Kutawala kwa picha ya Rais Samia uwanjani ni ishara ya mafanikio katika kujenga umoja wa kitaifa na kukubalika kwake

Mazuri hayaigwi ila yenye ukakasi yanastawi uhuru wa kisiasa sifuri, mishahara sifuri, Bata wale wao, kejeli zao, makanisa yasijengwe, umeme shida, mfumuko wa bei, vifo vyaajali za barabarani, Hivi ndivyo kulivyo nchini Guetemalata na Bamsenene.
 
ni tabia za kike ndio zinawasumbua mashabiki wetu! duniani kote mpira unapigwa lakini huwezi kuona picha za marais wao! pale mchezo wa soka ambao rais wake ni karia ,motsepe,na infantinho,kwa nn wasibebe mabango ya hao? shame!
Ishara ya unpopular na fursa za machawa, ukionekana unafagilia hata huku Guatemalata hali iko hivyo, madume na majike wamekataa mazima.
 
Mazuri hayaigwi ila yenye ukakasi yanastawi uhuru wa kisiasa sifuri, mishahara sifuri, Bata wale wao, kejeli zao, makanisa yasijengwe, umeme shida, mfumuko wa bei, vifo vyaajali za barabarani, Hivi ndivyo kulivyo nchini Guetemalata na Bamsenene.
Kwani Nani amekuzuia kujenga Hilo kanisa unalolilia kulijenga, fuata utaratibu Jenga kanisa lako, suala la mfumuko wa Bei limeshughulikiwa vizuri kabisa na mh Rais wetu mpendwa, mfano katika kilimo tunaona namna mh Rais alivyotoa mabillioni ya pesa Kama Ruzuku na kupelekea mbolea kushuka Bei sokoni zaidi ya nusu ya Bei ya mwaka jana
 
Mwagito, Niko Guatemalata hayo huku sijayaona endelea kuboresha huko kwenu, bei ya mchele, viazi, unga, mahindi, sukari? Vipi huko sisi huku tumepewa neema ya vilevi ndio havina mfumuko wa bei, ibada ya kumwagilia moyo imeenziwa vizuri, tunashukuru hapa Guate city tuko sawa.
 
Hapo uko sahihi.
 
Hoja yenye ukweli haiwezi kumgeuza mleta hoja kuwa mjinga, kinachohitaji kwako Ni kubadilika kifikira na kimtizamo na mawazo potofu uliyo nayo kichwani ili uanze kuona kwa akili yako halisia na Timamu mambo makubwa aliyoyafanya mh Rais wetu

Hoja ndo hiyo? Au hoja ni picha na Ile aliyoongea mleta Mada?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…