I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
kenya hafungamani safari hii😂wakenya kama kawaida wameungana na baba yao Obama kumlaani mrusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kenya hafungamani safari hii😂wakenya kama kawaida wameungana na baba yao Obama kumlaani mrusi
Leo Baraza Kuu la Umoja wa Màtaifa lilipigia kura azimio lililopendekezwa na Marekani kuiondoa Urusi kwenye tume ya hàki za binadamu ya umoja wa mataifa.
Sababu ni Urusi kudaiwa kukiuka haki za binadamu ñchini Ukraine wanakopigana vita.
Katika kupiga kura Tanzania iliamua kuungana na nchi zingine 58 kugomea kura hiyo (kutokupiga kura).
Nchi zilizogomea kura zimo India, Afrika ya kusini, Brazil, Bangladesh nk. Zilizopiga kura kupinga azimio zipo 24 ikiwemo Urusi, China, Korea kaskazini, Cuba, nk.
Zilizopitisha azimio zipo 93 ikiwemo Marekani na nchi za Magharibi.
Japo azimio limepita lakini dunia imegawika katikati. Wale ambao hawakuunga azimio kwa maana ya kulipinga au kuligomea nchi zao zina watu wengi zaidi kwa kuwa zimo India, China, Brazil na Bangladesh zenye watu wengi zaidi.
Anatakiwa apigwe na nani? Kama kila Taifa lina mgwaya? Hakuna cha Muungano wa NATO wala Marekani mwenye uwezo wa kuishambulia Urusi.Mrusi anatakiwa apigwe haraka sn
Hata kwa kutokupiga kura Russia wanajua tu Tanzania sio rafiki
Sahihi. Kura kama hizi zinaumbua wanafiki.Kumbuka pia ikitakiwa kupiga kura kuwakomboa warusi dhidi ya mabeberu Tz itasimama bila upande na hivyo automatic kuwakandamiza warusi.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Hujui umuhimu wa baraza la usalama?I stand with my country, its none of business, whether or not Russia remain in that tume
Hayo mambo hayatuhusuHujui umuhimu wa baraza la usalama?
Kenya yupo neutral.wakenya kama kawaida wameungana na baba yao Obama kumlaani mrusi
Very good!Leo Baraza Kuu la Umoja wa Màtaifa lilipigia kura azimio lililopendekezwa na Marekani kuiondoa Urusi kwenye tume ya hàki za binadamu ya umoja wa mataifa.
Sababu ni Urusi kudaiwa kukiuka haki za binadamu ñchini Ukraine wanakopigana vita.
Katika kupiga kura Tanzania iliamua kuungana na nchi zingine 58 kugomea kura hiyo (kutokupiga kura).
Nchi zilizogomea kura zimo India, Afrika ya kusini, Brazil, Bangladesh nk. Zilizopiga kura kupinga azimio zipo 24 ikiwemo Urusi, China, Korea kaskazini, Cuba, nk.
Zilizopitisha azimio zipo 93 ikiwemo Marekani na nchi za Magharibi.
Japo azimio limepita lakini dunia imegawika katikati. Wale ambao hawakuunga azimio kwa maana ya kulipinga au kuligomea nchi zao zina watu wengi zaidi kwa kuwa zimo India, China, Brazil na Bangladesh zenye watu wengi zaidi.
Unamuunga mkono kwa kuunga mkono bloodshed, am I reading you right?Sijawahi kumuunga mkono mama samia kwa lolote like toka alipoteuliwa kuwa mgombea mwenza na jpm, sijawahi kumuunga mkono kwa sababu ninaemfahamu viziri, lkn kwa huu msimamo wa kutoegemea upande wowote, ninaempenda.
Marekani haijamshindwa sahivi ameishiwa nguvu kabisaAnatakiwa apigwe na nani? Kama kila Taifa lina mgwaya? Hakuna cha Muungano wa NATO wala Marekani mwenye uwezo wa kuishambulia Urusi.
Au kama vipi jitolee uende Ukraine ukapigane na huyo Mrusi, halafu tuone kama utarudi tena Bongo kuja kula ugali wako wa dona na dagaa.
Kwani hata Putin yupo vitani? yupo nyuma ya keyboard kama mm tuNaunga mkono hoja apigwe haraka sana hapa kwenye keyboards [emoji87]
wakenya kama kawaida wameungana na baba yao Obama kumlaani mrusi
Kongole kwa taifa letu pendwa Tanzania👍Leo Baraza Kuu la Umoja wa Màtaifa lilipigia kura azimio lililopendekezwa na Marekani kuiondoa Urusi kwenye tume ya hàki za binadamu ya umoja wa mataifa.
Sababu ni Urusi kudaiwa kukiuka haki za binadamu ñchini Ukraine wanakopigana vita.
Katika kupiga kura Tanzania iliamua kuungana na nchi zingine 58 kugomea kura hiyo (kutokupiga kura).
Nchi zilizogomea kura zimo India, Afrika ya kusini, Brazil, Bangladesh nk. Zilizopiga kura kupinga azimio zipo 24 ikiwemo Urusi, China, Korea kaskazini, Cuba, nk.
Zilizopitisha azimio zipo 93 ikiwemo Marekani na nchi za Magharibi.
Japo azimio limepita lakini dunia imegawika katikati. Wale ambao hawakuunga azimio kwa maana ya kulipinga au kuligomea nchi zao zina watu wengi zaidi kwa kuwa zimo India, China, Brazil na Bangladesh zenye watu wengi zaidi.
😍Kwa hilo la kutotaka kuendeshwa na mabeberu NAIUNGA MKONO NCHI YANGU TANZANIA KWA 100%. Nazipongeza nchi zote zilizo-abstain na kupinga, uamuzi wao unatuma ujumbe safi sana kwa imperialists kuwa dunia imechoka na haitaki ubwanyenye wao.
Ingekuwa enzi za Magu mngrkuwa mmejaza nyuzi hapa jf kwamba anatetea dikteta mwenzio!Hata kwa kutokupiga kura Russia wanajua tu Tanzania sio rafiki
Hivi kuna imperialism kubwa zaidi ya kuteka nchi ya watu kimabavu?Kwa hilo la kutotaka kuendeshwa na mabeberu NAIUNGA MKONO NCHI YANGU TANZANIA KWA 100%. Nazipongeza nchi zote zilizo-abstain na kupinga, uamuzi wao unatuma ujumbe safi sana kwa imperialists kuwa dunia imechoka na haitaki ubwanyenye wao.
Kinachokuma wewe ni nini?Ingekuwa enzi za Magu mngrkuwa mmejaza nyuzi hapa jf kwamba anatetea dikteta mwenzio!
Mabavicha hamjawahi kuwa na akili ndio maana ccm inawafanyiaga inachotaka
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app