Kusuka kwa Wamasai Basi ....

Pale kona karibu Na boma ...?
Enhe wanakua wengiiii yani kimeniponza kutaka kumaliza mapema kusukwa manake kukaa sana siwezi
na pia lazima nirejee home sababu watoto walikua wanakwenda Tanga na Flight ya saa 10 jioni sasa nikasema
hii saa 1mpaka saa 5 ntakua nimesha maliza na vile wako wengi Loooo si ndio wakanishushia dunia yao...
 
mumeo kama mimi sipendi mke wangu asuke wala kuvaa ufake
Yani hataki eti uweke sijui kucha,uweke wig,atanunaaaa na hiyo kesi itafika kwenu mpaka aibu lol,sasa baada ya 10 yrs
nikamwambia nimependa shost yangu alivyosuka naomba nikasuka halafu week tuu nafumua sikutegemea aliposema yes
ilikua mchana, nxt day ndio nikaenda asubuhi yakanikuta hayo nilipotoka pale nikaenda saloon nikatengeneza my hair
nimefika home hubby hajaniuliza why sikusuka mpaka tumerejea ku drop watoto airport tena usiku....
 
Kama yalikuwa yanakugusa na ww ungeyagusa ngoma iwe droo
 
Vipi sasa, Hubby ake hakuuliza kulikoni nusu msuko?
Nipotoka pale nikaenda saloon,usiku ndio aliniuliza why sikusuka? nikamwambia "Habibi najua hupendi ndio mana sijataka
kukukera japokua umenipa kubali kwa ridhaa yako lakini sikupenda nikukere wewe ili nifurahi mie" lakini moyoni nawalani
wale wamasai...
 
Kama yalikuwa yanakugusa na ww ungeyagusa ngoma iwe droo
Unajua Mtu huona rahisi sana ku judge au kumwambia mtu kitu mwenzie bila kufikiria mara2,kwahisanai yako
jaribu kua muungwana japo kidogo kwenye majibu....
 
Nadhani kabla hujaruhusiwa ulikuwa unamwona Mr. Wako mnoko... na inawezekana aliyajuwa hayo kabla...

Kuna wakati huwa mnapewa ruhusa ili mkajuwe sababu ya kukatazwa... Mr asingeweza kutamka utaguswa na ‘’madudu‘’maana ungeona huo ni wivu tu
 
nikaanza kusukwa mmmmm wamenizunguka Wamasai wa 5
sasa ule mkao wao yani wanakugusa na madudu yao
We nawe, waogopa madudu utafikiri katoto ka darasa la pili!! Hebu kasuke rasta za kimasai bhana.
 
harufu ningestahmili sababau wao nibinadamu lakini yale madudu kunigusa gusa mie mmmmm,halafu sasa ukisogea huku
liko ukirudi nyuma lipo,pembeni jengine linagusa bega yani it was BAD....
Hili la madudu kugusagusa mbona umelirudia rudia sana?! Yalikuwa yanagusaga wapi kwani?
 
mmmm shosti Aibu naanzaje kusema maneno hayo? kua madudu yenu yafungeni,tena yanagusaaa marefuuuuuu ptuuuuu!!!
staki hata kukumbuka..

Labda wanafanya makusudi, inakuwaje wakuguse kiasa cha wewe kujua/kadria urefu wa madudu yao!!

Kwani hawavai underwear au kaptura au kuyafungia kwenye kibuyu kama wanaume wa Papua NewGuinea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…