Kura ya kuiondoa Urusi kwenye Tume ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa: Tanzania yajitoa (abstain)

Kura ya kuiondoa Urusi kwenye Tume ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa: Tanzania yajitoa (abstain)

Leo Baraza Kuu la Umoja wa Màtaifa lilipigia kura azimio lililopendekezwa na Marekani kuiondoa Urusi kwenye tume ya hàki za binadamu ya umoja wa mataifa.

Sababu ni Urusi kudaiwa kukiuka haki za binadamu ñchini Ukraine wanakopigana vita.

Katika kupiga kura Tanzania iliamua kuungana na nchi zingine 58 kugomea kura hiyo (kutokupiga kura).

Nchi zilizogomea kura zimo India, Afrika ya kusini, Brazil, Bangladesh nk. Zilizopiga kura kupinga azimio zipo 24 ikiwemo Urusi, China, Korea kaskazini, Cuba, nk.

Zilizopitisha azimio zipo 93 ikiwemo Marekani na nchi za Magharibi.

Japo azimio limepita lakini dunia imegawika katikati. Wale ambao hawakuunga azimio kwa maana ya kulipinga au kuligomea nchi zao zina watu wengi zaidi kwa kuwa zimo India, China, Brazil na Bangladesh zenye watu wengi zaidi.

Kiuhalisia Umoja Wa Mataifa lazima ifumuliwe na kuundwa upya. Kwa hali inavyoonekana, matifa ya Magharibi yamejitahidi sana kutimiza malengo yao ya kidhalimu dhidi ya mataifa madogo kwa idhini ya Umoja wa Mataifa.

Umoja wa Mataifa imekuwa kimya kwenye pale ambapo mataifa ya Magharibi yanafanya unyama ila inakuwa na ujasiri wa kutaka kucontrol mataifa mengine. Hii double standard imepelekea UN kokosa heshima, maazimio ya UN hayaheshimiki kwamfano, jana kwenye kikao Balozi wa China alisema hata uandaaji wa azimio lenyewe ulifanyika kinyemela bila kuwashirikisha wanachama kama inavyotakiwa. Lengo likiwa ni kuwaburuza wajumbe kukidhi matakwa ya Marekani na wake zake Ulaya.

Matokeo yanafikirisha sana, 93 waliunga mokono azimio, 24 wakapinga, 58 wakasusia.

24+58= ? Hao wote ni wazi hawataki kuburuzwa na Marekani.

Ukipiga hesabu, dunia imegawanyika katikati. Isingekuwa uwoga wa Mataifa yanaondelea, naamini wangepiga kura nyingi za hapana kukwamisha juhudi za Marekani na wake zake Ulaya, ila tunawaelewa. Huko kususia ni salamu tosha na ujumbe umewafikia husuani tukizingatia kampeni kubwa ambayo imeendeshwa na EU na Marekani wakiwatishia Afrika kuikemea Urusi. Huu ni ushindi na ujasiri mkuwa.


Umoja wa Mataifa umepoteza ushawishi kwa ujinga wa kuendelea kuwa kibaraka wa Marekani na Ulaya.
 
Kwa hilo la kutotaka kuendeshwa na mabeberu NAIUNGA MKONO NCHI YANGU TANZANIA KWA 100%. Nazipongeza nchi zote zilizo-abstain na kupinga, uamuzi wao unatuma ujumbe safi sana kwa imperialists kuwa dunia imechoka na haitaki ubwanyenye wao.
sasa Tanzania ina nini cha maana chakujivunia hapo.inakuwepo kwenye orodha kwasababu nilazima nchi zote zishiriki.Sasa kushiriki alafu unapiga kura ya neutral maana yake huamini katika ndio au hapana.ingekua haipendi kuendeshwa na mabeberu ingepiga kura ya kupinga azimio sio kuabstain.
 
Hayawahusu wakati mnaangaika na bei ya mafuta sasa hivi.Au wewe unataka hadi iweje ndio ujue huu ujinga wa urus unatuathiri hadi sisi pangu pakavu.
Hivi siyo hao walioweka vikwazo ndiyo wanatuadhibu? Naona kama vile unaongea vitu usivyovijua
 
Leo Baraza Kuu la Umoja wa Màtaifa lilipigia kura azimio lililopendekezwa na Marekani kuiondoa Urusi kwenye tume ya hàki za binadamu ya umoja wa mataifa.

