Kutambua uwezo wa akili kati ya mtu mweusi na mweupe angalia Korea Kaskazini na Iran dhidi ya Mataifa ya Afrika

Sasa, mtu mweupe anawaza maendeleo. Mweusi, yupo JF anawaza kula tunda kimasiahara. Hawa watu wataendana?
Gap kubwa lililopo kati yetu na wao ni MUDA tu. Wenzentu wao walitutangulia kujanjaruka na kuziona fursa na rasilimali wakati sisi tunawinda ngiri porini.
Na sasahv baada ya kutambua rasilimali na fursa tunawazidi nini?

Kwasababu hata kwa teknolojia tu ya sasahivi bado wanabuni na kufanya mengi makubwa kuliko watu weusi
 
Kwa hapa Tanzania ubora wa kiongozi ni kuwa kibaraka wa wazungu.
 
Asia pia waligombanishwa lakini haikufikia kuuzana utumwani.
Utumwa ulikua n biashara ya dunia nzima including hai white ila ya kwetu ilikua bam bam kwa sababu ya physical fitness yetu.
Kwa lugha rahisi tulikua watu wa kazi kwa muda mrefu kulinganisha na race nyingine.
 
Acha kukalili Iran atengenezi silaha tu.

Mkuu ngoja nikupe sifa chache tu za Iran.

(1)Iran ndo taifa la pili kwa nguvu za kiviwanda katika eneo la mashariki ya kati na Asia magharibi baada ya Uturuki.

(2) Iran ni mtengenezaji mkubwa wa magari ambapo huwa inayauza mashariki ya kati, Asia Magharibi,na Asia ya kati na baadhi ya nchi za ulaya mashariki.

(3)Madawa na vifaa tiba vyote ambavyo vina tumika ndani ya Iran asilimia 80 ya vifaa hivyo wanatengeneza wao.

(4)Iran ndo muuzaji mkubwa wa pikipiki kwenye mataifa ya Oman,Syiria,Iraq, Afghanistan, na Pakistan.

(5)Iran ni miongoni mwa mataifa machache duniani yanayo tengeneza mitambo ya uchimbaji wa gesi yenye teknolojia ya hali ya juu sana, hata sasa hivi Urusi ana tegemea mitambo ya Iran ili kuchimba gesi yake baada ya vikwazo vya mataifa ya Magharibi maana hapo awali alikuwa anatumia mitambo kutoka ujerumani.

(6) Iran ni mtengenezaji mkubwa wa mazuria ya kuvutia duniani.

(7) Iran inazalisha umeme zaidi ya Megawat 125,000 umeme ambao ni zaidi ya umeme unao tumika bara zima la Africa wakati Tz Megawat1600 tu.

(8) kwenye silaha sina haja ya maelezo mengi sana ana tengeneza vifaru,drone,meli,makombora ,satalaiti,nyambizi,mfumo ya ulinzi nk.

Hapo nimekuwekea machache tu kuhusu Iran sasa niambie utajilinganisha na taifa hili kwa lipi hasa?

Kuhusu raia wa Iran kwenda Ulaya ni kawaida ya binadamu kuhama kutoka sehemu moja kwenda nyingine kutafuta furusa ,na ni haki kwa kila binadamu kwa mujibu wa sheria za kimataifa la msingi afuate taratibu.


Hata uko Ulaya na Marekani kuna baadhi ya raia wao wako kwenye nchi zingine tena masikini ukiwemo TZ wakitafuta furusa.
 
Hoja yako haina mashiko kwa mantiki kwamba mazingira unayoishi yanapanua uwezo wako wa kufikiri, mfano mtu mwenye njaa kali akili yake itaruhusu uwezo wa kufikiria namna ya kujikwamua na njaa.
 
Inakuaje iran inatumia umeme mwingi kuliko umoja wa ulaya?
 
Inakuaje iran inatumia umeme mwingi kuliko umoja wa ulaya?
Sijasema kutumika bali nimesema anazalisha alafu umeme mwingine anauuza kwenye nchi za Iraq, Afghanistan,Pakstatan na baadhi ya maeneo ya Uturuki.
Alafu hizo data za Iran kutumia umeme mwingi kuliko umoja wa Ulaya umezitoa wapi?
 
Unaijua hewa safi wewe au unaropoka tu ?
 
Watu wanapambana kulinda himaya zao dhidi ya mafedhuli anaona n waangamizi.

Anasahau ulimwengu ulivyoumbwa ni kwa wenye msuli tuu huna utapangiwa hadi ratiba ya kumla mkeo.
Hakika
 

Mtu mweusi mwenye viji IQ vya kuokoteza akipishana na Waasia wa Marekani.
 
Ukweli ni kwamba watu weusi hatufikirii sawa sawa, kama wenzetu wanawaza kwenda sayari ya mars wakati sisi bado hatuna umeme, maji na miundombinu ya kutosha ata baada ya miaka 60 ya uhuru
 
View attachment 2767456
Mtu mweusi mwenye viji IQ vya kuokoteza akipishana na Waasia wa Marekani.
Si vizuri kunyanyapaa watu wenye ulemavu wa akili kama huyo Mwamerika mweusi uliyemwonyesha kwenye picha. Watu hao wako duniani kote, yawezekana hata katika familia yako. Hizo ni propaganda chafu dhidi ya watu weusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…