Kusema ukweli, wanawake wengi hawana content

Anakukadilia akupige Mzinga/kirungu cha shillingi ngapi baada ya maongezi.
 
Ni kweli wengi wapo ivoo mkuu, me kuna mmoja kanipigia afu kasema namby

Asa, yey ndo kapiga simu then anasema namby me nmwambie nn wakat yy ndo ana shd na mm
 
Bado huwajui wanawake, mwanamke anategemea ww umuongoze kwenye mahusiano lkn ukiwa mjanja zaidi hutakiwa kuongea sana, inabidi uchombeze vitu vitavyofanya yeye afunguke zaidi, na usitake mazungumzo serious sana kama siasa n.k hapo ndo unapofeli.
 
Woman is not for every man...😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…