Kutana na Luludiva; superstar anayeishi nyumba ya tope

Wanagawiana tu usiper star. Mfano demu akigongwa na Diamond akaja kugongwa na T.I.D. akapitiwa na kiba. Halafu akaja kumalizia wengine wengine,huyo tayari wanampandisha cheo cha usuper star. Halafu super star huku hana hela.
Kumbe,
Kagongwa
 
Hiyohiyo fanya repair itakaa vizuri sio lazima ujenge mpya...wengi siku hizi wanazibadili
Design ya zamani vyoo na bafu viko njee afu hakuna dining ni sebule tu na vyumba. Kama nitakuwa hai lazima niweke kitu cha tofauti. Ramqni nilitoa mtandaoni kila mtu anaiuliza , fundi nilimtoa mjini nikaenda nae kijiji, ramani kali ile ningekuwa na mipesa ingekuwa ya tofauti.
 
Comment yangu ilikuwa haina maana nyingine tofauti na kuonesha utu kwa mwenzetu alimpoteza mzazi wake. Unaweza ukanikadiria ujuavyo na pengine unaweza ukawa sahihi ama kinyume chake. Kwa kuwa hatufahamiani ngoja nisejisemee sana maana unaweza ukaamini ama usiamini pia. Tutangumize utu kwanza kabla ya kuanza kabla ya hayo mengine.
 

Ukijenga wewe kijiji kwenu instosha wengine waache wajenge mjini
 
Hapo ni kwa wajomba zake,ila kwa ugonjwa wa mama yake angejiandaa hata kwa kupiga hiyo nyumba plasta na sakafu ya block...lolote hutokea unapokua na mgonjwa ambae hawezi kupona

Ili awafurahishe nyie au?
 
Mtu kapanga kwenye gorofa Mbezi beach. Halafu kwao kuko hivi ?Aibu kwa kweli.
Ukitaka kujionyesha superstars kubali Gharama yake , huwez kuwaaminisha watu wa kuelewe unless kama na yeye angekuwa choka mbaya ...!! Kama ana maisha ya kuigiza na Hana chochote basi iwe funzo Kwa wasanii na wale wapenda show off ,
 
Mimi nilijua Luludiver ni mtoto wa yule alikuwa rais wa T.F.F akapigwa ndani na magu. Malinzi sijui?. Au ni mbili tofauti?

Huyo anaitwa diva the boss yupo wasafi fm
 
Ni vema kuishi kiuhslisia wakuu

Sio kwa mastaa wabongo bro we ukiona interviews zao utachoka yani mtu anahojiwa kuhusu gharama za Nguo na nywele anavyojikuta sasa utasema tajir sihuyu hapa eti hapa juu mpaka chini nimevaa million 10 mwisho wa siku kodi zinawashinda kulipa Kwenye nyumba zao zakupanga wanaishi maisha ya stress sana,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…