Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
We jamaa ni jembe sana.. tutafutane!Ukijua kula na wakubwa, hii biashara haikupi shida hata kdg.
Imagine unashusha mzigo wa kama 3m, ndani ya masaa 5 hadi 10 mzigo unaisha na unakuwa umepiga mil 9 hadi 10. Ukiondoa mchakato mzima wa usafirishaji na kulipia vijifaini vidogodogo unakuwa na around 7 mil.
Tatzo humu tunajazana hofu sana, hatutaki kujiweka rehani[emoji23].
Tunasubiri tubanwe na maisha ndo tuwaze kujiua, wakati shughuli zipo, unakamatwa, unapigwa faini na umetengeneza faida.
Karibu jamaaWe jamaa ni jembe sana.. tutafutane!
Superrrrrr edia na kama hupendi hiyo nenda kwa wakulima nunua kwa jumla leta mzigo sokoni alfajiri uza kwa jumla hukosi 50 kwa siku so miezi miwili ushapata 3M utakuja kunishukuru .Amka asubuhi nenda machinjioni nunua nyama za mafungu njoo mtaani kwako tengeneza supu safi uza kuanzia hiyo asubuhi hadi jioni kwa bei rahisi.
Baada ya miezi 3 au 4 njoo unishukuru.
Piramid Style hakuna huo mchezo huu ni wizi na udanganyifu.Tengeneza pea🐒👇
View attachment 1982677
Wacha hiyo Biashara ya Squid Game.Vipi Huu mkeka..laki5 yake ingekuwa Inasoma ngapi saiv?
Hizo Nyavu unanua wapi ?Karibu jamaa
Mzigo unatoka Tunduma, japo awali nlichukulia Zanzibar na Mombasa.Hizo Nyavu unanua wapi ?
Hawa jamaa wanajiitaga makoti. Utakutana nao nje ya mji wakiwa na mizigo kwenye mifuko mikubwa ya sulphate maarufu kama "shangazi kaja". Mara nyingi huvaa rain buti kutokana na routes wanazokuwa nazo kwenye vichochoro vyenye vumbi.Intelegent quiz hakuna kisichowezekana duniani,ipo njia ispokuwa utakuta ni mchongo wa mtu fulani mchoyo,wapo watu au mtu ambaye namfahamu hutoka asb na laki 3 tu na kuingia nayo kariakoo,jioni hurudi na laki 5,anapiga mishe gani hasemi hata kidogo.
MaumivuVipi Huu mkeka..laki5 yake ingekuwa Inasoma ngapi saiv?
Mkuu elezea vizuri hii biashara ya madini Msumbiji inakuwaje?Twende tukafanye biashara ya Madini Msumbiji
Kwenye wengi kuna mengi, jf kuna watu wenye hekima zao, kuna mazuzu kuna vichaa, kuna malaya, kuna wachawi, matapeli n.kImefikia sehemu, mtu anaomba ushauri..comments nyingi watu wanampa ushauri akabeti,
Nenda morecash ila hupati hiyo milion 3 kwa mwezi labda nusu yake.Wakuu naamini umu kuna manguli wa utafutaji.
Nina shida na million 3 baada ya mwezi mmoja ili nifanyie uwekezaji fulani.
Kwa sasa nna laki tano nataka izae million 3 ndani ya mwezi mmoja kwa kuwa sikopesheki inabidi nipambane mwenyewe.
Nisaidieni uzoefu mbinu gani naweza tumia ya halali ili nizalishe million 3?
Nipe mawazo yenye uhalisia nitafanyia kazi.
Shida naogopa maji sanaKuna kipindi nliweka uzi hapa ikaonekana n kama napigia promo ka biashara kangu ka kubangaiza ka kuuza wavu za kuvua samaki.
Kumbe kuna jambo nlitaka nisaidie raia.
Anyway, uvuvi n moja ya sekta isiyokuwa na complications ktk uwekezaji.
Tukiachana na uvuvi mkubwa, kuna uvuvi mdogo ambao uwekezaji wake hauwez kuzidi hata 1mil na kwa siku ukawepo uwezekano wa mtu kupiga zaid ya 70k.
Shida n kwamba vijana hatutaki habari za uvuvi.
Bidhaa gani na wanauzaga wapiHawa jamaa wanajiitaga makoti. Utakutana nao nje ya mji wakiwa na mizigo kwenye mifuko mikubwa ya sulphate maarufu kama "shangazi kaja". Mara nyingi huvaa rain buti kutokana na routes wanazokuwa nazo kwenye vichochoro vyenye vumbi.
Kariakoo wanachukua bidhaa kwa bei flan halafu wanaenda kuchuuza nje kabisa ya mji.
Ni watu wanaoona mbali sana. Kwao sh laki tatu huwaingizia laki tano. Hapo faida n laki 2 kwa siku.
Msiseme haiwezekani.nilishatengeneza mil 4 kwa mwezi kwa mtaji wa milion 1 ila ni msimu tu kwa sasa natafuta 20 per day mtihani.Huwezi kutengeneza milioni 3 ndani ya mwezi mmoja from zero capital labda uwe jambazi
Pole mkuu, ila yanazoelekaShida naogopa maji sana