Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Nawajua waliopita psrs kwa mchongo wapo wengi tuu jidanganyeniKwa asilimia 99.9% PSRS hakuna urasimu wadau mbalimbali wamelamba asali na wanatoa ushuhuda umu hawakua na connection yeyote na wapo kweny mapipa ya asali
Hizo ni kazi za kudumu mzee. Wale wenye mikataba wanaingizwa kinyemela hapoVitu vya kawaida hivyo,zipo, nafasi, huwa, ni kwa ajiri ya internal tu, au internal na outside sources, hata taasisi kubwa kama UN, UKAid, hufanya.
Watoto wa vigogo mna kiburiNa Wewe Si ukaajiriwe huko unapo jitilea?
Magufuli tutamkumbukaSasa kama that is the CASE, kwann wanaojitolea taasisi nyengine wasiruhusiwe kuomba ?? Wakati wote ni wanajitolea??? Yani kwann anayejitolea Halmashauri asiombe?? Wakati zikitoka za Halmashauri huyo wa NSSF Ataomba.
Alikosolewa.mbona hiki kiburi hamkua nacho kipindi cha JPM...
Hyo kujitolea nssf kama huna kigogo hupati achia fieldNSSF Hiyo ni taasisi ya umma, inayoendeshwa kwa kodi za watanzania, sio taasisi ya familia yako.
Mimi sio mtoto WA kigogo.. lakini vuta picha ujitolee mahali miaka mitatu alafu aje kuajiriwa MTU from Ni whereWatoto wa vigogo mna kiburi
Ambao ungemalizia hila uwe mtanzani mwenye ndugu nssf bila hvyo hata field hupati walikuwa wanamsema dr dau sasa hv kipo wapiNa wanaopata kazi via internal recruitment ni Watanzania pia,acha wenge
Kweli kabisa hii haikubaliki.Haiingii akilini NSSF wamepata wapi huu ujeuri wa kuamua kuwatenga na kuwabagua watanzania wengine wote ili kuajiri wateule wao tu waliopewa nafasi kinyemela ya mikataba na kwa gia ya "kujitolea". Lazima nyuma yake kuna vigogo vinasukuma hii agenda nyuma ya pazia!
Haishangazi yalishaanza makelele ya baadhi ya vigogo kuishambulia PSRS kwa kutumia kisingizio cha mapungufu yake ili kupenyeza agenda ya taasisi kuajiri wenyewe!
Tayari baadhi ya mawaziri na wabunge walishaanza kuandaa mazingira kwa kutaka waliojitolea kupewa kipaumbele!! Lakini mbaya zaidi si tu hizi taasisi zinaridhika kwa kuajiri zenyewe, lakini zimeenda mbali zaidi na kuamua kuwatenga na kuwabagua watanzania wengine wote kwenye ajira. Tayari walishaweka watu wao bila ushindani na kuwapa mikataba na sasa wanataka kuwathibitisha.
Hii haikubaliki. Ndio maana tunamwomba Rais Samia alikemee hili kwa nguvu zote, vinginevyo Watanzania wataamini kuwa UBAGUZI HUU UNA BARAKA ZA RAIS!
Ninaamini NSSF huenda wanazo nyingi zaidi, na hizi nafasi 392 za mwanzo ni za kupimia kina cha maji tu. Wakifanikiwa hapo huenda hata matangazo ya kazi kwenye tovuti yao wakaacha kuyatoa, wakawa wanatangaziana tu kwenye magroup yao ya Whatsaap. Sehemu ya tangazo lao hilo hapo chini:
INTERNAL VACANCY ANNOUNCEMENTNational Social Security Fund (NSSF) as part of our commitment to encourage growth anddevelopment within the Fund, we are excited to announce 392 internal job opportunities available for all Fund’s employees with specific task contracts. Only candidates who are inspecific task contract term within the Fund should apply.
Naomba watanzania tulipinge jambo hili kwa nguvu zetu zote, vinginevyo hii nchi itakuwa na matabaka ya WATWANA na WATAWALA. Kama huna mtu huko juu hutakuwa na nafasi ya kupenya hata kama uwezo na sifa unazo.
Wakigoma kubadili msimamo niwaombe mawakili kuomba COURT INJUCTION kusimamisha mchakato huu wa ajira za ubaguzi, huku mkifungua kesi mahakamani kuwatetea watanzania walio wengi ambao hawana "Connection" na wanategemea kupata ajira kupitia ushindani wa wazi na wa haki kwa watanzania wote!
mnatumia madhaifu yake kuonyesha ubaguzi wa wazi kabisa.....Alikosolewa.
Na watu walichinjwa kwa kukosoa. Waliokotwa baharini. Walipotezwa. Walitekwa.
