Kutangaza nafasi za ajira kwa watu "Wa ndani ya NSSF" ni Ubaguzi, Rais Samia ingilia kati, unachonganishwa na wananchi!

Kutangaza nafasi za ajira kwa watu "Wa ndani ya NSSF" ni Ubaguzi, Rais Samia ingilia kati, unachonganishwa na wananchi!

mbona hiki kiburi hamkua nacho kipindi cha JPM...
Alikosolewa.

Na watu walichinjwa kwa kukosoa. Waliokotwa baharini. Walipotezwa. Walitekwa.

Uongo ????

Nchi ya watu milioni 60 huwezi kuwamaliza wakosoaji.

Rais anasema wakosoaji wakusanywe wapewe ajira idara ya mipango. Anadhani wako wakosoaji 23 nchi nzima na utawamaliza kwa kuwapa ajira. Haelewi kwamba watu wenye upeo mpana wanazaliwa kila siku, haelewi masikini ya Mungu. Si kosa lake lakini, huyu Mama hakuwahi kusema mahala kwamba ana uwezo wa kukalia kiti, ni JPM ndio kampachika hapo.
 
Haiingii akilini NSSF wamepata wapi huu ujeuri wa kuamua kuwatenga na kuwabagua watanzania wengine wote ili kuajiri wateule wao tu waliopewa nafasi kinyemela ya mikataba na kwa gia ya "kujitolea". Lazima nyuma yake kuna vigogo vinasukuma hii agenda nyuma ya pazia!

Haishangazi yalishaanza makelele ya baadhi ya vigogo kuishambulia PSRS kwa kutumia kisingizio cha mapungufu yake ili kupenyeza agenda ya taasisi kuajiri wenyewe!

Tayari baadhi ya mawaziri na wabunge walishaanza kuandaa mazingira kwa kutaka waliojitolea kupewa kipaumbele!! Lakini mbaya zaidi si tu hizi taasisi zinaridhika kwa kuajiri zenyewe, lakini zimeenda mbali zaidi na kuamua kuwatenga na kuwabagua watanzania wengine wote kwenye ajira. Tayari walishaweka watu wao bila ushindani na kuwapa mikataba na sasa wanataka kuwathibitisha.

Hii haikubaliki. Ndio maana tunamwomba Rais Samia alikemee hili kwa nguvu zote, vinginevyo Watanzania wataamini kuwa UBAGUZI HUU UNA BARAKA ZA RAIS!

Ninaamini NSSF huenda wanazo nyingi zaidi, na hizi nafasi 392 za mwanzo ni za kupimia kina cha maji tu. Wakifanikiwa hapo huenda hata matangazo ya kazi kwenye tovuti yao wakaacha kuyatoa, wakawa wanatangaziana tu kwenye magroup yao ya Whatsaap. Sehemu ya tangazo lao hilo hapo chini:

INTERNAL VACANCY ANNOUNCEMENT
National Social Security Fund (NSSF) as part of our commitment to encourage growth anddevelopment within the Fund, we are excited to announce 392 internal job opportunities available for all Fund’s employees with specific task contracts. Only candidates who are inspecific task contract term within the Fund should apply.

Naomba watanzania tulipinge jambo hili kwa nguvu zetu zote, vinginevyo hii nchi itakuwa na matabaka ya WATWANA na WATAWALA. Kama huna mtu huko juu hutakuwa na nafasi ya kupenya hata kama uwezo na sifa unazo.

Wakigoma kubadili msimamo niwaombe mawakili kuomba COURT INJUCTION kusimamisha mchakato huu wa ajira za ubaguzi, huku mkifungua kesi mahakamani kuwatetea watanzania walio wengi ambao hawana "Connection" na wanategemea kupata ajira kupitia ushindani wa wazi na wa haki kwa watanzania wote!
Kweli kabisa hii haikubaliki.
 
Alikosolewa.

Na watu walichinjwa kwa kukosoa. Waliokotwa baharini. Walipotezwa. Walitekwa.

Uongo ????

Nchi ya watu milioni 60 huwezi kuwamaliza wakosoaji.

