Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Haa Muha Huyo Sijui Ana NiniHivi hawa watu huwa ajira yao ni siasa pekee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haa Muha Huyo Sijui Ana NiniHivi hawa watu huwa ajira yao ni siasa pekee?
aliiua na sasa mnakula matapishi aliwatapika sasa mnamrudia tena na uongozi mtampa maana kwenu hakuna watu wenye akili ya kuwa viongozi mnatia aibu mtu akihamia tu anapewa cheo?Ni wapi alipopokelewa kwa mbwembwe , na Je alifanikiwa kuua chadema Kakonko ?
Haa Kajiotesha Mkia TayariHuyu ng'ombe aliyekatwa mkia atengwe upande wa kushoto huko tutakuwa tunamtuma kwenye matukio ya hatari-hatari bila kumpa taarifa ya kinachoenda kufanyika.
mnajipa matumaini ambayo hayapoNothing lasts longer
😄😃😃Dogo kaanza " umalaya" mapema sana mpaka afikie 40+ atakuwa amehama sana,maana atafika chadema ataona hana thamani kama ya mwanzo atahama tena.........
na chadema anarudi kutafuta cheo kuonyesha kuwa chadema hakuna watu watampa cheoKilichompeka ccm ni cheo, kuonyesha kuwa kwake cheo ni kipaombele.
Msalimie Oscer!Mkuu mimi natokea Kajunjumele Kyela
Aliyekuwa kijana mtiifu na mtumikia wasiokuwa na shukrani Diwani wa Gwarama msomi wa UDMS baada ya kuachana chadema Leo amekuja kukiuwa na kukizika jumla hapa Gwarama katani na ujumbe umesambaa Kakonko nzima sasa wananchi wanaondoa vibendela vyote na chadema ndio mwisho wake wilayana KakonkoKama mtu unahama Chadema hama ila sio kukihujumu na kukifuta na kung'oa Bendera...
na chadema anarudi kutafuta cheo kuonyesha kuwa chadema hakuna watu watampa cheo
Kama walivyoongea wengine msimkatalie mtu kuja kwenye chama. Ndio uhai wa chama. Wakaribisheni tu,ila anakuwa chini ya uangalizi kwa muda fulani
Una matatizo ya kifikra huyu boya aliyeridhika na utendaji wa kijiji?Kwa taarifa yako ukiacha ulegevu wake, alikuwa na ushawishi wa kisiasa kuliko yule dhalimu wa chattle.
Chadema mkitegemea hizi siasa zenye uaminifu kama kwenye ndoa, mtasubiri sana....Wanasiasa wote wanaongozwa kwa maslahi kwanza, itikadi ndio inafuata, mwanasiasa hatajiunga na chama kama akiona hiki chama hakina possibility ya kumpa ushindi, hata kama ndio chenye itikadi yake.. Chadema wenyewe waliona kulijua hilo kipindi kile walipomchukua Lowassa na kumpa agombee urais badala ya SlaaCcm lazima wawapokee maana wanajua chama chao kimepoteza ushawishi kwa umma. Siku ccm ikitoka madarakani ndio utajua msimamo wao halisi kwa hao wahamaji. Hatukatai wao kurudi chamani, lakini vyeo wasubiri hadi miaka 7+ watu wapime uvumilivu wao. Ni tatizo kuwa na watu ambao wakikutana na dhoruba wanahama, kisha wanaenda kutumika kwenye propaganda za kukichafua chama.
aliiua na sasa mnakula matapishi aliwatapika sasa mnamrudia tena na uongozi mtampa maana kwenu hakuna watu wenye akili ya kuwa viongozi mnatia aibu mtu akihamia tu anapewa cheo?