Kusema ukweli, wanawake wengi hawana content

Kusema ukweli, wanawake wengi hawana content

1. Tukiwa tunatembea akiwa anapenda kushika kama kuvuta nguo/shati langu! Mara nyingi shati langu kwa nyuma hivi kimtindo
2. Kupenda nimshikie vitu vyake kama simu, au vikorokoro vyao
3. Tukiwa tumekaa kuna jinsi wanachezesheaga miguu/mikono/vidole vile amazing kimtindo huwa inanipa mzuka kumuangalia
4. Kuna jinsi ambavyo anakuitikia nikiwa naongea au kuinua kichwa kuashilia ananisupport ninachoongea! Hii hata asipoongea mimi nitaendelea kukata mistari na sitachoka!
4. Tabasamu!
5. Kuwa na mashauzi ya kuhisi anajisikia baridi na kutaka body contact yangu/kuniegemea/kunilalia
6. Kutokujua mambo mengi na kuwa mgeni kwa story ntakazokuwa nampigia. Sasa hapa ndo mahali manzi wanakata stimu zetu, unaanzisha story anaidakia kwa juu na kuimalizia 😆😅😅
7.....
8.....
Lamomy
Sasa mbona ni wale wale wana wa Israel 😹😹
Hiyo kutokujua mambo mengi huwa tunawaektia…. Mi mpenzi wangu anajua mi mshamba tabulasa wa mwisho kumbe namchora.!

Kwenye kikao chetu cha mafeminine tuliambiana ukitolewa dinner hata km ushawahi kufika eneo hilo jifanye hupajui kabisaa.!!
Mi nishawahi kumwambia mpenzi wangu siijui kkoo na ni sehemu ninayoshinda hakuna chocho ambayo siijui ila akiongelea kkoo namchanganyia mitaa mpk anachoka yy.!!

Hizo ni tricky zetu wale much know hatupendi kujifanya kila kitu tunajua ili tuwasome mlivyo wajinga.!! 🤣🤣
 
Kiufupi, nimebahatika kuingia kweny mahusiano na baadhi ya wanawake, kitu kimoja nilichokuja kugundua ni kwamba wengi wao hawana content, ni weupe, mfano mtu anakupigia, baada ya kusalimiana na kujuliana hali anakaa kimya, anategemea wewe ndo uendeleze mazungumzo, haya sawa bac unaanza kumzungumza nae unampigisha story mbili tatu, sasa kuna muda na wewe upepo unakata unategemea na yeye aendeleze, cha kushangaza na yeye anakaa kimya, It's very frustrating.

Scenario nyingine ni kweny mitoko, aisee au ni mm tuu nakutana na wanawake hawana content, demu unamtoa out kuanzia mnakutana hadi unamrudisha naongea mm tuu, sio kweli.

"Control your lust, and you will understand how boring 90% of women are"
Hajakupenda ndomaaana mwanamke anaekupenda content haziishagii
 
Kiufupi, nimebahatika kuingia kweny mahusiano na baadhi ya wanawake, kitu kimoja nilichokuja kugundua ni kwamba wengi wao hawana content, ni weupe, mfano mtu anakupigia, baada ya kusalimiana na kujuliana hali anakaa kimya, anategemea wewe ndo uendeleze mazungumzo, haya sawa bac unaanza kumzungumza nae unampigisha story mbili tatu, sasa kuna muda na wewe upepo unakata unategemea na yeye aendeleze, cha kushangaza na yeye anakaa kimya, It's very frustrating.

Scenario nyingine ni kweny mitoko, aisee au ni mm tuu nakutana na wanawake hawana content, demu unamtoa out kuanzia mnakutana hadi unamrudisha naongea mm tuu, sio kweli.

"Control your lust, and you will understand how boring 90% of women are"
Punguza kuongea mkuu tofauti na hapo utakuja kuambiwa kuwa unaperecha, unajikuta mjuaji kila kitu unajua, unajiona upo sahihi au unaongea sana.

Wanawake hawana jema wewe kikubwa hakikisha unaichapa alafu relax tafuta hela polepole
 
Relationship za sikuhz ni

Attractions then sex baada ya hapo hamna jipyaa hasa mkiwa kila mmoja yuko na mipango yake
 
Njoo nikupe wangu kiongozi utachoka wewe mtu anamjua hadi ex wa obama
 
Hatochangia chochote atakaa kimya tuu.
Kuna siku alinipigia baada ya salamu akakaa kimya, mi nikaanza kumpigisha story za kazini, bhana hakuchangia chochote, nikabadilisha nikaanza kuongea story za coding and designing bado kimya, haya nikaja kuongea mambo ya research ninazofanyaga ndo kabisa akawa anaitikia tuu "enhe, aah kumbe, duuuh" niliishiwa nguvu.
Huyo hakupendi mkuu, mwanamke ambae hakupendi hii ni dalili nyingine ukiacha ile ya kuombwa hela sana. Akili kichwani mwako ndugu yangu
 
Poa vip muhalifu wetu 🤣🤣
😹😹😹 Muhalifu niko pouwa.!!
Nimekumiss wifi yangu nataka unifundishe kupika biriani, si unajua tena wakinga na mapishi mbingu na ardhi.!
Week end nna ugeni mzito home nataka unichagulie vyakula vya kupika nisichekeshe, mpk nimewaza nitafute mtu anipikie nimlipe nisiaibike 🤣🤣🤣
 
To each their own..., Binafsi hao ndio nawapenda yaani unaongea kitu kama unacho cha kuongea sio ili mradi tu umake conversation...

Matokeo yake story zenu zikiisha mnaanza kuongelea watu (especially kama hamna common ground / likes)....
 
😂😂😂 si ndio hapo.!!
Hajakutana na wambea, yani mi babe wangu mpk anachoka mana taarifa zote ninazo sio za siasa sio za udaku ni yeye kuchagua tuanze na ipi??
Sijawahi kosa content hata yanayoendelea kwenye familia yao ninayo.!!
nimecheka.last line😀😀...hata mm ya kwao nayajua yootr yeye hata hayajui😀
 
Back
Top Bottom