Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Then huyo aliyemuoa atakuja hapa na kuanza kusema ndoa mbaya, mara wanawake siyo waaminifu na siyo wa kuwaamini.Hawata fika mbali,,ipo siku utakuja leta ushuhuda humu
Dah we kwel ndume maan wangekua wengine ni full kujiliza-liza tu vip mahari walikurudishia au?Nimewahi mimi binafsi,, nilitoa mahari, na kumvalisha pete baada ya miezi mitatu alinipigia kwa jeuri na kunitusi kisa nimepeleka mbele tarehe ya harusi hapo ndipo ukawa mwisho wa uchumba wetu, mama yake alichanganyikiwa alitaka wamuombee msamaha ila mimi sikuhitaji suluhu nae tena.
Yes imenitokea mimi binafsi nilitolewa mahari mwaka juzi na pete nikavalishwa. Haikuwa riziki miezi 8 baadae tukaachana na kila mtu akashika hamsini zake. Upande wa kiume hawataki kuchukua mahari zao ingawa tunafanya jitihada sana wazichukue. Kweli kabisa mahari sio ndoa wakuu.
Dah!...Yes imenitokea mimi binafsi nilitolewa mahari mwaka juzi na pete nikavalishwa. Haikuwa riziki miezi 8 baadae tukaachana na kila mtu akashika hamsini zake. Upande wa kiume hawataki kuchukua mahari zao ingawa tunafanya jitihada sana wazichukue. Kweli kabisa mahari sio ndoa wakuu.
Sikuachwa mkuu tena hakuna sababu ya maana. Mama mkwe alikuwa anataka niende nae Moshi baada ya kusikia ninaenda kusalimia kwetu maandalizi ya kwenda kwetu yalikuwa tayari kabisa. Nikasema naomba niende nyumban kwanza nikirudi twemde moshi wakasema ( mama na mwanae) kama unaenda kwenu nenda moja kwa moja nikaondoka bila kugeuka nyuma.Kwa nini uliachawa na mahari ikasusiwa kabisa?
Kuna watu wambeya kazi yao huwa kuharibia wenzao mahusiano utafikiri wao ni malaika, Bora dada aliolewa na huyo mwingine, kisicho ridhiki hakilikiMimi nmeshuhudia kabsa... classmate wangu (ke) alileta kadi ya mchango wa harusi home kwa ajili ya hafra ya ndoa, lakin siku chache mbeleni bwanaharusi mtarajiwa alipenyezewa habari kuwa mkewe mtarajiwa kuna mtu anammega....
Bwana harusi akapatiwa adi ushahidi wa pic,jamaa alisamehe kila kitu...wazazi wa bint walipata aibu sanaa.
Ila sema kuna mabint wanabahati zao...baada ya miezi kadhaa akatokea mwamba juzi tu ndo tumepiga mpunga wa ndoa.
Na watadumu tu shida watu wanataka kuoa malaika ndio maana hawadumu.Mkuu aya mambo acha tuuu.....jamaa atakuwa amekufa ameoza kwa bint...siunajua mapenzi upofu
Why mliachana, napenda mila ya kabila letu siku unatoa mahari ndio unavisha pete na ndoa inakuwa mwezi huo huo hamna kucheleweshaYes imenitokea mimi binafsi nilitolewa mahari mwaka juzi na pete nikavalishwa. Haikuwa riziki miezi 8 baadae tukaachana na kila mtu akashika hamsini zake. Upande wa kiume hawataki kuchukua mahari zao ingawa tunafanya jitihada sana wazichukue. Kweli kabisa mahari sio ndoa wakuu.
Hamna Mambo ya vikao vya miezi mitatu..!!safi sanaWhy mliachana, napenda mila ya kabila letu siku unatoa mahari ndio unavisha pete na ndoa inakuwa mwezi huo huo hamna kuchelewesha
Umeshaolewa mkuu?Why mliachana, napenda mila ya kabila letu siku unatoa mahari ndio unavisha pete na ndoa inakuwa mwezi huo huo hamna kuchelewesha
Niolewe wapi I'm feminist na Niko kwenye menopause sasa hivi sasa naolewaje
Hii kuchelewesha hutokea wachawi na kumwaga sumu, uchumba wa miaka na Pete marufuku kabisaHamna Mambo ya vikao vya miezi mitatu..!!safi sana
Tufanye kujaribu kama tunaeza pata kachanga maana nliambiwa sperm zangu ni very strong kila bao limebeba mapacha....Niolewe wapi I'm feminist na Niko kwenye menopause sasa hivi sasa naolewaje
Hahaaaa mimi hakuTufanye kujaribu kama tunaeza pata kachanga maana nliambiwa sperm zangu ni very strong kila bao limebeba mapacha....
Sent using Jamii Forums mobile app