Sababu ni Urusi kudaiwa kukiuka haki za binadamu ñchini Ukraine wanakopigana vita.

Katika kupiga kura Tanzania iliamua kuungana na nchi zingine 58 kugomea kura hiyo (kutokupiga kura).

Nchi zilizogomea kura zimo India, Afrika ya kusini, Brazil, Bangladesh nk. Zilizopiga kura kupinga azimio zipo 24 ikiwemo Urusi, China, Korea kaskazini, Cuba, nk.

Zilizopitisha azimio zipo 93 ikiwemo Marekani na nchi za Magharibi.

Japo azimio limepita lakini dunia imegawika katikati. Wale ambao hawakuunga azimio kwa maana ya kulipinga au kuligomea nchi zao zina watu wengi zaidi kwa kuwa zimo India, China, Brazil na Bangladesh zenye watu wengi zaidi.
Tanzania imejitahidi ila bado. Kwa maoni yangu ingesema No tu! Misaada isingekatwa maana wanahitaji raslimali zetu.
 
Leo Baraza Kuu la Umoja wa Màtaifa lilipigia kura azimio lililopendekezwa na Marekani kuiondoa Urusi kwenye tume ya hàki za binadamu ya umoja wa mataifa.

Sababu ni Urusi kudaiwa kukiuka haki za binadamu ñchini Ukraine wanakopigana vita.

Katika kupiga kura Tanzania iliamua kuungana na nchi zingine 58 kugomea kura hiyo (kutokupiga kura).

Nchi zilizogomea kura zimo India, Afrika ya kusini, Brazil, Bangladesh nk. Zilizopiga kura kupinga azimio zipo 24 ikiwemo Urusi, China, Korea kaskazini, Cuba, nk.

Zilizopitisha azimio zipo 93 ikiwemo Marekani na nchi za Magharibi.

Japo azimio limepita lakini dunia imegawika katikati. Wale ambao hawakuunga azimio kwa maana ya kulipinga au kuligomea nchi zao zina watu wengi zaidi kwa kuwa zimo India, China, Brazil na Bangladesh zenye watu wengi zaidi.
Je yule aliyekwenda kuipiga Iraq, Afghanistani, Libya na hata kumuua rais wao kwa kunyonga hakuona kuwa anavunja haki za binadamu? Kuna hatua zozote alichukuliwa? Hakuna anayependa vita, ila ukisimama kwenye haki Mmarekan ndiye kinara wa hayo mambo.
 
Kwa hilo la kutotaka kuendeshwa na mabeberu NAIUNGA MKONO NCHI YANGU TANZANIA KWA 100%. Nazipongeza nchi zote zilizo-abstain na kupinga, uamuzi wao unatuma ujumbe safi sana kwa imperialists kuwa dunia imechoka na haitaki ubwanyenye wao.
As the former minister (and Marxist) Ali Sultan Issa recalled, “here the Chinese were backward; they wanted to develop their country first, but they still helped. Here the Russians were advanced with Sputnik and everything, yet they were stingy” (Burgess 2009: 107).10 source : Socialisms Between Cooperation and Competition: Ideology, Aid and Cold War Politics in Tanzania’s relations with East Germany
 
Kimsingi hapo Dunia imeamua kumwondoa murusi na kumtupa nje. Hao woote walio abstain kimsingi wameunga mkono wa kumfuta Russia
Siyo kweli, tafsiri ya abstain siyo kuunga mkono Bali ni kulipinga azimio kistaarabu. Ingekuwa abstain ni kuunga azimio kusingekuwa na ugomvi kati ya India na Marekani kuhusu Ukraine.
 
Leo Baraza Kuu la Umoja wa Màtaifa lilipigia kura azimio lililopendekezwa na Marekani kuiondoa Urusi kwenye tume ya hàki za binadamu ya umoja wa mataifa.

Sababu ni Urusi kudaiwa kukiuka haki za binadamu ñchini Ukraine wanakopigana vita.

Katika kupiga kura Tanzania iliamua kuungana na nchi zingine 58 kugomea kura hiyo (kutokupiga kura).

Nchi zilizogomea kura zimo India, Afrika ya kusini, Brazil, Bangladesh nk. Zilizopiga kura kupinga azimio zipo 24 ikiwemo Urusi, China, Korea kaskazini, Cuba, nk.

Zilizopitisha azimio zipo 93 ikiwemo Marekani na nchi za Magharibi.

