Kutoa kwenye ATM kwango cha laki nne kwa mkupuo mmoja ni kidogo sana, nashauri waongeze

Kutoa kwenye ATM kwango cha laki nne kwa mkupuo mmoja ni kidogo sana, nashauri waongeze

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,412
Reaction score
3,043
Benki kupitia mashine zao za ATM wamekuwa na ukomo wa kiwango cha kutoa pesa. Kutoa kwa mara moja kiwango cha juu ni Laki nne.

Yaani kutoa Milioni moja mpaka uweke kadi mara 3 huu ni upotevu wa muda na ongezeko la gharama kwa wateja.

Kwa niaba ya wateja wenzangu ninaomba kiwango kiongezwe.
 
Benki kupitia mashine zao za ATM wamekuwa na ukomo wa kiwango cha kutoa pesa. Kutoa kwa mara moja kiwango cha juu ni Laki nne.

Yaani kutoa Milioni moja mpaka uweke kadi mara 3 huu ni upotevu wa muda na ongezeko la gharama kwa wateja.

Kwa niaba ya wateja wenzangu ninaomba kiwango kiongezwe
Tulisha discuss humu kwamba wanafanya wizi kama wizi mwingine ,ukitoa laki 4 means wanalamba chao 1500 hadi 2000 ,ukitoa tena wnachukua chao ,kuna uhuni mwingine wanaweka noti za elfu 5 hivyo max utachukua laki 2 tu na watalima buku jero hadi buku 2.
 
Tulisha discuss humu kwamba wanafanya wizi kama wizi mwingine ,ukitoa laki 4 means wanalamba chao 1500 hadi 2000 ,ukitoa tena wnachukua chao ,kuna uhuni mwingine wanaweka noti za elfu 5 hivyo max utachukua laki 2 tu na watalima buku jero hadi buku 2.

Ni kweli kwamba wanapaita faida lakini pia Kuna watu wanataka watoe 15,000 au 25,000, wakiweka noti zote za 10,000/- Hilo kundi litalalamika pia. Fikiria mtu ana 18,000 au 29,000 anataka atoe 15,000 au 25,000, itakuaje kama mashine imewekwa misimbazi tupu?
 
Ni kweli kwamba wanapaita faida lakini pia Kuna watu wanataka watoe 15,000 au 25,000, wakiweka noti zote za 10,000/- Hilo kundi litalalamika pia. Fikiria mtu ana 18,000 au 29,000 anataka atoe 15,000 au 25,000, itakuaje kama mashine imewekwa misimbazi tupu?

Sizungumzii hao wa 15,000 au 25,000 hata ukitaka kutoa laki 400 kwa pamoja hauwezi kwasababu wameweka elfu 5 tupu hivyo itakulazimu utoe laki 2 tu.
 
Sizungumzii hao wa 15,000 au 25,000 hata ukitaka kutoa laki 400 kwa pamoja hauwezi kwasababu wameweka elfu 5 tupu hivyo itakulazimu utoe laki 2 tu.
Narudi pale pale, ATM Ina makasha ya kuweka noti za 5k, 10k, 2k au vyovyote utakavyoamua mwenyewe. Sasa hua zinawekwa 10k na 5k. Ukiona unapata 5k peke yake, ujue noti za 10k zimeisha. Wengine wanaweka noti za 10k tu. Na wanakwambia kabisa, pesa unazotoa ziwe Kwa mafungu ya 10k.

Kuna benki unaweza kutoa hadi 900k Kwa mkupuo.
 
Back
Top Bottom