Kutoka 21:10 huu ni uzinzi au ndoa ya mke zaidi ya moja ilikuwa halali?

Kutoka 21:10 huu ni uzinzi au ndoa ya mke zaidi ya moja ilikuwa halali?

Mnakera mnaosema bibli
Isaya 4: 1
"Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu"
Ukisoma Biblia kama gazeti huwezi kupata maana kamili na utaishia kupata maana isiyo sahihi
Soma vizuri huo mstari mwisho unasema utoondelee aibu yetu? kwanini wanasema utoondelee aibu yetu?
Mungu hajaruhusu ndoa ya wake wengi, ameruhusu ndoa ya mke mmoja na mme mmoja tu. Amri kuu ya ndoa ilianza kwa Adamu na Eva kwenye bustani ya Edeni.
Mwanzo 2:22-25
"na ule ubavu alioutwaa katika Adamu BWANA Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu. Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume. Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja. Nao walikuwa uchi wote wawili, Adamu na mkewe, wala hawakuona haya"

Turudi kwenye mstari wako.
Huu mstari ni kama ilitabiriwa itakuwa hivyo ila haijaruhusiwa kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja.
Baada ya binadamu kuingia kwenye dhambi, akamuasi Mungu na kufuata matendo yao. Tamaa zikawa miongoni mwao ndiyo tunaona haki sawa kwa wanawake na mwanaume, wanawake wanataka mtu mwenye mali, hela, anajua kuoga, wanadanga, wanavaa nguo nusu uchi, wanaanza mapenzi wakiwa kwenye umri mdogo n.k
"Utakuta mwanamke anasema mimi naingiza milion 20 kwa mwezi na mwanaume anaingiza laki 5 kwa mwezi, unataka nikufulie nguo? Haiwezekani." Mwanamke kama huyu unaweza kumuoa? huwezi hata kumtuma akuletee maji ya kunywa. Ndiyo hao baadae watajikusanya wakitaka waolewe lakini watajihudumia wenyewe
Wanawake wanamali lakini matendo yao maovu na wamekosa watu wa kuwaoa kwasababu hawana sifa ndiyo unapata mstari utuondolee aibu yetu" Utakuta mwanamke anasema, nipe mimba nilee ili mradi tu awe na mtoto.
Jitahidini kusoma Biblia vizuri na haisomwi kama gazeti
A haiosomwi kama gazeti mbona baadhi ya vifungu huwa hamsemi hivyo
 
Katika Agano la Kale ilikuwa hivyo! Kwamba uliruhusiwa kuoa mke mwingine lakini katika Agano Jipya hairuhusiwi,
Mathayo5:30-31
Mathayo19:4-7
 
Isaya 4: 1
"Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu"
Ukisoma Biblia kama gazeti huwezi kupata maana kamili na utaishia kupata maana isiyo sahihi
Soma vizuri huo mstari mwisho unasema utoondelee aibu yetu? kwanini wanasema utoondelee aibu yetu?
Mungu hajaruhusu ndoa ya wake wengi, ameruhusu ndoa ya mke mmoja na mme mmoja tu. Amri kuu ya ndoa ilianza kwa Adamu na Eva kwenye bustani ya Edeni.
Mwanzo 2:22-25
"na ule ubavu alioutwaa katika Adamu BWANA Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu. Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume. Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja. Nao walikuwa uchi wote wawili, Adamu na mkewe, wala hawakuona haya"

Turudi kwenye mstari wako.
Huu mstari ni kama ilitabiriwa itakuwa hivyo ila haijaruhusiwa kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja.
Baada ya binadamu kuingia kwenye dhambi, akamuasi Mungu na kufuata matendo yao. Tamaa zikawa miongoni mwao ndiyo tunaona haki sawa kwa wanawake na mwanaume, wanawake wanataka mtu mwenye mali, hela, anajua kuoga, wanadanga, wanavaa nguo nusu uchi, wanaanza mapenzi wakiwa kwenye umri mdogo n.k
"Utakuta mwanamke anasema mimi naingiza milion 20 kwa mwezi na mwanaume anaingiza laki 5 kwa mwezi, unataka nikufulie nguo? Haiwezekani." Mwanamke kama huyu unaweza kumuoa? huwezi hata kumtuma akuletee maji ya kunywa. Ndiyo hao baadae watajikusanya wakitaka waolewe lakini watajihudumia wenyewe
Wanawake wanamali lakini matendo yao maovu na wamekosa watu wa kuwaoa kwasababu hawana sifa ndiyo unapata mstari utuondolee aibu yetu" Utakuta mwanamke anasema, nipe mimba nilee ili mradi tu awe na mtoto.
Jitahidini kusoma Biblia vizuri na haisomwi kama gazeti

Wewe ndio popoma kabisa unakwepesha maandiko,hao wanawake wameomba waolewe ili waondolewe aibu ya kutokua wake za watu,aibu ya kuitwa malaya,aibu ya kutokuolewa,acha kupotosha mtumwa wa kifikra hakuna mahali imekatwazwa kuoa mke zaidi ya mmoja.
 