Japo azimio limepita lakini dunia imegawika katikati. Wale ambao hawakuunga azimio kwa maana ya kulipinga au kuligomea nchi zao zina watu wengi zaidi kwa kuwa zimo India, China, Brazil na Bangladesh zenye watu wengi zaidi.


Tufuate haki tuachane na siasa Tanzania imekosea sana kwenye hili. Hata hayo mafuta ya Urusi ya bei rahisi hatupati
 
nchi nyingi za Afrika ambazo ama zilipinga au zili-abstain ni zile zilizoko mfukoni mwa China; walifuata maagizo waliyopewa na China.
 
Burundi
Nchi zisizotaka demokrasia coupled wiyh Njaa hawana ujasiri wa kumkataa wala kumunga mkono.

Urusi imejua marafiki wa kweli🤣🤣
Burundi, Eritrea, Ethiopia na Zimbabwe ni baadhi ya Nchi za Afrika zilizoungana na Urusi na China kulipinga azimio waziwazi.
 
sasa Tanzania ina nini cha maana chakujivunia hapo.inakuwepo kwenye orodha kwasababu nilazima nchi zote zishiriki.Sasa kushiriki alafu unapiga kura ya neutral maana yake huamini katika ndio au hapana.ingekua haipendi kuendeshwa na mabeberu ingepiga kura ya kupinga azimio sio kuabstain.
Wewe naona huijui diplomasia!a
 
Leo Baraza Kuu la Umoja wa Màtaifa lilipigia kura azimio lililopendekezwa na Marekani kuiondoa Urusi kwenye tume ya hàki za binadamu ya umoja wa mataifa.

Sababu ni Urusi kudaiwa kukiuka haki za binadamu ñchini Ukraine wanakopigana vita.

Katika kupiga kura Tanzania iliamua kuungana na nchi zingine 58 kugomea kura hiyo (kutokupiga kura).

Nchi zilizogomea kura zimo India, Afrika ya kusini, Brazil, Bangladesh nk. Zilizopiga kura kupinga azimio zipo 24 ikiwemo Urusi, China, Korea kaskazini, Cuba, nk.

Zilizopitisha azimio zipo 93 ikiwemo Marekani na nchi za Magharibi.

Japo azimio limepita lakini dunia imegawika katikati. Wale ambao hawakuunga azimio kwa maana ya kulipinga au kuligomea nchi zao zina watu wengi zaidi kwa kuwa zimo India, China, Brazil na Bangladesh zenye watu wengi zaidi.
Wakenya walivyo mahanithi lazima watakuwa wamemuunga mkono Mmarekani na genge lake la mabeberu
 
Hakuna mshindi hapa
Ukraine Russia USA Europe wote mikono yao imejaa damu
Kutoa roho za watu kama mnachinja mbuzi ndio nini
Wanakaa vikao kuchaguana na kubaguana huku mabomu yanawalipua watu kama kinyesi kweli hata mmoja atauona uso wa Bwana
Innocent souls zinaangamia for what? Ulafi

Mwalimu alisema 'Nchi isiyofungamana na Upande wowote!' Tunakuelewa sasa Baba
 
Leo Baraza Kuu la Umoja wa Màtaifa lilipigia kura azimio lililopendekezwa na Marekani kuiondoa Urusi kwenye tume ya hàki za binadamu ya umoja wa mataifa.

Sababu ni Urusi kudaiwa kukiuka haki za binadamu ñchini Ukraine wanakopigana vita.

Katika kupiga kura Tanzania iliamua kuungana na nchi zingine 58 kugomea kura hiyo (kutokupiga kura).

Nchi zilizogomea kura zimo India, Afrika ya kusini, Brazil, Bangladesh nk. Zilizopiga kura kupinga azimio zipo 24 ikiwemo Urusi, China, Korea kaskazini, Cuba, nk.

Zilizopitisha azimio zipo 93 ikiwemo Marekani na nchi za Magharibi.

Japo azimio limepita lakini dunia imegawika katikati. Wale ambao hawakuunga azimio kwa maana ya kulipinga au kuligomea nchi zao zina watu wengi zaidi kwa kuwa zimo India, China, Brazil na Bangladesh zenye watu wengi zaidi.
JamiiForums-1924464711.jpg
 
Hatufungamani upande Wowote,Hongera sana Serikali ya Tanzania kwa kutambua hilo.
 
Back
Top Bottom