vipi kuhusu TUNZAA, ni app ya kibongo iliyotengenezwa na watanzania inafanya poa sokoni
MAXCOM alikuwa na 2 Zimbabweani (nawajua in and out) Developer wa App za MAXCOM ni Wahindi na wajua tena sana nna nna mpaka few email communications with this Developer kama unataka I can PM you their Discussions juu ya wao na MAXCOM