Kurejea kwa Elia F. Michael, CHADEMA iwe makini

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hawa vijana waliondoka CHADEMA wenyewe kwa kununuliwa baada ya kushawishiwa , huku wengine wakihamia ccm baada ya vitisho, yeyote anayeogopa vitisho vya watawala hafai kwenye siasa za upinzani.

Ninatambua msululu wa wasaliti wanaoomba kurejea CHADEMA, wakiwemo Wakuu wa Wilaya wawili ambao wako tayari kuachia vyeo na kurudi walikotoka (Haifamiki walichokisahau), Bali naitahadharisha sana Chadema kuwa makini inapowapokea watu hawa , ni kweli kwamba mtaji wa chama cha siasa ni watu, Lakini ni lazima WATU HAO WAWE BINADAMU.

 
Chadema acheni uanaharakati, kama kijana karudi na amekiri kafanya kosa msimsimange, mpokeeni na muwakaribishe wengine chama kiwe kikubwa zaidi, ndio siasa zilivyo
Mkianza kusimanga wanaorudi, wengine hawatarudi

CCM wanakimbia na wanarudi bila kusimangwa, wawaambia karibu nyumbani, wanajua siasa ni watu
 
Hawa vijana waliondoka CHADEMA wenyewe kwa kununuliwa baada ya kushawishiwa , huku wengine wakihamia ccm baada ya vitisho, yeyote anayeogopa vitisho vya watawala hafai kwenye siasa za upinzani...
Huwa nakuunga mambo mengi kwa hili hapana, kwenye siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu, Halima, Ester wapo wapi? na wanaweza kurudi
 
Hivi hawa watu huwa ajira yao ni siasa pekee?
 
Nashauri akutane na Mbowe nadhani atafunguka mambo mengi sn, pia Mbowe ni mtu mwenye hekima na busara sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…