fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 5,305
- 5,355
Kwanini ishu ya uvuvi watoke mijini mkuu?Kuna kipindi huwa nawish kuwashawishi vijana wawekeze kwenye uvuvi lkn huwa nagundua kuwa wengi wetu hatuna ndoto za kutoka mijini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini ishu ya uvuvi watoke mijini mkuu?Kuna kipindi huwa nawish kuwashawishi vijana wawekeze kwenye uvuvi lkn huwa nagundua kuwa wengi wetu hatuna ndoto za kutoka mijini.
Kuna kipindi nliweka uzi hapa ikaonekana n kama napigia promo ka biashara kangu ka kubangaiza ka kuuza wavu za kuvua samaki.Leta madini mkuu
Laki tano ya watu imekwenda na maji hapa 😅😅😅Chukua hiyo laki tano weka mkeka.
19/10 Ajax vs Dortmund - Draw
24/10 Man U vs Liverpool - Liverpool win
Utakuwa na zaidi ya million 3 ndani ya siku 6.
Asilimia kubwa ya mito, mabwawa, visima na hata baadhi ya mito iko nje kdg ya miji, ukiachana na maeneo kama ziwa victoria, Singidani, n.k...kwann ishu ya uvuvi watoke mijini mkuu?
dogo niPM haina haja ya lak5 yako njoo nikupe mchongo from zero
Kwa mtu asiye na ujuzi wa kuvua hii biashara inanufaisha vipi?Kuna kipindi nliweka uzi hapa ikaonekana n kama napigia promo ka biashara kangu ka kubangaiza ka kuuza wavu za kuvua samaki.
Kumbe kuna jambo nlitaka nisaidie raia.
Anyway, uvuvi n moja ya sekta isiyokuwa na complications ktk uwekezaji.
Tukiachana na uvuvi mkubwa, kuna uvuvi mdogo ambao uwekezaji wake hauwez kuzidi hata 1mil na kwa siku ukawepo uwezekano wa mtu kupiga zaid ya 70k.
Shida n kwamba vijana hatutaki habari za uvuvi.
Asilimia kubwa ya wawekezaji ktk sekta hii hawahusiki directly ktk uvuvi.Kwa mtu asiye na ujuzi wa kuvua hii biashara inanufaisha vipi?
Kuna kipindi nliweka uzi hapa ikaonekana n kama napigia promo ka biashara kangu ka kubangaiza ka kuuza wavu za kuvua samaki.
Kumbe kuna jambo nlitaka nisaidie raia.
Anyway, uvuvi n moja ya sekta isiyokuwa na complications ktk uwekezaji.
Tukiachana na uvuvi mkubwa, kuna uvuvi mdogo ambao uwekezaji wake hauwez kuzidi hata 1mil na kwa siku ukawepo uwezekano wa mtu kupiga zaid ya 70k.
Shida n kwamba vijana hatutaki habari za uvuvi.
Ukijua kula na wakubwa, hii biashara haikupi shida hata kdg.Kuna kipindi nilienda kusini huko,
ndugu yangu wa karibu alikuwa anauza nyavu za uvuvi, nyavu fulani ukikamatwa na wahusika, yatakupata ya Sabaya.
alikuwa ananunua wavu moja elfu arobaini mpaka hamsini kwa kule nyumbani.
akifika kusini huku anauza wavu moja laki mbili mpaka tatu.
wavu zilikuwa zikifika asubuhi saa kumi na mbili, mpaka saa nne asubuhi zote zimeisha.
alikuwa analeta wavu 30 mpaka 50 kwa safari moja.
Chukua hiyo laki tano weka mkeka.
19/10 Ajax vs Dortmund - Draw
24/10 Man U vs Liverpool - Liverpool win
Utakuwa na zaidi ya million 3 ndani ya siku 6.
na mimi nikupmdogo niPM haina haja ya lak5 yako njoo nikupe mchongo from zero
Kwanini usiweke hapa mpaka aje PM?dogo niPM haina haja ya lak5 yako njoo nikupe mchongo from zero
Probably n ya akina SabayaKwanini usiweke hapa mpaka aje PM?
Kuna kitu wanaita BANKER..., Draw haijawahi kuwa Banker..., sio bahati mbaya bookies kuipa odds za approximately 3Chukua hiyo 500k tia jamvi
Yanga_win
Liverpool_win
Azam_Draw
Sherrif_Mpe handicap
Utakuja kunishukuru baadae
Twende tukafanye biashara ya Madini Msumbijimm nina mtaji wa milion 5 hapa nawaza nifanye biashara gani ya kuniingizia 1 milion kila mwezi [emoji17]
msaada tafadhali..
Mkuu laki tano ingekuwa imeenda hivoChukua hiyo laki tano weka mkeka.
19/10 Ajax vs Dortmund - Draw
24/10 Man U vs Liverpool - Liverpool win
Utakuwa na zaidi ya million 3 ndani ya siku 6.
Vipi Huu mkeka..laki5 yake ingekuwa Inasoma ngapi saiv?Chukua hiyo laki tano weka mkeka.
19/10 Ajax vs Dortmund - Draw
24/10 Man U vs Liverpool - Liverpool win
Utakuwa na zaidi ya million 3 ndani ya siku 6.