Kusema ukweli mtaani hali ni mbaya, cha kushangaza viongozi hawajali kabisa

Kusema ukweli mtaani hali ni mbaya, cha kushangaza viongozi hawajali kabisa

muafi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
2,557
Reaction score
6,128
Hali ni mbaya hali ni mbaya kupita maelezo, mitaani hali inazidi kuwa tete vitu havishikiki bei nashangaa imekuaje kumekua na mfumuko wa bei za bidhaa wa ghafla namna hii? yani vitu vimepanda bei kwanzia dawa ya mswaki mpaka vifaa vya kielekroniki na vifaa vya ujenzi,

mfumuko wa bei huu unatuathiri sana cha kushangaza viongozi ni kama vile hawajali hii kitu wanaona ni kawaida tu wako bize kutafutana kwaajili ya uchaguzi wa 2025, ajira hakuna, kazi hakuna hela hakuna vitu vinapanda bei hovyohovyo.

nyie viongozi mnajua kua Raia wenu sasa hivi hata chai hawanywi? na mboga tunapika bila mafuta.

inahuzunisha sana asee tunaishi kama digidigi

FB_IMG_16409610664821310.jpg
 
Mi nimelia sana usiku nikitaman hata mchoz wangu ugeuke pesa nizikute asubuhi ndo kwanza nimekuta mto umeweka alama.Na shule ndo hizo zinafunguliwa j3[emoji53][emoji36][emoji24]
Ushauri tu: ada binafsi huwa nalipa novemba kwa ajili ya mwaka ujao...hapa niko mwepeesii...ada ni stress sana ya kuanza nayo mwaka usipoweka mipangilio yako vizuri....hapa niko kutafuta ada ya muhula wa pili nilipe mwezi wa pili niwe sina deni la ada ya 2022....tuweke mipangilio kulingana na nafasi ya kiuchumi tuliyomo tutapunguza stress.
 
Hali ni mbaya hali ni mbaya kupita maelezo, mitaani hali inazidi kuwa tete vitu havishikiki bei nashangaa imekuaje kumekua na mfumuko wa bei za bidhaa wa ghafla namna hii? yani vitu vimepanda bei kwanzia dawa ya mswaki mpaka vifaa vya kielekroniki na vifaa vya ujenzi...
Wahawezi kukuelewa mwisho wa siku utaitwa Sukuma gang!
 
Wameweka kwenye autopilot, hawana total control kwenye uchumi, money circulation etc.......bongolala is doomed, kinalicho dhahiri ni ile sheria ya mwituni...........survival of the fittest...
 
Hali ni mbaya hali ni mbaya kupita maelezo, mitaani hali inazidi kuwa tete vitu havishikiki bei nashangaa imekuaje kumekua na mfumuko wa bei za bidhaa wa ghafla namna hii? yani vitu vimepanda bei kwanzia dawa ya mswaki mpaka vifaa vya kielekroniki na vifaa vya ujenzi,

mfumuko wa bei huu unatuathiri sana cha kushangaza viongozi ni kama vile hawajali hii kitu wanaona ni kawaida tu wako bize kutafutana kwaajili ya uchaguzi wa 2025,
ajira hakuna, kazi hakuna hela hakuna vitu vinapanda bei hovyohovyo

nyie viongozi mnajua kua Raia wenu sasa hivi hata chai hawanywi? na mboga tunapika bila mafuta

inahuzunisha sana asee tunaishi kama digidigi

View attachment 2079053
Wakati huo viongozi wetu wakilipana winding up allowance mishahara ya miezi 24 na ma V8 mpya with 280 litres/month.
 
Ni awamu ya matajiri kukenua na maskini kusagia meno,mpaka Mungu atakapoingilia Kati.
Kwan awamu iliyopita ndo ilikua kwaajil ya masikini? Hakuna hicho kitu mzee hakuna atakae kuja na kuanza kumjali mtanzania kimaisha itachukua miaka. Sisi tutaendelea kushughulika na elimu, maji, barabara, madaraja, kujenga shule, zahanati. Baaas!!! Hakuna strategies za kuandaa ajira, viwanda vingi ni muhimu sana kwaajil ya kutoa ajira, utalii ulipaswa upewe priority kuutangaza kwa gharama yoyote vyote hivi vingeongeza ajira sana, now utaajir vip wakati utalii umeshuka sana? Despite mambo ya Corona bado kama NCHI tunapaswa kuitangaza Tanzania sana kiutaliii. Tuna vivutio vya asili lukuki, tulipaswa kutumia nguvu kubwa kuitangaza tanzanite kimataifa, ili ule ujinga wa tanzanite inapatika Kenya uishe kbs. Mambo yapo mengi sana lkn ndo hivo tena

Screenshot_20211029-110122.png
 
Maisha ya mwana-Adam hayajawahi kuwa rahisi hata siku mmoja na haita tokea kuwa rahisi hata siku mmoja na kila miaka inavyo kwenda mbele ndio maisha yanavyo kuwa magumu na hii ndio hali halisi.

Tena Dunia Tatu ndio jangaa hasa na hili ongezeko la watu na serikali kutokuwa na mipango inayo kwenda sambamba na ongezeko la watu mbona hali ndio itazidi kuwa ngumu .

Sent from my SM-G975F using JamiiForums mobile app
 
Aliye
Hali ni mbaya hali ni mbaya kupita maelezo, mitaani hali inazidi kuwa tete vitu havishikiki bei nashangaa imekuaje kumekua na mfumuko wa bei za bidhaa wa ghafla namna hii? yani vitu vimepanda bei kwanzia dawa ya mswaki mpaka vifaa vya kielekroniki na vifaa vya ujenzi,

mfumuko wa bei huu unatuathiri sana cha kushangaza viongozi ni kama vile hawajali hii kitu wanaona ni kawaida tu wako bize kutafutana kwaajili ya uchaguzi wa 2025, ajira hakuna, kazi hakuna hela hakuna vitu vinapanda bei hovyohovyo.

nyie viongozi mnajua kua Raia wenu sasa hivi hata chai hawanywi? na mboga tunapika bila mafuta.

inahuzunisha sana asee tunaishi kama digidigi

View attachment 2079053
Aliyeshiba hamjari mwenye njaa,viongozi wanaishi maisha ya hanasa kubwa,fikiria Ndugai atalipwa mshahara mpaka anakufa,atakuwa anapewa Lita 70 za diesel kila wiki,atapewa dereva wa serikali mpaka afe.huyo ni Ndugai tu ambaye ni WA hovyo,hao wengine vipi.
 
Back
Top Bottom