Kutoka 21:10 huu ni uzinzi au ndoa ya mke zaidi ya moja ilikuwa halali?

Hakuna mafumbo bana vitu viko wazi,mkipewa msitari unaenda kinyume na Imani yenu mnaanza habari za roho mtakatifu,mafumbo
Unataka kuifuatisha biblia kama ilivyo?
Je unaweza kufuatisha sheria ya jino kwa jino na auaye kwa upanga sharti auawe kwa upanga?

Kuna sheria ziliwahusu Wayahudi pekee tena kwa wakati ule tuu.
 
Tena wanaume wakiuona watasema kumbe ni ruhusa kuwa na wanawake wawili๐Ÿ˜…
Mathayo 19: 8-1
8 Akawaambia, Musa, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu; lakini tangu mwanzo haikuwa hivi.
9 Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
 
Kuna shida kubwa katika kutafsiri maandiko ya biblia, kuna maandiko mengi yapo kwenye biblia lakini hayasomwi makanisani. Mf kuhusu ndoa za mitara, kujichua nk.
 
"Naye amwoaye yule alieachwa azini" : Katika maelezezo yako hapo chini ni kama yamejichanganya . Mimi nilivyoelewa mwanamke akichwa kwa sababu ya uasherati akiolewa tena basi yule aliyemuoa azini .
 
Hii naijua hii๐Ÿค”
 
Sasa hapo Kuna fumbo!?..we ni punguwani,kitabu kimeandikwa na watu zama za mawe za kati wawe na mafumbo mtu wa Karne ya sayansi na tek ashindwe fumbua!!..acha ujuha
 
Unataka kuifuatisha biblia kama ilivyo?
Je unaweza kufuatisha sheria ya jino kwa jino na auaye kwa upanga sharti auawe kwa upanga?

Kuna sheria ziliwahusu Wayahudi pekee tena kwa wakati ule tuu.
Biblia ni kitabu Cha wayahudi,na Sheria ni hiyo ukiua uuawwe,ukimtoa mwenzio jino nawe utolewe,siyo uue Kisha uachwe unaburuza tu korodani zako duniani,patakua na wauaji wengi
 
Hahaha mimi sio kondoo mkuu tafuta kondoo uwashike masikio.
 
Sasa kwa nini iandikwe kwa mafumbo? Lengo la kufumba ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