Ukisema gas imeisha kwan yeye ni kiwanda cha ku refill gasWanaume tukianza kuwaambia anko kameza shoka na gesi imeisha mnalalamika, tukinyamaza mnalalamika.!!
Haya mseme nyie mnataka tujadili kitu gani??
Very true, wanawake wanaboa sanaKiufupi, nimebahatika kuingia kweny mahusiano na baadhi ya wanawake, kitu kimoja nilichokuja kugundua ni kwamba wengi wao hawana content, ni weupe, mfano mtu anakupigia, baada ya kusalimiana na kujuliana hali anakaa kimya, anategemea wewe ndo uendeleze mazungumzo, haya sawa bac unaanza kumzungumza nae unampigisha story mbili tatu, sasa kuna muda na wewe upepo unakata unategemea na yeye aendeleze, cha kushangaza na yeye anakaa kimya, It's very frustrating.
Scenario nyingine ni kweny mitoko, aisee au ni mm tuu nakutana na wanawake hawana content, demu unamtoa out kuanzia mnakutana hadi unamrudisha naongea mm tuu, sio kweli.
"Control your lust, and you will understand how boring 90% of women are"
Nakupigia ngoja nimalize kucheki pira la maanaAah crush wangu umewasiliπ
Unaendeleaje??
Niko mikocheni mama njoo...
Hiyo sio contentWanaume tukianza kuwaambia anko kameza shoka na gesi imeisha mnalalamika, tukinyamaza mnalalamika.!!
Aaah wapi....Pira la maana mnafungwa kweny sikukuu yenu.Nakupigia ngoja nimalize kucheki pira la maana
Watu mmepinda hadi mimi Malaika nawaogopa.Treena unamtumia likiwa na kichaka unamwambia babe limekumiss uje ulishevu π€£π€£π€£
Hapo umelijaza mafuta linameremeta πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Wanaume wa jeiefu poleni sanaKiufupi, nimebahatika kuingia kweny mahusiano na baadhi ya wanawake, kitu kimoja nilichokuja kugundua ni kwamba wengi wao hawana content, ni weupe, mfano mtu anakupigia, baada ya kusalimiana na kujuliana hali anakaa kimya, anategemea wewe ndo uendeleze mazungumzo, haya sawa bac unaanza kumzungumza nae unampigisha story mbili tatu, sasa kuna muda na wewe upepo unakata unategemea na yeye aendeleze, cha kushangaza na yeye anakaa kimya, It's very frustrating.
Scenario nyingine ni kweny mitoko, aisee au ni mm tuu nakutana na wanawake hawana content, demu unamtoa out kuanzia mnakutana hadi unamrudisha naongea mm tuu, sio kweli.
"Control your lust, and you will understand how boring 90% of women are"
Swadakta haya ndio mambo, sio tujadili content , za nn ss content
Tunazo sana tuNa nyie kumbeee mna swagaa πππππ
Nimechekaaaa kinomaaa
Sijui hataVp mkuu amekugusa nn
Daah huwa inakera sana mtu aitikiage tuSijui hata
Piga swaga basi tuzioneeeTunazo sana tu
Ndo mpaka tuwe wapendanaoPiga swaga basi tuzioneee
Ahahah kumbeee okayNdo mpaka tuwe wapendanao
Ahaa kuwa makini maana pale gari Zina mwendo mkali sanaKwenye ile njia ya mwendo kasi?π π π ndo mie
Magari yanakimbia kweli hudanganyi, ilibidi nirudi kwenye njia ya mwendo kasi ndo nikabonga kwa kujidaiAhaa kuwa makini maana pale gari Zina mwendo mkali sana
1. Tukiwa tunatembea akiwa anapenda kushika kama kuvuta nguo/shati langu! Mara nyingi shati langu kwa nyuma hivi kimtindoHongera mkuu, eeh hizo swagger km zipi em orodhesha nione
Unasemajeeee?? Unakatika sana sikusikii πΉAaah wapi....Pira la maana mnafungwa kweny sikukuu yenu.
Karibu Simba mama, Salt + Simba = Samba
Tulia weweeeMaghayo The Mongolian Savage yeye manzi wake awe mweupe vipi kwenye content hajali ilimradi awe deep kwenye stori za bange tu basi hakuna shido.