Kusema ukweli, wanawake wengi hawana content

Kusema ukweli, wanawake wengi hawana content

Kiufupi, nimebahatika kuingia kweny mahusiano na baadhi ya wanawake, kitu kimoja nilichokuja kugundua ni kwamba wengi wao hawana content, ni weupe, mfano mtu anakupigia, baada ya kusalimiana na kujuliana hali anakaa kimya, anategemea wewe ndo uendeleze mazungumzo, haya sawa bac unaanza kumzungumza nae unampigisha story mbili tatu, sasa kuna muda na wewe upepo unakata unategemea na yeye aendeleze, cha kushangaza na yeye anakaa kimya, It's very frustrating.

Scenario nyingine ni kweny mitoko, aisee au ni mm tuu nakutana na wanawake hawana content, demu unamtoa out kuanzia mnakutana hadi unamrudisha naongea mm tuu, sio kweli.

"Control your lust, and you will understand how boring 90% of women are"
Very true, wanawake wanaboa sana
 
Kiufupi, nimebahatika kuingia kweny mahusiano na baadhi ya wanawake, kitu kimoja nilichokuja kugundua ni kwamba wengi wao hawana content, ni weupe, mfano mtu anakupigia, baada ya kusalimiana na kujuliana hali anakaa kimya, anategemea wewe ndo uendeleze mazungumzo, haya sawa bac unaanza kumzungumza nae unampigisha story mbili tatu, sasa kuna muda na wewe upepo unakata unategemea na yeye aendeleze, cha kushangaza na yeye anakaa kimya, It's very frustrating.

Scenario nyingine ni kweny mitoko, aisee au ni mm tuu nakutana na wanawake hawana content, demu unamtoa out kuanzia mnakutana hadi unamrudisha naongea mm tuu, sio kweli.

"Control your lust, and you will understand how boring 90% of women are"
Wanaume wa jeiefu poleni sana
 
Hongera mkuu, eeh hizo swagger km zipi em orodhesha nione
1. Tukiwa tunatembea akiwa anapenda kushika kama kuvuta nguo/shati langu! Mara nyingi shati langu kwa nyuma hivi kimtindo
2. Kupenda nimshikie vitu vyake kama simu, au vikorokoro vyao
3. Tukiwa tumekaa kuna jinsi wanachezesheaga miguu/mikono/vidole vile amazing kimtindo huwa inanipa mzuka kumuangalia
4. Kuna jinsi ambavyo anakuitikia nikiwa naongea au kuinua kichwa kuashilia ananisupport ninachoongea! Hii hata asipoongea mimi nitaendelea kukata mistari na sitachoka!
4. Tabasamu!
5. Kuwa na mashauzi ya kuhisi anajisikia baridi na kutaka body contact yangu/kuniegemea/kunilalia
6. Kutokujua mambo mengi na kuwa mgeni kwa story ntakazokuwa nampigia. Sasa hapa ndo mahali manzi wanakata stimu zetu, unaanzisha story anaidakia kwa juu na kuimalizia 😆😅😅
7.....
8.....
Lamomy
 
Back
Top Bottom