Full Blood Picture
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 2,223
- 3,961
Hapana, walibadirisha'CRDB nafikiri unaweza toa mpaka laki sita kwa mkupuo mmoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, walibadirisha'CRDB nafikiri unaweza toa mpaka laki sita kwa mkupuo mmoja.
Ndiyo uhuni huo tunaozungumzia ,hadi noti zinaisha hawaoni?
kuna baadhi ya atm za crdb zinatoa laki 6 kwa mkupuoBenki kupitia mashine zao za ATM wamekuwa na ukomo wa kiwango cha kutoa pesa. Kutoa kwa mara moja kiwango cha juu ni Laki nne.
Yaani kutoa Milioni moja mpaka uweke kadi mara 3 huu ni upotevu wa muda na ongezeko la gharama kwa wateja.
Kwa niaba ya wateja wenzangu ninaomba kiwango kiongezwe.
Wapi huko?CRDB kuna baadhi ya ATM unatoa mpaka 1M
Kwa wakati mmoja?NMB unatoa mpaka M3 kwa kutumia kad ile ya prepaid
CRDB ni 600k,huo ujinga uko NMBBenki kupitia mashine zao za ATM wamekuwa na ukomo wa kiwango cha kutoa pesa. Kutoa kwa mara moja kiwango cha juu ni Laki nne.
Yaani kutoa Milioni moja mpaka uweke kadi mara 3 huu ni upotevu wa muda na ongezeko la gharama kwa wateja.
Kwa niaba ya wateja wenzangu ninaomba kiwango kiongezwe.
NMB ni laki 2Benki kupitia mashine zao za ATM wamekuwa na ukomo wa kiwango cha kutoa pesa. Kutoa kwa mara moja kiwango cha juu ni Laki nne.
Yaani kutoa Milioni moja mpaka uweke kadi mara 3 huu ni upotevu wa muda na ongezeko la gharama kwa wateja.
Kwa niaba ya wateja wenzangu ninaomba kiwango kiongezwe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had baas. WoiiiihLile domo la ATM dogo mnataka lipanuliwe liwe kama shimo la Jehanamu litoe milioni kwa mara moja?
Mlihurumie jamani lile domo
kwani hii ina effect gan mkuuUnatumia benki gani na rangi (aina) ya card yako kwanza?