa kitu kupitiliza kunaumba taswira ya kitu hicho.hayo maradhi ya mafua makali mpaka kukosa ladha na mara nyingine homa yalikuwepo kitambo sana na hata mimi huwa naugua mara kadhaa,siyo lazima ihusike na corona.
By the way corona ni ugonjwa kama magonjwa mengine utakapougua na kuthibitika utajua jinsi utakavyopambana nao.usiku mwema
Majani ayo yanaitwaje mkuuBinafsi naamini nimepona Corona nilizidiwa last week, nilikuwa na dalili zote dawa niliyotumi hii hapa, nashukru Mungu niona nikama nimerecover kiukweli niligoma kwenda hospitalView attachment 1432873
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kila dalili ni korona.. kam hukupima acha kupotosha potosha watuBinafsi naamini nimepona Corona nilizidiwa last week, nilikuwa na dalili zote dawa niliyotumi hii hapa, nashukru Mungu niona nikama nimerecover kiukweli niligoma kwenda hospitalView attachment 1432873
Sent using Jamii Forums mobile app
Mafua ni dalili rare ya #covid19Mkuu mafua nimeumwa sana lakini sijawahi poteza Sense of Smell, kwa uchunguzi nimeona tatalizo hilo limekua kubwa hivi karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe somoBinafsi naamini nimepona Corona nilizidiwa last week, nilikuwa na dalili zote dawa niliyotumi hii hapa, nashukru Mungu niona nikama nimerecover kiukweli niligoma kwenda hospitalView attachment 1432873
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiyo ni dalili moja wapo ya CoronaHabari watanzania? Wiki iliyopita nilipata homa kali ghafla na nikapoteza hali ya kuweza kunusa harufu yoyote ile (Sense of Smell). Nilipata hofu sana na kwenda hospital kupima Malaria na UTI, vipimo vyote vikasoma negative basi ikanibidi nikae tu nyumbani na kuendelea kutumia malimao na machungwa baada ya kupata ushauri toka kwa watu mbali mbali huku nikisikilizia hali kwani huku nilipo mpaka kupata kipimo cha Corona ni process ndefu.
Baada ya wiki sasa ile hali imepotea na ninapata mafua na kikohozi kwa mbali. Jambo lilonifanya kuleta taarifa hii kwenu nimeona watu wengi mtandaoni hasa Facebook na Twitter wakilalamika hali hiyo na wengi wanasema iliwapata wiki iliyopita kwa kutumia tiba ya malimao wamepata nafuu.
Maswali yangu ni Je hiyo inaweza kuwa Corona? Maana napata hofu kwani mke wangu na watu wengine wa familia tangu siku hiyo mpaka leo yupo vizuri na hajapatwa na tatizo lolote wakati bado tunashare kila kitu.
Rai yangu serikali na taasisi zote za afya ziendelee na uchunguzi wa bidhaa zote hasa Sanitizers kuona kwamba zinakidhi vigezo na zisije zikawa Chanzo cha matatizo mengine mapya tukadhani ni Corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]DUU... tatizo bado nipo very STRONG....sipo weak..na wala sina DALILI ZOZOTE ZAIDI YA MAFUA..TU..TATIZO NIMEFUMUWA SANA WAKE ZA WATU MARINDA...sijuwi itakuwaje
Sent using Jamii Forums mobile app
wakuu hamjapata suluhisho la hili tatizo?
Je munaosumbuliwa na hilo tatizo bado munaendelea vizuri?
wakuu hamjapata suluhisho la hili tatizo?
Je munaosumbuliwa na hilo tatizo bado munaendelea vizuri?
Mkuu tusaidie ulifanya nn ukaondokana na hiyo hali mimi ninayo leo siku ya sita na haiondoki tusaidie tafadhaliWe had the same problem here, lakini kuna dawa tumetumia now it is Ok. Nipe dakika nitakuwekea ni dawa gani, nkumbushe inbox nikisahau maana niko mbali na nyumbani.
unafanya mchanganyo au unavitumia separate?
Tengeneza juice ya limao na pia tengeneza tangawizi tupu isage na kuichemsha..kunywa ndani ya siku 7 utakua poa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipigwa na hyo kitu wiki karibu tatu sisikii harufu wala ladha ku google nakuta eti wanasema dalili ya COVID 19 aseee...
Nilikua nakohoa sana pia
So nikapiga
Amplicox Dozi nzima
Asubuhi maji ya limao
Kusukutua na Chumvi na maji vuguvugu kwny koo kila bada ya masaa kadhaa
Kunywa Tangawizi mbichi ya kusaga iliyochanganwa na vitunguu saumu..
Kumung'unya viksi kingo
Baada ya wiki karibu tatu ndio harufu na ladha vikarudi na kifua kukohoa kukakoma mana ilikua kukohoa hadi mbavu zinauma.
Vita ilikua kali sana sa sujui ndio corona au lah
NB niliji lock down mwenyewe kama mkulu
Sent using Jamii Forums mobile app