Kutawala kwa picha ya Rais Samia uwanjani ni ishara ya mafanikio katika kujenga umoja wa kitaifa na kukubalika kwake

Kutawala kwa picha ya Rais Samia uwanjani ni ishara ya mafanikio katika kujenga umoja wa kitaifa na kukubalika kwake

Una miaka mingapi? Au siasa ulianza kufatilia baada ya Lowasa kutaka urais? Awamu kusifiana kulikuwepo vizur tu
Tulikuwa tunasifiana ila hatukuwa tunasifiana kijinga hivi, watu walisifiwa kwa hoja.

Labda uniambie, haya mambo ya kubeba picha za rais kwenye michezo ya mpira uliiona awamu ya nne?
 
ni tabia za kike ndio zinawasumbua mashabiki wetu! duniani kote mpira unapigwa lakini huwezi kuona picha za marais wao! pale mchezo wa soka ambao rais wake ni karia ,motsepe,na infantinho,kwa nn wasibebe mabango ya hao? shame!
Upendo haulazimishwi ndio maana huko hawabebi, lakini kwetu Tanzania unaona yakitokea hayo kutokana na upendo mkubwa Sana walio nao watanzania kwa Rais wetu, hii Ni kutokana na namna mh Rais anavyogusa maisha ya kila mmoja wetu kuwa Bora
 
Tulikuwa tunasifiana ila hatukuwa tunasifiana kijinga hivi, watu walisifiwa kwa hoja.

Labda uniambie, haya mambo ya kubeba picha za rais kwenye michezo ya mpira uliiona awamu ya nne?
Kwani hii Ni awamu ya nne? Kila Zama na kitabu chake
 
Tumbo ukiliendekeza linaweza kukudhalilisha sana
Kwani hufurahi namna Taifa lilivyoungana na kuwa kitu kimoja chini ya uongozi wa mh mama Samia au unataka na kutamani kuona Taifa likiwa vipande vipande na lililogawanyika
 
Kwani hufurahi namna Taifa lilivyoungana na kuwa kitu kimoja chini ya uongozi wa mh mama Samia au unataka na kutamani kuona Taifa likiwa vipande vipande na lililogawanyika
Pambana mkuu,huenda wakakuona...mikeka bado ipo mingi tu.
 
Kwanza wewe sio tu Mwashamba bali ni "Mshamba"
Ila kwa sababu Tanzania "kusifu na kuabudu" imegeuka kuwa CV muhimu kuliko
"Taaluma na Uwajibikaji"
Sikushangai maana najua unachokitafuta ni nini.!

Kwanza kwa wewe kutaja "ID" yako humu "JF" ina maana unataka unaowasifia wakuone na kukujua mashairi yako!

Ila nikujulushe kuwa,hiyo GSM inayoidhamini Yanga kwa sasa.
Ni mali ya mshika "REMOTE" wa Msoga.

Na kwa sababu anajua TV anayoiongoza inahitaji program ya "SIFA" ndio maana hizo picha zinachomekewa huko viwanjani.

Na hatimae kuwanasa wapumbavu kama wewe "Mshamba"(Mwashambwa) a.ka mchambwa!

Alamsiki
FB_IMG_1666553065911.jpg
 
Sasa kama anakubalika si hao unaowaambia wanamkubali..., unamwambia nani sasa ambaye hajui kama anamkubali au watakuwa wamesahau kama wanamkubali au kumkataa hence unawakumbusha ?!!!

Huu muda ungetumika kufanya vitu constructive kweli watu wangemkubali bila hata kukumbushana..., Unadhani kitaa wanapenda jina / sura au Umeme wa Uhakika na Bei za Bidhaa affordable as well as walamba asali hata kuonyesha lepe la kujari na sio kutoa kauli za ajabu wakati watu tozo zinawauwa...

By the way kamuulize yule aliyehukumiwa kifungo ni namna gani anamkubali....
 
Kwanza wewe sio tu Mwashamba bali ni "Mshamba"
Ila kwa sababu Tanzania "kusifu na kuabudu" imegeuka kuwa CV muhimu kuliko
"Taaluma na Uwajibikaji"
Sikushangai maana najua unachokitafuta ni nini.!

Kwanza kwa wewe kutaja "ID" yako humu "JF" ina maana unataka unaowasifia wakuone na kukujua mashairi yako!

Ila nikujulushe kuwa,hiyo GSM inayoidhamini Yanga kwa sasa.
Ni mali ya mshika "REMOTE" wa Msoga.

Na kwa sababu anajua TV anayoiongoza inahitaji program ya "SIFA" ndio maana hizo picha zinachomekewa huko viwanjani.

Na hatimae kuwanasa wapumbavu kama wewe "Mshamba"(Mwashambwa) a.ka mchambwa!

Alamsiki
Ukweli lazima usemwe tu kuwa mama Samia anakubalika na kupendwa Sana na watanzania, mama Samia kafanikiwa kuwaunganisha watanzania na kujenga umoja wa kitaifa, kafanikiwa kukaa katika mioyo ya watanzania kutokana na usikivu wake wa kumsikiliza kila mtu na kumjalia kila mtu na kuthamini mchango wa kila mtu katika ujenzi wa Taifa letu
 
Sasa kama anakubalika si hao unaowaambia wanamkubali..., unamwambia nani sasa ambaye hajui kama anamkubali au watakuwa wamesahau kama wanamkubali au kumkataa hence unawakumbusha ?!!!

Huu muda ungetumika kufanya vitu constructive kweli watu wangemkubali bila hata kukumbushana..., Unadhani kitaa wanapenda jina / sura au Umeme wa Uhakika na Bei za Bidhaa affordable as well as walamba asali hata kuonyesha lepe la kujari na sio kutoa kauli za ajabu wakati watu tozo zinawauwa...

By the way kamuulize yule aliyehukumiwa kifungo ni namna gani anamkubali....
Maamuzi ya mahakamani yanapingwa mahakamani na kubadilishwa mahakamani kwa utaratibu wa kisheria ,Kama unaona kaonewa nenda kamkatie rufaa
 
Back
Top Bottom