muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,557
- 6,128
Hali ni mbaya hali ni mbaya kupita maelezo, mitaani hali inazidi kuwa tete vitu havishikiki bei nashangaa imekuaje kumekua na mfumuko wa bei za bidhaa wa ghafla namna hii? yani vitu vimepanda bei kwanzia dawa ya mswaki mpaka vifaa vya kielekroniki na vifaa vya ujenzi,
mfumuko wa bei huu unatuathiri sana cha kushangaza viongozi ni kama vile hawajali hii kitu wanaona ni kawaida tu wako bize kutafutana kwaajili ya uchaguzi wa 2025, ajira hakuna, kazi hakuna hela hakuna vitu vinapanda bei hovyohovyo.
nyie viongozi mnajua kua Raia wenu sasa hivi hata chai hawanywi? na mboga tunapika bila mafuta.
inahuzunisha sana asee tunaishi kama digidigi
mfumuko wa bei huu unatuathiri sana cha kushangaza viongozi ni kama vile hawajali hii kitu wanaona ni kawaida tu wako bize kutafutana kwaajili ya uchaguzi wa 2025, ajira hakuna, kazi hakuna hela hakuna vitu vinapanda bei hovyohovyo.
nyie viongozi mnajua kua Raia wenu sasa hivi hata chai hawanywi? na mboga tunapika bila mafuta.
inahuzunisha sana asee tunaishi kama digidigi