Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni kweli lakini kuna mazingira, Lema ametoka wapi na Mchungaji Msigwa?Mwanasiasa akiwa hana msimamo anapoteza ushawishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli lakini kuna mazingira, Lema ametoka wapi na Mchungaji Msigwa?Mwanasiasa akiwa hana msimamo anapoteza ushawishi
Nakumbuka hilo jamboAlienda kushika Pamba yao wakamwambia watampa rushwa akakubali kupanda gari lao wakamtupa nje ya gari iliyokuwa spidi ya 120Kph. kidogo afe.
Chadema acheni uanaharakati, kama kijana karudi na amekiri kafanya kosa msimsimange, mpokeeni na muwakaribishe wengine chama kiwe kikubwa zaidi, ndio siasa zilivyo
Mkianza kusimanga wanaorudi, wengine hawatarudi
CCM wanakimbia na wanarudi bila kusimangwa, wawaambia karibu nyumbani, wanajua siasa ni watu
Asamehewe basi maisha yaende
Huyu nae anaimpact gani kwa siasa za Tanzania?Aachwe arejee lakini asipewe nafasi yoyote ya uongozi. Yeye kazi yake iwe kubeba briefcase za viongozi.
Aliyekuwa kijana mtiifu na mtumikia wasiokuwa na shukrani Diwani wa Gwarama msomi wa UDMS baada ya kuachana chadema Leo amekuja kukiuwa na kukizika jumla hapa Gwarama katani na ujumbe umesambaa Kakonko nzima sasa wananchi wanaondoa vibendela vyote na chadema ndio mwisho wake wilayana KakonkoMkuu mimi natokea Kajunjumele Kyela
Mwanasiasa akiwa hana msimamo anapoteza ushawishi
Yeye anataka cheo?Ameshasamehewa mkuu, ila cheo hapana.
Mwanasiasa akiwa hana msimamo anapoteza ushawishi
Huyu nae anaimpact gani kwa siasa za Tanzania?
usitegemee siku ccm kutoka madarakani ila tegemea kuwa mpinzani mpaka dunia inaishaCcm lazima wawapokee maana wanajua chama chao kimepoteza ushawishi kwa umma. Siku ccm ikitoka madarakani ndio utajua msimamo wao halisi kwa hao wahamaji. Hatukatai wao kurudi chamani, lakini vyeo wasubiri hadi miaka 7+ watu wapime uvumilivu wao. Ni tatizo kuwa na watu ambao wakikutana na dhoruba wanahama, kisha wanaenda kutumika kwenye propaganda za kukichafua chama.
Yeye anataka cheo?
Ni wapi alipopokelewa kwa mbwembwe , na Je alifanikiwa kuua chadema Kakonko ?Aliyekuwa kijana mtiifu na mtumikia wasiokuwa na shukrani Diwani wa Gwarama msomi wa UDMS baada ya kuachana chadema Leo amekuja kukiuwa na kukizika jumla hapa Gwarama katani na ujumbe umesambaa Kakonko nzima sasa wananchi wanaondoa vibendela vyote na chadema ndio mwisho wake wilayana Kakonko
Wanainchi wameeita zawadi ya sijui za mwisho wa mwaka
Onyo: ukifika Kakonko usipanue vidole juu huku sasa ni ccm na maendeleo sio muda wa kudai demokrasia
USSR
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
halafu mnampokea kwa mbwembwe kwakweli mbowe hakuna kitu hapo mnapigwa na kitu kizito
OkeyKilichompeka ccm ni cheo, kuonyesha kuwa kwake cheo ni kipaombele.
Muha Huyo Wa KigomaAachwe arejee lakini asipewe nafasi yoyote ya uongozi. Yeye kazi yake iwe kubeba briefcase za viongozi.
Nothing lasts longerusitegemee siku ccm kutoka madarakani ila tegemea kuwa mpinzani mpaka dunia inaisha