Kutambulishwa ukweni na kutolewa mahari sio uhakika wa ndoa

Mpesa, Tigopesa,Airtel money, Halopesa mnashindwaje Sasa kurudisha? Au wamesamehe na nyinyi mnalazimisha kuwarudishia?

Pole Sana mkuu heri uchumba uliovunjika, kuliko ndoa ya mateso
 
Dah we kwel ndume maan wangekua wengine ni full kujiliza-liza tu vip mahari walikurudishia au?
 
Kwa nini uliachawa na mahari ikasusiwa kabisa?
 
Kwetu sisi watunza asili..na hata kibiblia..ukishatolewa mahali tayari wewe ni mke na mume wa mtu..hizo zingine ni mbwembwe tu za binadamu..ndio mana siku ya mahari ndugu wa pande mbili hujumuika pamoja.


Wenye dini za kuletewa komaeni na makanisa na misikiti...ila mwafrika halisi ukishalipia mahali wewe anza kuzaa ni mkeo halali huyo.

Wajinga na wafia dini hawata elewa si washangai ndio ujinga wao.


#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Dah!...
 
Kwa nini uliachawa na mahari ikasusiwa kabisa?
Sikuachwa mkuu tena hakuna sababu ya maana. Mama mkwe alikuwa anataka niende nae Moshi baada ya kusikia ninaenda kusalimia kwetu maandalizi ya kwenda kwetu yalikuwa tayari kabisa. Nikasema naomba niende nyumban kwanza nikirudi twemde moshi wakasema ( mama na mwanae) kama unaenda kwenu nenda moja kwa moja nikaondoka bila kugeuka nyuma.
 
Mimi nilipeleka barua ya posa sehemu kwa nia ya kutaka kuoa binti mmoja hivi, ila sikurudi tena baada ya binti kunitajia mahari kubwa tofauti na uwezo wangu na kuniwekea masharti ya kipumbavu.
Hata mshenga wangu niliyemtuma alishangaa hivyo hatukurudi tena.
 
Acha ni washe kengere ya Taarifa niendelee kusoma shuhuda maana mwenyewe naziona dalili za kumpiga chini mtoto wa watu kama hatabadilika..!
[emoji41][emoji41]
 
Kuna watu wambeya kazi yao huwa kuharibia wenzao mahusiano utafikiri wao ni malaika, Bora dada aliolewa na huyo mwingine, kisicho ridhiki hakiliki
 
Why mliachana, napenda mila ya kabila letu siku unatoa mahari ndio unavisha pete na ndoa inakuwa mwezi huo huo hamna kuchelewesha
 
Why mliachana, napenda mila ya kabila letu siku unatoa mahari ndio unavisha pete na ndoa inakuwa mwezi huo huo hamna kuchelewesha
Hamna Mambo ya vikao vya miezi mitatu..!!safi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…