Kura ya kuiondoa Urusi kwenye Tume ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa: Tanzania yajitoa (abstain)

Kura ya kuiondoa Urusi kwenye Tume ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa: Tanzania yajitoa (abstain)

Leo Baraza Kuu la Umoja wa Màtaifa lilipigia kura azimio lililopendekezwa na Marekani kuiondoa Urusi kwenye tume ya hàki za binadamu ya umoja wa mataifa.

Sababu ni Urusi kudaiwa kukiuka haki za binadamu ñchini Ukraine wanakopigana vita.

Katika kupiga kura Tanzania iliamua kuungana na nchi zingine 58 kugomea kura hiyo (kutokupiga kura).

Nchi zilizogomea kura zimo India, Afrika ya kusini, Brazil, Bangladesh nk. Zilizopiga kura kupinga azimio zipo 24 ikiwemo Urusi, China, Korea kaskazini, Cuba, nk.

Zilizopitisha azimio zipo 93 ikiwemo Marekani na nchi za Magharibi.

Japo azimio limepita lakini dunia imegawika katikati. Wale ambao hawakuunga azimio kwa maana ya kulipinga au kuligomea nchi zao zina watu wengi zaidi kwa kuwa zimo India, China, Brazil na Bangladesh zenye watu wengi zaidi.

Kura hazipigwi kwa kigezo cha idadi ya wananchi katika nchi bali kura kwa nchi.

U CCM mbona shughuli 😂😂?
 
Mrusi anatakiwa apigwe haraka sn
Anatakiwa apigwe na nani? Kama kila Taifa lina mgwaya? Hakuna cha Muungano wa NATO wala Marekani mwenye uwezo wa kuishambulia Urusi.

Au kama vipi jitolee uende Ukraine ukapigane na huyo Mrusi, halafu tuone kama utarudi tena Bongo kuja kula ugali wako wa dona na dagaa.
 
I stand with my country, its none of business, whether or not Russia remain in that tume
 
Leo Baraza Kuu la Umoja wa Màtaifa lilipigia kura azimio lililopendekezwa na Marekani kuiondoa Urusi kwenye tume ya hàki za binadamu ya umoja wa mataifa.

Sababu ni Urusi kudaiwa kukiuka haki za binadamu ñchini Ukraine wanakopigana vita.

Katika kupiga kura Tanzania iliamua kuungana na nchi zingine 58 kugomea kura hiyo (kutokupiga kura).

Nchi zilizogomea kura zimo India, Afrika ya kusini, Brazil, Bangladesh nk. Zilizopiga kura kupinga azimio zipo 24 ikiwemo Urusi, China, Korea kaskazini, Cuba, nk.

Zilizopitisha azimio zipo 93 ikiwemo Marekani na nchi za Magharibi.

Japo azimio limepita lakini dunia imegawika katikati. Wale ambao hawakuunga azimio kwa maana ya kulipinga au kuligomea nchi zao zina watu wengi zaidi kwa kuwa zimo India, China, Brazil na Bangladesh zenye watu wengi zaidi.
Very good!
Kwanza hayatuhusu.
Mbona hatukupiga kura wakati Marekani wanaivamia Libya?
 
Sijawahi kumuunga mkono mama samia kwa lolote like toka alipoteuliwa kuwa mgombea mwenza na jpm, sijawahi kumuunga mkono kwa sababu ninaemfahamu viziri, lkn kwa huu msimamo wa kutoegemea upande wowote, ninaempenda.
Unamuunga mkono kwa kuunga mkono bloodshed, am I reading you right?
 
Anatakiwa apigwe na nani? Kama kila Taifa lina mgwaya? Hakuna cha Muungano wa NATO wala Marekani mwenye uwezo wa kuishambulia Urusi.

Au kama vipi jitolee uende Ukraine ukapigane na huyo Mrusi, halafu tuone kama utarudi tena Bongo kuja kula ugali wako wa dona na dagaa.
Marekani haijamshindwa sahivi ameishiwa nguvu kabisa
 
Leo Baraza Kuu la Umoja wa Màtaifa lilipigia kura azimio lililopendekezwa na Marekani kuiondoa Urusi kwenye tume ya hàki za binadamu ya umoja wa mataifa.

Sababu ni Urusi kudaiwa kukiuka haki za binadamu ñchini Ukraine wanakopigana vita.

Katika kupiga kura Tanzania iliamua kuungana na nchi zingine 58 kugomea kura hiyo (kutokupiga kura).

Nchi zilizogomea kura zimo India, Afrika ya kusini, Brazil, Bangladesh nk. Zilizopiga kura kupinga azimio zipo 24 ikiwemo Urusi, China, Korea kaskazini, Cuba, nk.

Zilizopitisha azimio zipo 93 ikiwemo Marekani na nchi za Magharibi.

Japo azimio limepita lakini dunia imegawika katikati. Wale ambao hawakuunga azimio kwa maana ya kulipinga au kuligomea nchi zao zina watu wengi zaidi kwa kuwa zimo India, China, Brazil na Bangladesh zenye watu wengi zaidi.
Kongole kwa taifa letu pendwa Tanzania👍

#Siempre JMT🙏
 
Kwa hilo la kutotaka kuendeshwa na mabeberu NAIUNGA MKONO NCHI YANGU TANZANIA KWA 100%. Nazipongeza nchi zote zilizo-abstain na kupinga, uamuzi wao unatuma ujumbe safi sana kwa imperialists kuwa dunia imechoka na haitaki ubwanyenye wao.
😍
 
Putin alipata kusema kuwa "wao hawatakubali kupigishwa magoti kwa kisingizio cha maslahi "kiduchu" ya kiuchumi....wako tayari kusimamia walichokipanga.......
 
Kwa hilo la kutotaka kuendeshwa na mabeberu NAIUNGA MKONO NCHI YANGU TANZANIA KWA 100%. Nazipongeza nchi zote zilizo-abstain na kupinga, uamuzi wao unatuma ujumbe safi sana kwa imperialists kuwa dunia imechoka na haitaki ubwanyenye wao.
Hivi kuna imperialism kubwa zaidi ya kuteka nchi ya watu kimabavu?

Wacha kukariri
 
Back
Top Bottom