Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Tena sanaaaDuh! kwa hakika inashangaza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena sanaaaDuh! kwa hakika inashangaza.
Wa benderaYaliyo fanya Uhuru upatikane
Unataka kusema nini ?Bila Giza Nuru siyo kitu
Umenyooka vyema kabisaWatu wanazungumzia viongozi gani sijui!, Hawa viongozi wetu ni zao la jamii yetu hii hii tunayoishi, viongozi waliopo miaka na miaka mfano TZ ni taswira halisi ya jamii nzima iliyopo. Unavyoona upigaji, kutaka kupata easy money, kupenda ngono kuliko kazi, ubinafsi wa kiwango cha juu ndiyo jamii zote za watu weusi duniani zipo hivyo si afrika tu, SA ni zao la watu weupe...hao wapersia siyo watu wa kuridhika hata kidogo Kila muda wanachungulia fursa ukizubaa wamekupiga parefu, mental inferiority inatusumbua pia...Tatizo si la mtu mmoja au kikundi cha watu bali ni tatizo la jumla la jamii yetu...
Hatari sana mambo magumu
Falsafa za kimaskini.Bila Giza Nuru siyo kitu
Waafrika hasa watanzania wana laana.Watu wanazungumzia viongozi gani sijui!, Hawa viongozi wetu ni zao la jamii yetu hii hii tunayoishi, viongozi waliopo miaka na miaka mfano TZ ni taswira halisi ya jamii nzima iliyopo. Unavyoona upigaji, kutaka kupata easy money, kupenda ngono kuliko kazi, ubinafsi wa kiwango cha juu ndiyo jamii zote za watu weusi duniani zipo hivyo si afrika tu, SA ni zao la watu weupe...hao wapersia siyo watu wa kuridhika hata kidogo Kila muda wanachungulia fursa ukizubaa wamekupiga parefu, mental inferiority inatusumbua pia...Tatizo si la mtu mmoja au kikundi cha watu bali ni tatizo la jumla la jamii yetu...
Alifanya nini ?
Chadema hamuwezi kuelewa hayo mamboKama kuua watu na kupiga risasi watu ni Mafanikio Basi alikuwa sahihi
Inafikirisha Sana
Nani Chadema ? Huna akiliChadema hamuwezi kuelewa hayo mambo
Tuachane na Iran na NK.Huu uzi ni wa kujitukana na kijichukia kama Mwafrika. Ni wa kukubali ubaguzi wa RANGI na falsafa za kina Hitler.
Duniani kuna watu wenye njaa kali na mateso ya ufukara kama Korea ya DPRK? Kama Iran ni peponi mbona Wairan wengi wanakimbilia nchi za Ulaya kwa Wakristo ambapo Ukristo haukubaliki huko kwao Iran.
Mgao wa umemeTuachane na Iran na NK.
Haya wewe mwafrika unataka ujipende kwa kitu gani cha maana ulicho nacho ?
Sawa mamaaNani Chadema ? Huna akili
Kila dhana ina upande kinzani. Ukidai Kuna mwanaume kwa upande mwingine Kuna mwanamke.Unataka kusema nini ?
UONGOMtu mweusi ndio baba wa mtu mweupe. Mtu mweupe bila mtu mweusi,dunia angeiona ngumu.Ndio ukaona mtu mweusi, anamsaidia sana mtu mweupe, kwa vile mtu mweusi ndio baba wa mtu mweupe.
Tatizo ni UmasikiniSasa, mtu mweupe anawaza maendeleo. Mweusi, yupo JF anawaza kula tunda kimasiahara. Hawa watu wataendana?
Kwamba Tanzania imeweza unda chochote hata risasi?North Korea ma Tanzania maisha yanafanana labda ungesema iran