Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jua hïvyo. Husomi mwandiko wake!??Umejuaje...
Ngoja aje kutoa muongozo...Jua hïvyo. Husomi mwandiko wake!??
Mfuate PM.Ngoja aje kutoa muongozo...
Hapana...Mfuate PM.
Tuishie hapahapa mkuu,asante kwa ushirikianoPole sana...
Hayo ni majukumu ya baba, why uyawazie...
DoneSingle mom huyoo
Dah kweli January imekuwa mwezi mfupi sanaMi nimelia sana usiku nikitaman hata mchoz wangu ugeuke pesa nizikute asubuhi ndo kwanza nimekuta mto umeweka alama.Na shule ndo hizo zinafunguliwa j3[emoji53][emoji36][emoji24]
Huku kwetu vijiwe vya kahawa vinapungua uwepo wa MAFUNDI WAASHI kukaa bure....Hali ni mbaya hali ni mbaya kupita maelezo, mitaani hali inazidi kuwa tete vitu havishikiki bei nashangaa imekuaje kumekua na mfumuko wa bei za bidhaa wa ghafla namna hii? yani vitu vimepanda bei kwanzia dawa ya mswaki mpaka vifaa vya kielekroniki na vifaa vya ujenzi,
mfumuko wa bei huu unatuathiri sana cha kushangaza viongozi ni kama vile hawajali hii kitu wanaona ni kawaida tu wako bize kutafutana kwaajili ya uchaguzi wa 2025, ajira hakuna, kazi hakuna hela hakuna vitu vinapanda bei hovyohovyo.
nyie viongozi mnajua kua Raia wenu sasa hivi hata chai hawanywi? na mboga tunapika bila mafuta.
inahuzunisha sana asee tunaishi kama digidigi
View attachment 2079053
Hii nzuriUshauri tu: ada binafsi huwa nalipa novemba kwa ajili ya mwaka ujao...hapa niko mwepeesii...ada ni stress sana ya kuanza nayo mwaka usipoweka mipangilio yako vizuri....hapa niko kutafuta ada ya muhula wa pili nilipe mwezi wa pili niwe sina deni la ada ya 2022....tuweke mipangilio kulingana na nafasi ya kiuchumi tuliyomo tutapunguza stress.
Asante mpenzKulia haitosaidia, jaribu kumkopa mtu halafu uingie mtaani kutafuta pesa ya watu, ndivo watu wanavyo ishi mam.
Pambana hakuna awamu rahisi.Magufuli mlisema amebana,kafa mkanywa na pombe kufurahia,leo tena bado mambo mnadai ni magumu.na badoTofauti iliopo sasa na awamu ya tano ni kwamba awamu ya sita tunaishi bila hofu kutoka juu ila kiuchumu awamu ya sita aliharibu sanaa paka mda upite
Yaaani mliomba Magufuli atoke,saiv mnaomba tena arudi,Mungu si wakumgeuza geuza akili hivyo km unavykfikiria.mtalimia meno 😂😂kwa mfumko wa bei ulivyo kwa sasa ni heli Mungu aturudishie yule dikiteta wetu tu,maana hawa wanademokrasia watatua kwa ukimya wao huku bidhaa mitaani hazishikiki bei.
Tunafungua nchi.Kg ya viazi mbatata mkoa naoishi imetoka shs 800 hadi 1500
RubbishTofauti iliopo sasa na awamu ya tano ni kwamba awamu ya sita tunaishi bila hofu kutoka juu ila kiuchumu awamu ya sita aliharibu sanaa paka mda upite
Hakuna haja ya kumwaga mchele kwenye kuku wengi, 🤛Tuishie hapahapa mkuu,asante kwa ushirikiano