Endapo Mwenyekiti wa tume utakuwa wewe au mimi ,hilo linawezekana .Kwa hali ilivyo huku mtaani.
Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.
Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.
CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.
Ni hayo tu.
Mafuta yaliporomoka ktk soko la dunia. Kwa unavyofikiri wewe bei ilivyooanda ktk soko huyo JPM angeweza kushusha? Sisi siyo producers. Mafuta duniani kote bei juu isipokuwa ktk nchi wazalishajiJune 2020 yalikua 1500, check jedwali chini.
View attachment 2314103
Kwa hali ilivyo huku mtaani.
Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.
Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.
CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.
Ni hayo tu.
Mimi nimejibu ulivyosema lini mafuta yalikua 1500, ndio nikakumbusha na kukuwekea ushahidi. Kama ulikua unayajua hayo basi hukupaswa kukataa kuwa mafuta yaliwahi kuwa 1500.Mafuta yaliporomoka ktk soko la dunia. Kwa unavyofikiri wewe bei ilivyooanda ktk soko huyo JPM angeweza kushusha? Sisi siyo producers. Mafuta duniani kote bei juu isipokuwa ktk nchi wazalishaji
Ustaarabu gani unaoutaka ewe mfuasi wa Bibi Samia?Heshima kitu muhimu sana! Kwani hamuwezi kujenga hoja kistaarabu? Pls...[emoji120][emoji120][emoji120]
So tuombe Mungu jamaa arudi japo ni kwa njia nyingine?.Ule msemo ni kwa sababu ya kuwabana walio kuwa wanafuja mali za umma. Lakini watu walikuwa wabunifu kuanzisha biashara na wengi walibuni mbinu mbali mbali na uhuru wa kufanya hivyo ulikuwa mwingi. Kwa sasa bila pesa ndefu huwezi anzisha biashara. Maana lazima uwe na pesa ya pango. Pesa ziko na wachache.
Wala hatotokea kiongozi yeyote kutoka CCM ambaye atamfikia kwa jitihada yake. Nchi yote imeozar kwa mwanamke kuiongozar namna anavyokwenda ni wa kupigiwa att mfano. Mpaka Sasa hajatoa roho ya mtu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hakika huyu bibi ni sifuri tupu.
Aisee ni Kama umechafukwa sasaKwa hali ilivyo huku mtaani.
Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.
Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.
CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.
Ni hayo tu.
Taifa limepigwa ganzi, Lakini stealing anadai yu akesha akileta maendeleo 😂😂🙄😳Kwa hali ilivyo huku mtaani.
Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.
Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.
CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.
Ni hayo tu.
Tatizo wameshika mpini tayari so kutokea mtu as yule inaweza kuwa ngumu kidogo sababu wanaweka watoto wao, labda huyo mtoto afanye maamuzi magumu ya kuwageuka.Hakika. Tunataka kuendelea kusonga mbele.
Hivi unajua zanzibar mafuta ni bei cheee 2800 inacheza hadi 2900 hawa ni producer?Mafuta yaliporomoka ktk soko la dunia. Kwa unavyofikiri wewe bei ilivyooanda ktk soko huyo JPM angeweza kushusha? Sisi siyo producers. Mafuta duniani kote bei juu isipokuwa ktk nchi wazalishaji
Nawala hajaondosha maana wote ni walewaleKinachomsaidia huyo mama ni kuwa ameondosha tu wasiojulikana basi....
Mengine yote ni zero
Nan kamchagua?Kama unahasiraa Basi weka sura yako ndio ionekane kwenye karatas ya kura, lakini tambua kuwa mama Samia ndio chaguo la watanzania uchaguzi ujao hata Kama wewe hutampa Kira bado atashinda kwa kishindooo tuuuuuuuuuu