Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja🙏Aachwe arejee lakini asipewe nafasi yoyote ya uongozi. Yeye kazi yake iwe kubeba briefcase za viongozi.
Una matatizo ya kifikra huyu boya aliyeridhika na utendaji wa kijiji?
Nashukuru ila mimi siyo Mnyika , naitwa Erythrocyte natokea Kyela , MbeyaKabisa mkuu. Kwa nionavyo mupo watu mnakipigania chama hata iwe Magufuli au bashite hamkuogopa, bado mkabaki mmesimama kwenye mstari kwa ajili ya uhai wa chama. Japo sijajua wewe ni Mnyika au ni nani kwenye chama. Ila unastahiri pongezi mkuu
sasa nyie ndiyo mjione wapumbavu yaani mtu mwenye tamaa za aina hiyo mnakubali awaendeshe kishenzi namna hiyo? hicho siyo chama ni saccos ya mbowe akiamua ameamua hakuna mtu wa kudindisha hapoCdm hakuna watu wakati alikuwa cdm akaahidiwa na shetani kupewa fahari ya dunia hii? Saa hii shetani yuko ahera madukani ameamua mwenyewe kurudi chama la wana, maana ameona huko cha la wazee hakuna vibe kabisa zaidi ya kutegemea vyombo vya dola.
mtoto wa Alipipi kasyupaNashukuru ila mimi siyo Mnyika , naitwa Erythrocyte natokea Kyela , Mbeya
Karibuni CDM hatuna chuki wala kinyongo.Hawa vijana waliondoka CHADEMA wenyewe kwa kununuliwa baada ya kushawishiwa , huku wengine wakihamia ccm baada ya vitisho, yeyote anayeogopa vitisho vya watawala hafai kwenye siasa za upinzani.
Ninatambua msululu wa wasaliti wanaoomba kurejea CHADEMA, wakiwemo Wakuu wa Wilaya wawili ambao wako tayari kuachia vyeo na kurudi walikotoka (Haifamiki walichokisahau), Bali naitahadharisha sana Chadema kuwa makini inapowapokea watu hawa , ni kweli kwamba mtaji wa chama cha siasa ni watu, Lakini ni lazima WATU HAO WAWE BINADAMU.
View attachment 2176348
Hapana , Kasyupa kwao ni Maeneo ya Mundamba , ni Talatala au Mwaya au ilopa , mimi kwetu ni Kajunjumele barabara ya kwenda Itungi Port , sina uhusiano wowote wa Kindugu na Mzee Kasyupa , uhusiano wetu ni Chadema tumtoto wa Alipipi kasyupa
Ahaa, wewe una julikana kuwa una chuki na hayati bila sababau za msingi.Aliridhika au alisamisha usalama wake kutokana na utawala wa kidhalimu wa jiwe?
una uhakika na hilo neno lako la "Bila sababu za msingi ?"Ahaa, wewe una julikana kuwa una chuki na hayati bila sababau za msingi.
Kila mtu humu ndani anamjua huyu jamaa. Ana chuki za ajabu sana dhidi ya hayati.una uhakika na hilo neno lako la "Bila sababu za msingi ?"
Chadema mkitegemea hizi siasa zenye uaminifu kama kwenye ndoa, mtasubiri sana....Wanasiasa wote wanaongozwa kwa maslahi kwanza, itikadi ndio inafuata, mwanasiasa hatajiunga na chama kama akiona hiki chama hakina possibility ya kumpa ushindi, hata kama ndio chenye itikadi yake.. Chadema wenyewe waliona kulijua hilo kipindi kile walipomchukua Lowassa na kumpa agombee urais badala ya Slaa
Na CCM bado ina ushawishi mkubwa tu, inatumia vyombo na taaisi karibu zote kufanya propaganda zake na wananchi wengi bado wanashawishika.
na hapa mnaposema CCM haina kabisa ushawishi ndipo Chadema mnafanya kosa kubwa, la kui underestimate CCM, mnajioa mna ushawishi sana na CCM haina ushawishi, matokeoa yake mkienda kwenye uchaguzi mnapigwa, mkiitisha maandamano hakuna anayekuja, mkiaznisha join the chain ndio hiyo inasuasua... Jengeni chama kwa kuvutia watu wote, wawe moderate au msimamo mkali, mkitaka extremists tu, mtakuwa nao kule Twitter na JF, sio mtaani
sasa nyie ndiyo mjione wapumbavu yaani mtu mwenye tamaa za aina hiyo mnakubali awaendeshe kishenzi namna hiyo? hicho siyo chama ni saccos ya mbowe akiamua ameamua hakuna mtu wa kudindisha hapo
Ahaa, wewe una julikana kuwa una chuki na hayati bila sababau za msingi.
Hapa ndipo upinzani mnapojidanganyaAachwe arejee lakini asipewe nafasi yoyote ya uongozi. Yeye kazi yake iwe kubeba briefcase za viongozi.
Uongozi wa Chadema mtakuja juta na huyu mtuAlisharudi kitambo sn, ingia Twitter utaona, hapa huku Rombo mkuu anashinda ofisi za CHADEMA