Kurejea kwa Elia F. Michael, CHADEMA iwe makini

Kurejea kwa Elia F. Michael, CHADEMA iwe makini

Mnajinasibu kuwa ninyi ni chama kikuu cha upinzani na kuwa mnainfluence kubwa sasa inakuwaje mnashangilia mtu aliyekimbilia kupoza njaa kwa utendaji wa kijiji?

Sasa hivi mtakuwa mnaiita press Conference kila magalasa yanaporudi Chadema.

Maana Chadema yenu ilishapoteza mvuto na ushawishi kwa jamii.

Nilitegemea Dk Mollel arudi Chadema ili mtikise watu kisiasa.
Unamfunga mikono bondia dhaifu, refa wako, majaji wako na unashangilia ushindi ...hivi CCM uzao wenu una matatizo Gani !!?? Yaani huyo dhaifu anakwambia weka Tume huru tyingize timu tucheze unaogopa unasema mpaka uchaguzi 2025 upite ... Hivi mna makamasi humo kichwani au ubongo wenu umejaa maji!!?? Hauoni Hapo aliyepoteza mvuto na muoga ni nani !!??
 
Aliyekuwa kijana mtiifu na mtumikia wasiokuwa na shukrani Diwani wa Gwarama msomi wa UDMS baada ya kuachana chadema Leo amekuja kukiuwa na kukizika jumla hapa Gwarama katani na ujumbe umesambaa Kakonko nzima sasa wananchi wanaondoa vibendela vyote na chadema ndio mwisho wake wilayana Kakonko

Wanainchi wameeita zawadi ya sijui za mwisho wa mwaka

Onyo: ukifika Kakonko usipanue vidole juu huku sasa ni ccm na maendeleo sio muda wa kudai demokrasia

USSR
IMG-20191222-WA0009.jpeg


IMG-20191222-WA0011.jpeg


IMG-20191222-WA0007.jpeg


IMG-20191222-WA0010.jpeg


IMG-20191222-WA0011.jpeg


IMG-20191222-WA0006.jpeg

halafu mnampokea kwa mbwembwe kwakweli mbowe hakuna kitu hapo mnapigwa na kitu kizito
sasa wewe unawashwa na nini ndugu?.Jali mambo yako na mbowe ajali mambo yake.nini kuwashwa washwa.
 
usitegemee siku ccm kutoka madarakani ila tegemea kuwa mpinzani mpaka dunia inaisha
Wewe hapo ulipo huna ata mda mrefu utakufa alafu unaongelea mambo ya dunia kuisha.unajua mwisho wa dunia wewe.
 
Mnajinasibu kuwa ninyi ni chama kikuu cha upinzani na kuwa mnainfluence kubwa sasa inakuwaje mnashangilia mtu aliyekimbilia kupoza njaa kwa utendaji wa kijiji?

Sasa hivi mtakuwa mnaiita press Conference kila magalasa yanaporudi Chadema.

Maana Chadema yenu ilishapoteza mvuto na ushawishi kwa jamii.

Nilitegemea Dk Mollel arudi Chadema ili mtikise watu kisiasa.
Mollel hakuwahi kuwa chadema
 
Huyo mtu apewe kadi ila asinuse pua yake popote kwenye ngazi yoyote ya uongozi msaliti wakati wa vita ni mtu hatari sana. Alituacha tukiwa imara na amerudi tukiwa imara zaidi ya jana.
 
Mimi ni miongoni mwa watu makini niliyefatilia kisa cha Elia Fanuel Kuhamia CCM.

wakati w simba wa Yuda ilikupasa kuchagua uhai au kifo.

Lissu akichagua uhai baada ya uchaguzi

Lema alichagua uhai baada ya uchaguzi.

Ngurumo alichagua uhaia.

Neywa Mitego alichagua Uhai.

Elia Michael alichagua uhai pia.

Tusimbeze wana kakonko mnamjua vizuri huyu kijana zaidi yetu wa mbali.

Kijana akiwa na maisha ya kawaida kabisa aliisumbua sana CCM huko Buyungu. Kiasi cha kushambuliwa Massively.

Ni kweli kuwa Elia hakuna na option nyingine.
Mkuu kama wakati ule angepewa Ukuu wa wilaya ambao angekuwa anaendelea nao mpaka Leo angerudi kama alivyorudi?

