Hataaa asipopigaa kampenii nakuhakikishia kuwaa Rais wetu Mama Samia suluhu Hasan atapitaa kwa kishindo kikubwa sanaaaaaaaaaaaa na, maaana Rais anajitahidi Sana kushugulika na kero za wananchi, pamoja na mtikisiko wa kiuchumi na mfumuko wa Bei unaoikumba Dunia kwa Sasa lakini Rais wetu ameendelea kupambana Sana ikiwepo kuweka ruzuku katika baadhi ya sekta Kama alivyo fanya kwenye mafuta na mbolea, yote haya anayafanya ili kupunguza makali ya maisha kwa mtanzania, kwa hiyo usitake kudanganya na kujidanganya kwa ndoto unazoote hapo ulipo, Asante mama Samia, Nakuomba mh Rais aendelee kusonga mbelee kuwatumikia watanzania bila kukatishwa tamaa na watu wachachee wenye chuki zao binafsi na waliojitia upofu katikati ya juhudi kubwa unazozifanya, Alipo mama na vijanàa tupo, Jambo la mama Ni Jambo letu