Chemistry ipi mkuu hii ya study of composition and decomposition of matter au πππ?Nyie kumbe huku Kuna content na hamsemi, Mimi najua ukikutana na mwenzio ambae chemistry mia Kwa mia jamani story haziishi, huyo wa kukutegea bado sana hata kujamba mbele Yako itamchukua 5 good years
βΊοΈβΊοΈπ€£π€£π€£π€£π€£
KabisaπΉπΉ jitahidi kutembea kwa tahadhari.!!
Aisee msalimie sana nimemmiss
Wanaume wa Tanzania punguzeni kushindana na wanawake, wanawake ni viumbe dhaifu, sisi kama wanaume inatakiwa tuwaongoze, tuwaonyeshe njia , sisi ni wanaume hatutakiwi kufocus kufuatilia wanawake kila siku, mwanaume lazima focus yako iwe kwa vitu mhimu, kutafuta pesa, kuwa na maisha bora, lazima upige hatua kutoka A kwenda B.
Hizi issues za ohh wanawake wako vile mara vile hazikuletei ugali mezani, uko na options kibao, kama haendani navwewe msaidie aendane, mahusiano maana yake sio kucheka na kutangaza mapungufu ya mwenzio ila kuya rekebisha tena kwa upendo huku ukifurahia maidhaifu yake, usifikiri mahusiano ni lelemama, na kwa taarifa yako hautapata mkamilifu dunia hii, labda ukaoe mbinguni.
Mapenzi ujapendaa wewe na Huna wakukupenda ndio maanWanawake dah! Vituko sana
Mwanamke ni liability kwenye kila nyanja katika maisha ya mwanaume, kungekua na alternative ya kumer kusingekua na uhitaji wa mwanamke kwenye maisha ya mwanaume.Kiufupi, nimebahatika kuingia kweny mahusiano na baadhi ya wanawake, kitu kimoja nilichokuja kugundua ni kwamba wengi wao hawana content, ni weupe, mfano mtu anakupigia, baada ya kusalimiana na kujuliana hali anakaa kimya, anategemea wewe ndo uendeleze mazungumzo, haya sawa bac unaanza kumzungumza nae unampigisha story mbili tatu, sasa kuna muda na wewe upepo unakata unategemea na yeye aendeleze, cha kushangaza na yeye anakaa kimya, It's very frustrating.
Scenario nyingine ni kweny mitoko, aisee au ni mm tuu nakutana na wanawake hawana content, demu unamtoa out kuanzia mnakutana hadi unamrudisha naongea mm tuu, sio kweli.
"Control your lust, and you will understand how boring 90% of women are"
Vyote unakuwa na gumtu gunaitikiaaa tuMnataka mauno ya uzazi au content?
Kwahiyo unasapoti wawage wanaitikia tu bila kuchangia mada!!!Mwanamke ni liability kwenye kila nyanja katika maisha ya mwanaume, kungekua na alternative ya kumer kusingekua na uhitaji wa mwanamke kwenye maisha ya mwanaume.
AhaaaMapenzi ujapendaa wewe na Huna wakukupenda ndio maan
Lamomy msikie uyuAhaaa
Mpe ufafanuzi kidog jinsi ya kushi na mkeAnasemaje?
Anajua vizuri anakuchora huyo πΉMpe ufafanuzi kidog jinsi ya kushi na mke
Af umefunga pm bado
Aah crush wangu umewasiliπUko wapi......
Na nyie kumbeee mna swagaa πππππSinaga swaga za hivyo kwanza nisivyopenda hicho kineno cha nambie
Kwenye ile njia ya mwendo kasi?π π π ndo mieKumbe ndiyo wewe nilikukuta pale Kibanda Cha Mkaa upo busy na simu?