Uongo ????
Nchi ya watu milioni 60 huwezi kuwamaliza wakosoaji.
Rais anasema wakosoaji wakusanywe wapewe ajira idara ya mipango. Anadhani wako wakosoaji 23 nchi nzima na utawamaliza kwa kuwapa ajira. Haelewi kwamba watu wenye upeo mpana wanazaliwa kila siku, haelewi masikini ya Mungu. Si kosa lake lakini, huyu Mama hakuwahi kusema mahala kwamba ana uwezo wa kukali kiti, ni JPM ndio kampachika hapo.
Mpuuzi weweNawajua waliopita psrs kwa mchongo wapo wengi tuu jidanganyeni
Wewe ndo mwendawazimu kabisa, acheni taasisi ziajiri zenyewe kwanza hao psrs wanaleta watu wasio na viwangoMpuuzi wewe
Tena kwa kiburi tuone nini na Nani ni Nani, mkuu sijawahi kufikiria kama kunaeza tokea watu wa ajabu kiasi hiki, yaan wameamua Bora iwe Ivo Ivo...mnatumia madhaifu yake kuonyesha ubaguzi wa wazi kabisa.....
Ujambazi...? acha kuropoka na upuuzi wakoKinachofanywa na hawa maharamia ni ujambazi
Wewe unajua maana ya viwango au unaropoka tu hapa ?Wewe ndo mwendawazimu kabisa, acheni taasisi ziajiri zenyewe kwanza hao psrs wanaleta watu wasio na viwango
Kuwa jobless kusikufanye uwe mshenzi, muda wako ukifika utaajiriwaWewe unajua maana ya viwango au unaropoka tu hapa ?
Idiot ,
Nenda kwenye threads za wendawazimu wenzako huko ,tutolee kichefuchefu hapa
Mbona hakuna shida kuajiri from internal source either way external or internal ni watanzania hao hao wanaopewa au kuna wakenya hapo mkuu...kanuni zimefuatwa ninaaminiHaiingii akilini NSSF wamepata wapi huu ujeuri wa kuamua kuwatenga na kuwabagua watanzania wengine wote ili kuajiri wateule wao tu waliopewa nafasi kinyemela ya mikataba na kwa gia ya "kujitolea". Lazima nyuma yake kuna vigogo vinasukuma hii agenda nyuma ya pazia!
Haishangazi yalishaanza makelele ya baadhi ya vigogo kuishambulia PSRS kwa kutumia kisingizio cha mapungufu yake ili kupenyeza agenda ya taasisi kuajiri wenyewe!
Tayari baadhi ya mawaziri na wabunge walishaanza kuandaa mazingira kwa kutaka waliojitolea kupewa kipaumbele!! Lakini mbaya zaidi si tu hizi taasisi zinaridhika kwa kuajiri zenyewe, lakini zimeenda mbali zaidi na kuamua kuwatenga na kuwabagua watanzania wengine wote kwenye ajira. Tayari walishaweka watu wao bila ushindani na kuwapa mikataba na sasa wanataka kuwathibitisha.
Hii haikubaliki. Ndio maana tunamwomba Rais Samia alikemee hili kwa nguvu zote, vinginevyo Watanzania wataamini kuwa UBAGUZI HUU UNA BARAKA ZA RAIS!
Ninaamini NSSF huenda wanazo nyingi zaidi, na hizi nafasi 392 za mwanzo ni za kupimia kina cha maji tu. Wakifanikiwa hapo huenda hata matangazo ya kazi kwenye tovuti yao wakaacha kuyatoa, wakawa wanatangaziana tu kwenye magroup yao ya Whatsaap. Sehemu ya tangazo lao hilo hapo chini:
INTERNAL VACANCY ANNOUNCEMENTNational Social Security Fund (NSSF) as part of our commitment to encourage growth anddevelopment within the Fund, we are excited to announce 392 internal job opportunities available for all Fund’s employees with specific task contracts. Only candidates who are inspecific task contract term within the Fund should apply.
Naomba watanzania tulipinge jambo hili kwa nguvu zetu zote, vinginevyo hii nchi itakuwa na matabaka ya WATWANA na WATAWALA. Kama huna mtu huko juu hutakuwa na nafasi ya kupenya hata kama uwezo na sifa unazo.
Wakigoma kubadili msimamo niwaombe mawakili kuomba COURT INJUCTION kusimamisha mchakato huu wa ajira za ubaguzi, huku mkifungua kesi mahakamani kuwatetea watanzania walio wengi ambao hawana "Connection" na wanategemea kupata ajira kupitia ushindani wa wazi na wa haki kwa watanzania wote!