Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #41
Anatumia maonyo kama mlezi na baadae sheria itafata mkondo wake. Watu wasilaumHamna kitu Sa100 anayaambia mafisadi yatupishe...ndo nn hiyo sasa?!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatumia maonyo kama mlezi na baadae sheria itafata mkondo wake. Watu wasilaumHamna kitu Sa100 anayaambia mafisadi yatupishe...ndo nn hiyo sasa?!.
Ametumia kilugha kuongea matusi sasa hapo asilaumu mtu.Asiwafunge macritics wake amfungulie Dawa Juma hii ndio Democracy.
View attachment 2613139
Akina kasimu ndio mliongea hivi🤣🤣mwacheni rais wa mpito amalizie urithi wake bila kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa
Hakuna kama MamaNaunga mkono hoja Mama katubeba sana nani kama Mama?
Hazina ilikombwa na walioluwepo kabla yake.Chawa hamnaga aibu, ndugu tuangalie kizazi chetu kinakuja Kitakuta hakuna kitu kwenye hazina, Sasa hivi Serikali imekopa Tilioni 30 ndani ya miaka 2, na hazionekani zilipo kwenda. Mfumko wa Bei asilimia 120. Mungu hatusaidie.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Jaji Mgeta na yeye juzi katema Cheche😃😃Wananchi tuna amani....tumenenepa😁
Ukiwa Rais Tanzania automatically wewe ni DrDr J. Magufuli, PhD.
Huyo mwingine Dr ya Nini aseee
[emoji3]kumve wewe ni mnene!!.Wananchi tuna amani....tumenenepa[emoji16]
"Ushungi" na "Mapunye" tokea lini yamekuwa ni matusi?Ametumia kilugha kuongea matusi sasa hapo asilaumu mtu.
Sheria za mitandao walizofurahia wakati wa Rais wao ndio hizo hizo zinawafunga.
Kama Asha boko yani....ila kipindi cha mwendazake nlikua kama mange 😁[emoji3]kumve wewe ni mnene!!.
Imhitepu bwana we ni mtu makini acha kutete uozo."Ushungi" na "Mapunye" tokea lini yamekuwa ni matusi?
Ni kweli kabisaUkiwalinganisha hao kwa viwango vyao Samia amewazidi hata JK. Japo wote ni ccm chama chakavu
Sio uozo ishu kama hizi ndio zinafanya Samia aonekane kuwa hataki kuwa na tabia za Authoritarian leader.Imhitepu bwana we ni mtu makini acha kutete uozo.
Sasa ndio hata walevi wamchezee?Sio uozo ishu kama hizi ndio zinafanya Samia aonekane kuwa hataki kuwa na tabia za Authoritarian leader.
Kama anapenda kusifiwa n kupongezwa basi akubali kukosolewa wazi wazi mimi binafsi najua Samia ana kifua kipana kweli kweli asiruhusu hao wa chini yake wamuharibie.
😃😃😃ulikuwa kama wema wa siku hiziKama Asha boko yani....ila kipindi cha mwendazake nlikua kama mange 😁
Hivi mtu alie hai anamzidije marehemu?, pathetic [emoji817]Kwa sasa jinsi Nchi inavyoongozwa kwa utulivu na amani huku tukishuhudia maendeleo kede kede, ajira za hapa na pale, miundo mbinu, wafanykazi kuboreshewa maslahi yao.
Si hivyo tu hata majaji wetu wa mahakama wanapumua sasahivi. Wanalala kwa amani bila simanzi ya kubambikia mtanzania mwenzao kesi.
Huduma za afya tunaona uzuri wake.
Rais Samia hajasahau kuwa mstakabari wa Nchi ni pamoja na siasa safi, uhuru wa kutoa maoni, uwazi na sheria bora. Katiba Mpya pia iko mbioni.
Haya yoote yanafanyika kwa pamoja synchronously.
Heshima kwako na team yako ya Ushauri hapo White House.
Jpili njema wadau