Kura ya kuiondoa Urusi kwenye Tume ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa: Tanzania yajitoa (abstain)

Kura ya kuiondoa Urusi kwenye Tume ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa: Tanzania yajitoa (abstain)

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Leo Baraza Kuu la Umoja wa Màtaifa lilipigia kura azimio lililopendekezwa na Marekani kuiondoa Urusi kwenye tume ya hàki za binadamu ya umoja wa mataifa.

Sababu ni Urusi kudaiwa kukiuka haki za binadamu ñchini Ukraine wanakopigana vita.

Katika kupiga kura Tanzania iliamua kuungana na nchi zingine 58 kugomea kura hiyo (kutokupiga kura).

Nchi zilizogomea kura zimo India, Afrika ya kusini, Brazil, Bangladesh nk. Zilizopiga kura kupinga azimio zipo 24 ikiwemo Urusi, China, Korea kaskazini, Cuba, nk.

Zilizopitisha azimio zipo 93 ikiwemo Marekani na nchi za Magharibi.

Japo azimio limepita lakini dunia imegawika katikati. Wale ambao hawakuunga azimio kwa maana ya kulipinga au kuligomea nchi zao zina watu wengi zaidi kwa kuwa zimo India, China, Brazil na Bangladesh zenye watu wengi zaidi.
 
Kwa hilo la kutotaka kuendeshwa na mabeberu NAIUNGA MKONO NCHI YANGU TANZANIA KWA 100%. Nazipongeza nchi zote zilizo-abstain na kupinga, uamuzi wao unatuma ujumbe safi sana kwa imperialists kuwa dunia imechoka na haitaki ubwanyenye wao.
 
Kuabstain ni uoga usio na msingi. Typical nchi masikini zenye hulka ya kutembeza sinia huku na kule kuomba misaada.

Kwenye kupiga kura unapaswa kuchagua yes or no na sio kujificha kwenye the so called upande usiofungamana
 
Leo Baraza Kuu la Umoja wa Màtaifa lilipigia kura azimio lililopendekezwa na Marekani kuiondoa Urusi kwenye tume ya hàki za binadamu ya umoja wa mataifa.

Sababu ni Urusi kudaiwa kukiuka haki za binadamu ñchini Ukraine wanakopigana vita.

Katika kupiga kura Tanzania iliamua kuungana na nchi zingine 58 kugomea kura hiyo (kutokupiga kura).

Nchi zilizogomea kura zimo India, Afrika ya kusini, Brazil, Bangladesh nk. Zilizopiga kura kupinga azimio zipo 24 ikiwemo Urusi, China, Korea kaskazini, Cuba, nk.

Zilizopitisha azimio zipo 93 ikiwemo Marekani na nchi za Magharibi.

Japo azimio limepita lakini dunia imegawika katikati. Wale ambao hawakuunga azimio kwa maana ya kulipinga au kuligomea nchi zao zina watu wengi zaidi kwa kuwa zimo India, China, Brazil na Bangladesh zenye watu wengi zaidi.
Mrusi anatakiwa apigwe haraka sn
 
Leo Baraza Kuu la Umoja wa Màtaifa lilipigia kura azimio lililopendekezwa na Marekani kuiondoa Urusi kwenye tume ya hàki za binadamu ya umoja wa mataifa.

Sababu ni Urusi kudaiwa kukiuka haki za binadamu ñchini Ukraine wanakopigana vita.

Katika kupiga kura Tanzania iliamua kuungana na nchi zingine 58 kugomea kura hiyo (kutokupiga kura).

Nchi zilizogomea kura zimo India, Afrika ya kusini, Brazil, Bangladesh nk. Zilizopiga kura kupinga azimio zipo 24 ikiwemo Urusi, China, Korea kaskazini, Cuba, nk.

Zilizopitisha azimio zipo 93 ikiwemo Marekani na nchi za Magharibi.

Japo azimio limepita lakini dunia imegawika katikati. Wale ambao hawakuunga azimio kwa maana ya kulipinga au kuligomea nchi zao zina watu wengi zaidi kwa kuwa zimo India, China, Brazil na Bangladesh zenye watu wengi zaidi.
Kimsingi hapo Dunia imeamua kumwondoa murusi na kumtupa nje. Hao woote walio abstain kimsingi wameunga mkono wa kumfuta Russia
 
Kuabstain ni uoga usio na msingi. Typical nchi masikini zenye hulka ya kutembeza sinia huku na kule kuomba misaada.

Kwenye kupiga kura unapaswa kuchagua yes or no na sio kujificha kwenye the so called upande usiofungamana
Nchi zisizotaka demokrasia coupled wiyh Njaa hawana ujasiri wa kumkataa wala kumunga mkono.

Urusi imejua marafiki wa kweli🤣🤣
 
Kwa hilo la kutotaka kuendeshwa na mabeberu NAIUNGA MKONO NCHI YANGU TANZANIA KWA 100%. Nazipongeza nchi zote zilizo-abstain na kupinga, uamuzi wao unatuma ujumbe safi sana kwa imperialists kuwa dunia imechoka na haitaki ubwanyenye wao.
Kumbuka pia ikitakiwa kupiga kura kuwakomboa warusi dhidi ya mabeberu Tz itasimama bila upande na hivyo automatic kuwakandamiza warusi.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Ku abstain ni ishara ya wazi kuwa viongozi wetu ni dhaifu sana.
No right to be called yourself that competent leaders without being in the list of G21, hence most of the economic growth factors of your Nation depends on assistance from those G21 Countries [emoji6]
 
Back
Top Bottom