Haliitaji utalaamu bali umakini wa kujua unachokizungumza na kutamka.T-Scan zipo bandarini ambazo kazi zake ni ku-scan mizigo inayoingia bandarini.
Kuna CT-Scan ambayo kazi yake ni kum-scan mgonjwa ili kugundua tatizo linalomsumbua.
Kwa sababu huyo mbunge siyo mtaalamu wa vyombo hivyo tusimlaumu sana kwa kuchanganya matumizi ya mashine hizo!
kwanini asisifie? anazuiwa na nani kuyaona mambo tofauti na unavyoyaona wewe?Hakuna anayetaka huyo mbunge aijue CT SCAN kama wanavyoijua madaktari ila yeye kajipa kazi ya kusifia kitu tena mbele ya bunge akiwa kama mbunge ilikuwa ni vyema kuwa makini na anayoyasema na kutamka.
Kwa kawaida 'great thinker' utafuta uwepo wa jambo linalozungumzwa kabla ya kukosoa, kwani mambo ni mengi na sio rahisi kwa binadamu kufahamu kila jambo.Hawa Wabunge wenu huwa hawana uwezo, tukisema tunaambiwa tuna kashfu. Sasa angalia huyu Mama, sijui Mbunge wa Wapi huko, hajui CT SCAN anasema T scan, akili yake yote ameilekeza kumsifia Samia..... yaani ameweka kando akili yake ame-concetrate kwenye uchawa! Huyu ni Mzazi wa MTU na Mbunge wa Watu, natamani kufahamu Jimbo lake.
View attachment 2983039
Hivi wewe na huyo Tambwe mna undugu? Halafu unajiita SYLLOGIST! Kweli ndege wafananao huruka pamoja. Ukilaza ni sifa kuu CCM!....and she has done it.
She has, to the best of her ability,and left her mark.
T-Scan is now in the parliaments records, in other words , she has mark the papers for Life!
Weka videoYupo mmoja wa upinzani alisema mother tongii!
Yaani Mungu ameamua kuwaumbua ccm kila mahali,kilichobaki ni kishindo cha anguko kuu la ccm.Hawa Wabunge wenu huwa hawana uwezo, tukisema tunaambiwa tuna kashfu. Sasa angalia huyu Mama, sijui Mbunge wa Wapi huko, hajui CT SCAN anasema T scan, akili yake yote ameilekeza kumsifia Samia..... yaani ameweka kando akili yake ame-concetrate kwenye uchawa! Huyu ni Mzazi wa MTU na Mbunge wa Watu, natamani kufahamu Jimbo lake.
View attachment 2983039
Asifie tu wala sina shida ila awe makini anapojipanga kuongea ajue anachoongea na kutamka, kama ilikuwa hata hiyo CT SCAN haijui kabisa kulikuwa na haja gani ya kuwa na pupa ya kuzungumzia kitu ambacho hukijui ili mradi uonekane unasifia?kwanini asisifie? anazuiwa na nani kuyaona mambo tofauti na unavyoyaona wewe?
au unajiona wew pekee ndio mwenye haki ya kupinga, ila yule wa kusifia hana haki, right?
au haki yake ni kumdhalilisha na kumwita majina yasiyofaa, right?🐒
vitu ambavyo ni bayana kabisa vimefanyika kwa wazi mchana kweupe unajizuiaje kusifia? 🐒
nadhani ni muhimu zaidi, kukosoa dosari au kasoro ya jambo au kitu flani with alternatives, hiyo inamaana zaidi 🐒
watu tu wamemfikiria tofauti, sio rahisi aongee asichokijua na ndio maana imekua hoja hoja sasa hivi...Asifie tu wala sina shida ila ila awe makini anapojipanga kuongea ajue anachoongea na kutamka, kama ilikuwa hata hiyo CT SCAN haijui kabisa kulikuwa na pupa gani kuzungumzia kitu ambacho hukijui ili mradi uonekane unasifia?
Tii Scan Zipo CCM TuSasa kama nchi imejaa Tii Scan India wanafata nini 😁
Amen AMEN 🙏Yaani Mungu ameamua kuwaumbua ccm kila mahali,kilichobaki ni kishindo cha anguko kuu la ccm.
Ukute ni kweliTii Scan Zipo CCM Tu
Haa
Hapo kakesha usiku mzima kukariri jinsi ya kumsifia Madam PresidentAsifie tu wala sina shida ila ila awe makini anapojipanga kuongea ajue anachoongea na kutamka, kama ilikuwa hata hiyo CT SCAN haijui kabisa kulikuwa na pupa gani kuzungumzia kitu ambacho hukijui ili mradi uonekane unasifia?
Huyu nae hahaahaMbunge Taletale: Serikali ishirikiane nami tulete mkandarasi wa Finance and Building barabara za jimboni kwangu
Mbunge wa Morogoro kusini Mashariki Mh Taletale ameitaka Serikali ishirikiane naye waweze kuleta mkandarasi wa kujenga barabara za jimboni kwake kwa utaratibu wa Finance and Building. Naibu waziri wa ujenzi alimjibu Taletale kwamba serikali ina utaratibu wake katika kutafuta wakandarasi na...www.jamiiforums.com
Naaaaaam sikiliza Hadi mwisho, kiongozi wa Bunge alijaribu kumrekebisha pia na akazidi kukosea, kuthibitisha kuwa hakua anajua anachokiongeaHivi kwenye utangulizi wake aliongelea T-Scan inachopima? Kama hakuongelea meno, na kumaanisha karibu mwili mzima, basi hapo ndio tatizo linapoanzia!
Kiwango cha juu cha ufaulu CCM Ili ulingie Bungeni ni ujue Mapenzi basiHawa Wabunge wenu huwa hawana uwezo, tukisema tunaambiwa tuna kashfu. Sasa angalia huyu Mama, sijui Mbunge wa Wapi huko, hajui CT SCAN anasema T scan, akili yake yote ameilekeza kumsifia Samia..... yaani ameweka kando akili yake ame-concetrate kwenye uchawa! Huyu ni Mzazi wa MTU na Mbunge wa Watu, natamani kufahamu Jimbo lake.
View attachment 2983039
Akili yake ilikua kwenye kumsifia Samia kuliko kueleza uhalisiaWabunge wa CCM ni mapoyoyo sana aisee. Yanasifia ujinga hadi akili zinakuwa kama ma vi.