Ukijibu swali hili tutarudi kuichambua comment yako pamoja.
 
Kila mtu humu ndani anamjua huyu jamaa. Ana chuki za ajabu sana dhidi ya hayati.
Sasa hayati alivyokuwa shetani apendwe nanani? Kwanza hata cheo cha hayati hakimstahili yule ni mwendazake au mzoga ulioondolewa duniani kwa laana. Hayati ni kama nyerere sokoine nk
 
Sasa hayati alivyokuwa shetani apendwe nanani? Kwanza hata cheo cha hayati hakimstahili yule ni mwendazake au mzoga ulioondolewa duniani kwa laana. Hayati ni kama nyerere sokoine nk
Acha kujipendekeza kwa wanaume kujibu post zao
 
Mkuu kama wakati ule angepewa Ukuu wa wilaya ambao angekuwa anaendelea nao mpaka Leo angerudi kama alivyorudi?

Ukijibu swali hili tutarudi kuichambua comment yako pamoja.
Huenda angerudi. Mleta uzi kasema tayari kuna maombi ya wakuu wa wilaya wawili yako pending kwa lengo la kurudi
 
Unamfunga mikono bondia dhaifu, refa wako, majaji wako na unashangilia ushindi ...hivi CCM uzao wenu una matatizo Gani !!?? Yaani huyo dhaifu anakwambia weka Tume huru tyingize timu tucheze unaogopa unasema mpaka uchaguzi 2025 upite ... Hivi mna makamasi humo kichwani au ubongo wenu umejaa maji!!?? Hauoni Hapo aliyepoteza mvuto na muoga ni nani !!??
Hii inatafakarisha sana. Wanaccm kwa kujipa matumaini hewa hawajambo.
 
Hawa vijana waliondoka CHADEMA wenyewe kwa kununuliwa baada ya kushawishiwa , huku wengine wakihamia ccm baada ya vitisho, yeyote anayeogopa vitisho vya watawala hafai kwenye siasa za upinzani.

Ninatambua msululu wa wasaliti wanaoomba kurejea CHADEMA, wakiwemo Wakuu wa Wilaya wawili ambao wako tayari kuachia vyeo na kurudi walikotoka (Haifamiki walichokisahau), Bali naitahadharisha sana Chadema kuwa makini inapowapokea watu hawa , ni kweli kwamba mtaji wa chama cha siasa ni watu, Lakini ni lazima WATU HAO WAWE BINADAMU.

View attachment 2176348
Kwahiyo Chadema hamjui kilichomtokea huyo dogo mpaka akajikuta ni mwanampotevu awamu ile?.Huyo jamaa nusu aliwe ule mtandao pendwa hatua yake ya kuunga juhudi ndio ilikuwa pona yake yeye na familia yake.Tafadhali mpokeeni huyo ni CHADEMA in blood
 
Kwahiyo Chadema hamjui kilichomtokea huyo dogo mpaka akajikuta ni mwanampotevu awamu ile?.Huyo jamaa nusu aliwe ule mtandao pendwa hatua yake ya kuunga juhudi ndio ilikuwa pona yake yeye na familia yake.Tafadhali mpokeeni huyo ni CHADEMA in blood
Naunga mkono Elia apokelewe ni kijana aliyewakazia mpaka wakamtumia vikosi.
 
Tunaheshimu mawazo yako, ila Sumaye hakuwa mwanacdm bali alikuwa mzee mwanaccm aliyeondoka ccm kwa kuzira na kupata hifadhi ya muda mfupi. Ni tofauti na Elia ambaye ni kijana na alikuwa mwanacdm. Cheo siafiki apewe, ila kubeba briefcase za viongozi na kupanga viti wakati wa mikutano, ni sehemu ya kitubio chake.
Awe mwanachama wa kawaida kama wengine walioko vijijini
Kwa nini awe karibu na viongozi au office za chama?
Hamjifunzi bado
Hana la kuongeza ktk chama zaidi ya kuharibu mbona hamuelewi?
Who the lleh is he?
Why mna pa promo kiasi hiki?
Msaliti ni msaliti period!
 
Back
Top Bottom