Rais anasema wakosoaji wakusanywe wapewe ajira idara ya mipango. Anadhani wako wakosoaji 23 nchi nzima na utawamaliza kwa kuwapa ajira. Haelewi kwamba watu wenye upeo mpana wanazaliwa kila siku, haelewi masikini ya Mungu. Si kosa lake lakini, huyu Mama hakuwahi kusema mahala kwamba ana uwezo wa kukali kiti, ni JPM ndio kampachika hapo.
mnatumia madhaifu yake kuonyesha ubaguzi wa wazi kabisa.....
 
Ni mahakama gani Tanzania zenye autonomous wa kiasi hicho?haya yaliwezekana kipindi cha Magu alipozivurumisha taasisi nyeti zilizokuwa zinaajiri familia za vigogo wenye vinasaba ya mikoa fulani lkn kwa sasa jambo hilo limerudi tena kwa kasi.Sidhani kama raisi ana nguvu ya kulimwa hilo.Ngoja tuone.
 
Wewe unajua maana ya viwango au unaropoka tu hapa ?
Idiot ,
Nenda kwenye threads za wendawazimu wenzako huko ,tutolee kichefuchefu hapa
Kuwa jobless kusikufanye uwe mshenzi, muda wako ukifika utaajiriwa

Kwanza sio kila mtu aajiriwe nenda ujajiajiri kwenye kilimo huko
 
Haiingii akilini NSSF wamepata wapi huu ujeuri wa kuamua kuwatenga na kuwabagua watanzania wengine wote ili kuajiri wateule wao tu waliopewa nafasi kinyemela ya mikataba na kwa gia ya "kujitolea". Lazima nyuma yake kuna vigogo vinasukuma hii agenda nyuma ya pazia!

Haishangazi yalishaanza makelele ya baadhi ya vigogo kuishambulia PSRS kwa kutumia kisingizio cha mapungufu yake ili kupenyeza agenda ya taasisi kuajiri wenyewe!

Tayari baadhi ya mawaziri na wabunge walishaanza kuandaa mazingira kwa kutaka waliojitolea kupewa kipaumbele!! Lakini mbaya zaidi si tu hizi taasisi zinaridhika kwa kuajiri zenyewe, lakini zimeenda mbali zaidi na kuamua kuwatenga na kuwabagua watanzania wengine wote kwenye ajira. Tayari walishaweka watu wao bila ushindani na kuwapa mikataba na sasa wanataka kuwathibitisha.

Hii haikubaliki. Ndio maana tunamwomba Rais Samia alikemee hili kwa nguvu zote, vinginevyo Watanzania wataamini kuwa UBAGUZI HUU UNA BARAKA ZA RAIS!

Ninaamini NSSF huenda wanazo nyingi zaidi, na hizi nafasi 392 za mwanzo ni za kupimia kina cha maji tu. Wakifanikiwa hapo huenda hata matangazo ya kazi kwenye tovuti yao wakaacha kuyatoa, wakawa wanatangaziana tu kwenye magroup yao ya Whatsaap. Sehemu ya tangazo lao hilo hapo chini:

INTERNAL VACANCY ANNOUNCEMENT
National Social Security Fund (NSSF) as part of our commitment to encourage growth anddevelopment within the Fund, we are excited to announce 392 internal job opportunities available for all Fund’s employees with specific task contracts. Only candidates who are inspecific task contract term within the Fund should apply.

Naomba watanzania tulipinge jambo hili kwa nguvu zetu zote, vinginevyo hii nchi itakuwa na matabaka ya WATWANA na WATAWALA. Kama huna mtu huko juu hutakuwa na nafasi ya kupenya hata kama uwezo na sifa unazo.

Wakigoma kubadili msimamo niwaombe mawakili kuomba COURT INJUCTION kusimamisha mchakato huu wa ajira za ubaguzi, huku mkifungua kesi mahakamani kuwatetea watanzania walio wengi ambao hawana "Connection" na wanategemea kupata ajira kupitia ushindani wa wazi na wa haki kwa watanzania wote!
Mbona hakuna shida kuajiri from internal source either way external or internal ni watanzania hao hao wanaopewa au kuna wakenya hapo mkuu...kanuni zimefuatwa ninaamini
 
Back
Top Bottom