Kusema ukweli mtaani hali ni mbaya, cha kushangaza viongozi hawajali kabisa

Mi nimelia sana usiku nikitaman hata mchoz wangu ugeuke pesa nizikute asubuhi ndo kwanza nimekuta mto umeweka alama.Na shule ndo hizo zinafunguliwa j3[emoji53][emoji36][emoji24]
Dah kweli January imekuwa mwezi mfupi sana
 
Huku kwetu vijiwe vya kahawa vinapungua uwepo wa MAFUNDI WAASHI kukaa bure....

Mama ameifungua nchi na zile trilioni 1.3 tunaziona wenzako....
 
Hii nzuri
 
Mama keshasema mbuzi wale ila wasivimbiwe [emoji2297]
 
kwa mfumko wa bei ulivyo kwa sasa ni heli Mungu aturudishie yule dikiteta wetu tu,maana hawa wanademokrasia watatua kwa ukimya wao huku bidhaa mitaani hazishikiki bei.
 
Tofauti iliopo sasa na awamu ya tano ni kwamba awamu ya sita tunaishi bila hofu kutoka juu ila kiuchumu awamu ya sita aliharibu sanaa paka mda upite
Pambana hakuna awamu rahisi.Magufuli mlisema amebana,kafa mkanywa na pombe kufurahia,leo tena bado mambo mnadai ni magumu.na bado

Hakuna awamu rahisi,fanya kazi
 
kwa mfumko wa bei ulivyo kwa sasa ni heli Mungu aturudishie yule dikiteta wetu tu,maana hawa wanademokrasia watatua kwa ukimya wao huku bidhaa mitaani hazishikiki bei.
Yaaani mliomba Magufuli atoke,saiv mnaomba tena arudi,Mungu si wakumgeuza geuza akili hivyo km unavykfikiria.mtalimia meno πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kg ya viazi mbatata mkoa naoishi imetoka shs 800 hadi 1500
 
Mfumuko wa bei wa 100% umetokea kwenye nini na katika miezi ipi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…