Kutambua uwezo wa akili kati ya mtu mweusi na mweupe angalia Korea Kaskazini na Iran dhidi ya Mataifa ya Afrika

Kutambua uwezo wa akili kati ya mtu mweusi na mweupe angalia Korea Kaskazini na Iran dhidi ya Mataifa ya Afrika

Watu wanazungumzia viongozi gani sijui!, Hawa viongozi wetu ni zao la jamii yetu hii hii tunayoishi, viongozi waliopo miaka na miaka mfano TZ ni taswira halisi ya jamii nzima iliyopo. Unavyoona upigaji, kutaka kupata easy money, kupenda ngono kuliko kazi, ubinafsi wa kiwango cha juu ndiyo jamii zote za watu weusi duniani zipo hivyo si afrika tu, SA ni zao la watu weupe...hao wapersia siyo watu wa kuridhika hata kidogo Kila muda wanachungulia fursa ukizubaa wamekupiga parefu, mental inferiority inatusumbua pia...Tatizo si la mtu mmoja au kikundi cha watu bali ni tatizo la jumla la jamii yetu...
Umenyooka vyema kabisa
 
Namie nachangia afrika ukiwa kiongozi raha utaiba weeeh na hakuna atakae jaji
 
Watu wanazungumzia viongozi gani sijui!, Hawa viongozi wetu ni zao la jamii yetu hii hii tunayoishi, viongozi waliopo miaka na miaka mfano TZ ni taswira halisi ya jamii nzima iliyopo. Unavyoona upigaji, kutaka kupata easy money, kupenda ngono kuliko kazi, ubinafsi wa kiwango cha juu ndiyo jamii zote za watu weusi duniani zipo hivyo si afrika tu, SA ni zao la watu weupe...hao wapersia siyo watu wa kuridhika hata kidogo Kila muda wanachungulia fursa ukizubaa wamekupiga parefu, mental inferiority inatusumbua pia...Tatizo si la mtu mmoja au kikundi cha watu bali ni tatizo la jumla la jamii yetu...
Waafrika hasa watanzania wana laana.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Kwani mmsahau kwamba sisi watu weusi ni uzao wa laana sisi ni wajukuu wa kanani ambae alilaaniwa na baba ake nuhu baada ya kuucheka uchi wa mshua
 
Huu uzi ni wa kujitukana na kijichukia kama Mwafrika. Ni wa kukubali ubaguzi wa RANGI na falsafa za kina Hitler.
Duniani kuna watu wenye njaa kali na mateso ya ufukara kama Korea ya DPRK? Kama Iran ni peponi mbona Wairan wengi wanakimbilia nchi za Ulaya kwa Wakristo ambapo Ukristo haukubaliki huko kwao Iran.
Kutengeneza silaha za maangamizi kila nchi ikiamua inaweza kmf silaha za kibaiolojia kama COVID-lengo si kuteketeza binadamu.
 
Huu uzi ni wa kujitukana na kijichukia kama Mwafrika. Ni wa kukubali ubaguzi wa RANGI na falsafa za kina Hitler.
Duniani kuna watu wenye njaa kali na mateso ya ufukara kama Korea ya DPRK? Kama Iran ni peponi mbona Wairan wengi wanakimbilia nchi za Ulaya kwa Wakristo ambapo Ukristo haukubaliki huko kwao Iran.
Tuachane na Iran na NK.

Haya wewe mwafrika unataka ujipende kwa kitu gani cha maana ulicho nacho ?
 
Mimi huwa najiuliza ilikuwaje sisi Wabantu tukasombwa na kwenda kuuzwa kama mifugo na hawa Wamanga pori?

Mbona Maasai waliogopwa kama ukoma?
 
Unataka kusema nini ?
Kila dhana ina upande kinzani. Ukidai Kuna mwanaume kwa upande mwingine Kuna mwanamke.

Kijiji vs mji. Mwerevu vs mpumbavu. Hata huko Ulaya Kuna masikini vs matajiri. Mfano Ureno ni nchi masikini na inategemea misaada fulani toka EU.

Kipimo halisi cha werevu ni kiwango cha ujinga

Kipimo cha utajiri ni kiwango cha umasikini.

Wengine tunaona Ulaya ni werevu na matajiri kwa sababu Afrika Kuna umasikini mwingi na wajinga wengi
 
Back
Top Bottom