Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
- #21
Rais gani ?Kuna rais wa Tanzania alijaribu kidogo, ila kuna watu hawakumuelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais gani ?Kuna rais wa Tanzania alijaribu kidogo, ila kuna watu hawakumuelewa.
Umeshindwa kujibu swali nililo kuuliza ?Hao north Korea wangekuwa na akili wasingetawala na familia moja miaka na miaka, mtawala akiishi kifalme wao kifukara.
Kwani hio misaada inatusaidia Nini zaidi ya kuliwa juu kwa juu mikopo tulipe sisi.Wewe mikopo imesaidia niniNi kitu gani mnacho fanana nacho na North Korea ambavyo mkitandikwa vikwazo vyake mtasimama kama yeye ?
North Korea ma Tanzania maisha yanafanana labda unge
Yanafanana katika kitu ganiNorth Korea ma Tanzania maisha yanafanana labda ungesema iran
Kwenye swali langu nimekuuliza kuhusu misaada ?Kwani hio misaada inatusaidia Nini zaidi ya kuliwa juu kwa juu mikopo tulipe sisi.Wewe mikopo imesaidia nini
Kwa hiyo nyie watu weusi mmewabeba Korea na Iran kuwa pale walipo ? Kwa nini msijibebe wenyewe muwe pale walipo ?Atambeba aside paa,na urefu utao ngezeka.Kila prayer mafanikio kwa mtu mweupe,ujue kuna mtu mweusi.Mtu mweusi alipofanywa mtumwa,alikubali,kwa kumuonea huruma,mwanawe mtu mweupe.
Mtu mweusi ni baba wa mtu mweupe kwa mujibu wako ?Naona unaelewa sasa.Bila mtu mweusi,baba wa mtu mweupe,mtu mweupe asingepata maendeleo.
JPMRais gani ?
NdioBado tunawinda ngiri mpaka sasa
Kwani kipi tofauti na vikwazo.Kwenye swali langu nimekuuliza kuhusu misaada ?
Kama kuua watu na kupiga risasi watu ni Mafanikio Basi alikuwa sahihi
Umasikini, ujingaNi vitu gani mnavyo fanana navyo na North Korea ambavyo mkitandikwa vikwazo vyake mtasimama kama yeye ?
Alifanya nini ?
Umechanganyikiwa ?Baba anakuwa na huruma kwa mwanawe.Yuko tayari baba alale na njaa,mwanawe ashibe.
umesahau hao wote wana resources nyingi na wana viongozi imara sana, ila sio kwamba wana akili kuzidi wengine. iran wana mafuta na gesi nyingi sana, wangekuwa wakulima wale wangekuwa kama zimbabwe. mbona huiongelei Yemen? North Korea wana madini mengi na uongozi wao ni bora sana. africa au watu weusi tuna mali ila viongozi wetu na katiba zetu ni mbovu kuliko wanadamu wengine wote katika uso wa dunia.Ukitaka kutambua utofauti wa uwezo wa akili baina ya mtu mweusi na mweupe.
Tazama namna North Korea yenye vikwazo chungu nzima, Iran yenye vikwazo chungu nzima dhidi ya mataifa ya kusini mwa jangwa la Sahara usiisahau nchi ya Tanzania.
NB: Napo sisitiza kuwa uwezo wa kiakili wa mtu mweupe haupo sawa na wa mtu mweusi tuwe tunaelewa.
Kwa hiyo vikwazo vinahusu exportation tu ?Kwani kipi tofauti na vikwazo.
Sisi tuna export nini hata wakipiga ban tuathirike