Kutambua uwezo wa akili kati ya mtu mweusi na mweupe angalia Korea Kaskazini na Iran dhidi ya Mataifa ya Afrika

Kutambua uwezo wa akili kati ya mtu mweusi na mweupe angalia Korea Kaskazini na Iran dhidi ya Mataifa ya Afrika

Hao north Korea wangekuwa na akili wasingetawala na familia moja miaka na miaka, mtawala akiishi kifalme wao kifukara.
 
Ni kitu gani mnacho fanana nacho na North Korea ambavyo mkitandikwa vikwazo vyake mtasimama kama yeye ?
Kwani hio misaada inatusaidia Nini zaidi ya kuliwa juu kwa juu mikopo tulipe sisi.Wewe mikopo imesaidia nini
 
Ukitaka kutambua utofauti wa uwezo wa akili baina ya mtu mweusi na mweupe.

Tazama namna North Korea yenye vikwazo chungu nzima, Iran yenye vikwazo chungu nzima dhidi ya mataifa ya kusini mwa jangwa la Sahara usiisahau nchi ya Tanzania.

NB: Napo sisitiza kuwa uwezo wa kiakili wa mtu mweupe haupo sawa na wa mtu mweusi tuwe tunaelewa.
umesahau hao wote wana resources nyingi na wana viongozi imara sana, ila sio kwamba wana akili kuzidi wengine. iran wana mafuta na gesi nyingi sana, wangekuwa wakulima wale wangekuwa kama zimbabwe. mbona huiongelei Yemen? North Korea wana madini mengi na uongozi wao ni bora sana. africa au watu weusi tuna mali ila viongozi wetu na katiba zetu ni mbovu kuliko wanadamu wengine wote katika uso wa dunia.
 
Back
Top Bottom