Kusema ukweli, wanawake wengi hawana content

Nyie kumbe huku Kuna content na hamsemi, Mimi najua ukikutana na mwenzio ambae chemistry mia Kwa mia jamani story haziishi, huyo wa kukutegea bado sana hata kujamba mbele Yako itamchukua 5 good years
Chemistry ipi mkuu hii ya study of composition and decomposition of matter au πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚?
 
Wanaume wa Tanzania punguzeni kushindana na wanawake, wanawake ni viumbe dhaifu, sisi kama wanaume inatakiwa tuwaongoze, tuwaonyeshe njia , sisi ni wanaume hatutakiwi kufocus kufuatilia wanawake kila siku, mwanaume lazima focus yako iwe kwa vitu mhimu, kutafuta pesa, kuwa na maisha bora, lazima upige hatua kutoka A kwenda B.

Hizi issues za ohh wanawake wako vile mara vile hazikuletei ugali mezani, uko na options kibao, kama haendani navwewe msaidie aendane, mahusiano maana yake sio kucheka na kutangaza mapungufu ya mwenzio ila kuya rekebisha tena kwa upendo huku ukifurahia maidhaifu yake, usifikiri mahusiano ni lelemama, na kwa taarifa yako hautapata mkamilifu dunia hii, labda ukaoe mbinguni.
 

Wewe sasa unatuchamba!
 
Mwanamke ni liability kwenye kila nyanja katika maisha ya mwanaume, kungekua na alternative ya kumer kusingekua na uhitaji wa mwanamke kwenye maisha ya mwanaume.
 
Mtakatifu gani Kapeace Hakuna cha utakatifu wala nn ila ndo anakuwa ivooo, we hujawahi mpigia mtu simu then umwambie "namby" au "semelea"
Sinaga swaga za hivyo kwanza nisivyopenda hicho kineno cha nambie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…