Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #161
Vyakula vya naniWewe sema unawaza kumendea vyakula vya watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyakula vya naniWewe sema unawaza kumendea vyakula vya watu
Mashabiki wa Timu zote wanamkubali mh Rais wetu mpendwa mama Samia maana Ni mwana michezo pia ndio maana unaona amekuwa akifuatilia kwa karibu Sana pale timu zetu zinapocheza iwe ndani ya nchi au nje ya nchiMimi bado nashangaa Kama wengine wanavyoshangaa.....kuwa ukiwa na picha ya Rais unashinda mechi yako.au kutoa draw. Nashauri Yanga waende nazo Tunisia
KivipiNonsense.
Ahahahahah! Hii misemo ya Mwl. Nyerere tuje tuiwekee thread yake, maana inaonekana inafanya kazi hadi wakati wa sasa na ujao.Kama unampenda sana kanywe nae chai
SahihiKwani kuandika ukweli ndio kuabudu. Kwani wewe unafaidika na Nini unapokuwa unapinga pinga kila kitu
Kama kiongozi anafanya vizuri na kutekeleza majukumu yake vizuriii ni lazima apongezwe kwa kuwa siyo wote wenye kutimiza wajibu wao wapewapo, hivyo anapotokea kiongozi aina ya Rais mama Samia aliyejitoa na kujitolea kuwatumikia watanzania wanyonge kwa nguvu zake zote na muda wake wote lazima tumpongeze na kumuunga mkono juhudi zake za kutukwamua kiuchumi watanzania, Haipaswi kumkatisha Tamaa bila sababu, haipaswi kumvunja moyo, Haipaswi kumkwamisha kwa makusudi maana kumkwamisha Rais Samia Ni sawa na kuwakwamisha watanzania woteKwa katiba hii tuliyonayo, kila kiongozi atakayepata fursa ya kuwa Rais na kuiongoza taasisi nyeti ya urais, basi ni lazima watatokea tu wapambe wa kumsifu na kumuabudu, japo huo ni wajibu wake kikatiba pale atimizapo majukumu yake ya kila siku.
Hii ilikuwa ni hivyo hata wakati wa BWM, JK, JPM na hata sasa wakati wa SSH. Japokuwa haikuwa kitu cha kawaida sana wakati wa tawala za JKN na AHM.
Hata akija Mwigulu au Makamba baada ya SSH, watatokea tu wapambe na kuendelea kutoa sifa kama hizo. Hata awe Kibajaji ama Msukuma hawatakosena chawa wao.
Kuna watu humu, akili zenu mnazijua wenyewe tu.Kwani kuandika ukweli ndio kuabudu. Kwani wewe unafaidika na Nini unapokuwa unapinga pinga kila kitu
Karibu Sana mkuu na mawazo yako mapyaKuna watu humu, akili zenu mnazijua wenyewe tu.
UteuziKwani kuongea ukweli ndio uchawa? Kwa hiyo wewe hapo unapinga pinga kila kitu ili upate faida gani? Tusijenge Tabia ya kuwakatisha Tamaa viongozi aina ya Rais Samia waliojitoa na kujitolea kututumikia watanzania kwa uzalendo mkubwa
Uteuzi wa Nini maana naona muda wote akili yako IPO kwenye uteuzi tuUteuzi
Huko CCM idadi ya wajinga inaongezeka kwa kasi sanaKweli dunia hii wajinga wapo aisee.
Nyie endeleeni kupinga pinga kila kitu wakati CCM inazidi kukita mizizi yake katika mioyo ya watanzaniaHuko CCM idadi ya wajinga inaongezeka kwa kasi sana
LiceThis must be coming from Chawas.
Unakaribisha waanzilishi wa JF.... Nyie recruits wa Shaka mna matatizo.Karibu Sana mkuu na mawazo yako mapya
Duuh!! Unashindwa kusifu, kuabudu, kumuimbia na kumchezea Mungu wako,badala yake unamgeuza binadamu mwenzako "mungu"!!!???
Kweli umasikini wa akili na kipato ni vitu vya kutorithisha watoto wetu.
Hata ije tume kutoka marekani kusimamia uchaguzi bado Rais Samia atashinda kwa kishindo maana anakubalika na kupendwa Sana na watanzania