Yuko wapi Cyprian Musiba ?!?Kwa hofu hiyo ya mikutano ya kisiasa nchini, CCM badala kujiandaa kunadi sera, maono na mipango yake wao wanachosubiri ni kujibu hoja za CHADEMA tena kupitia kikundi cha watu wanaojiita chawa wa mama!
Ajitokeze awaombe waTanzania msamaha sivyo imemtafuna ajielewe