"Naye amwoaye yule alieachwa azini" : Katika maelezezo yako hapo chini ni kama yamejichanganya . Mimi nilivyoelewa mwanamke akichwa kwa sababu ya uasherati akiolewa tena basi yule aliyemuoa azini .
Wewe ndiyo umejichanganya. Biblia unatakiwa usome ukiwa na utulivu wa akili ndiyo utaelewa bila hivyo utakuja na maana tofauti.
Sababu ambayo unatakiwa umuache mwanamke ni ya uasherati tu na siyo sababu nyingine yaani umemfuma wakizini. Ukimuacha kwasababu hii ukaoa mwanamke mwingine basi unakuwa haujazini hata yeye akiolewa hatakuwa hazini kwasababu umemuacha kwa usherati na ameolewa na mwanaume mwingine .
Sikiliza, baada ya kumuacha kwa usherati umeoa mwanamke mwingine na sasa huyu uliyemuacha kwasababu ya usherati basi mkarudiana huku tayari una mke mwingine hapo unakuwa unazini na yule mwanamke uliyemuacha kwa usherati. Unatakiwa kabla haujafanya jambo la kumuacha, umsamehe na mrudiane hapo ndoa inahesabika kwasababu bado haujamuacha, ukioa mwanamke mwingine wa pili, huyu mwanamke wa pili unakuwa tayari unazini naye kwasababu yule wa kwanza "haujamuacha".
Sehemu ambapo haujaelewa ni kuwa ukimuacha mwanamke si kwasababu ya uasherati unakuwa wewe uliyeoa mwanamke mwingine umezini na yule mwanamke atakuwa amezini.
Mbona Biblia ipo wazi kabisa. Tuliza akili mr utaelewa.
 
Bora wake wengi Rasmi
Kuliko kuchovya dudu ktk matundu yasiyo rasmi
 
Katika Agano la Kale ilikuwa hivyo! Kwamba uliruhusiwa kuoa mke mwingine lakini katika Agano Jipya hairuhusiwi,
Mathayo5:30-31
Mathayo19:4-7
Tatizo mnasoma Biblia kama gazeti. Biblia inatakiwa usome ukiwa na utulivu wa akili bila hivyo lazima uje na maana tofauti
Mathayo 19: 8-1
"Akawaambia, Musa, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu; lakini tangu mwanzo haikuwa hivi."
Agano la kale wapi wameruhusu uwe na wanawake wengi?
Hapo unatakiwa ujiulize Musa ni nani? Ndiyo maana napenda sana kusoma Biblia maana inakujenga katika kuwa na busara, hekima na mtu wa kufikiri unaposoma.
 
Wewe ndio popoma kabisa unakwepesha maandiko,hao wanawake wameomba waolewe ili waondolewe aibu ya kutokua wake za watu,aibu ya kuitwa malaya,aibu ya kutokuolewa,acha kupotosha mtumwa wa kifikra hakuna mahali imekatwazwa kuoa mke zaidi ya mmoja.
Pole sana inaonesha ni kwa jinsi gani ulivyo ni watu ya jamii ya wakina nabii tito, kibwetere na yule jamaa wa Kenya aliowaambia wafunge ili wamuone mungu, matokeo yake wakafa
Hakuna maandiko yoyote kwenye Biblia inayoruhusu uwe na mke zaidi ya mke mmoja. Soma huo mstari utaelewa una maanisha nini.
Biblia inahitaji utulivu wa akili bila hivyo lazima uje na maana tofauti kama nabii Tito na Kibwetere
 
Mnatumia Vitabu vya wazungu+waarabu waliokuwa wakiishi kulingana na mila zao alafu mnataka hizo taratibu zao zije zireflect maisha ya Afrika?

Yaan utumia sheria za jamii nyingine kuja kutoa hukumu kwa jamii ya mbali iliyoishi kwa maelfu ya miaka bila ya kutegemea sheria hizo wala kuathirika kivyovyote pasipo uwepo wa hizo sheria ngeni?

Acheni upumbavu na hizo dini zenu za kikuda.
 
Kutoka 21:10

Kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa.

Hata mitume na manabii wapo waliooa wake wengi, je walikuwa wanazini?

Kinachofatwa ni maandiko au tamaduni za Ulaya ambazo ilibidi makanisa yalioanzishwa Ulaya yafate?
Bandali tumeipa mgongo naona sasa tumegeukia kufaidi unyumba. Hapo ndo nawapendea wsbongo. Hadi nahisi kuchizika kwa raha ya maisha ya wabongo baada ya miaka hamsini ijayo.
Sasa serikali ina dini. Marufuku kusaforisha bidhaa ya nguruwe kupitia bandarini. Iwe chakul, msdawa au bidhaa yoyote ya nguruwe. Karibuni Dubai Tanzania.
 
Bandali tumeipa mgongo naona sasa tumegeukia kufaidi unyumba. Hapo ndo nawapendea wsbongo. Hadi nahisi kuchizika kwa raha ya maisha ya wabongo baada ya miaka hamsini ijayo.
Sasa serikali ina dini. Marufuku kusaforisha bidhaa ya nguruwe kupitia bandarini. Iwe chakul, msdawa au bidhaa yoyote ya nguruwe. Karibuni Dubai Tanzania.
Mambo ya bandari nenda kwenye jukwaa husika, unatafuta nini majukwaa yasiyohusu unachotaka kusoma,
 
1)Ukipata kwenye biblia maandiko yoyote ya kigiriki yani kuanzia mathayo ikiwa yanahadithia au kueleza kuhusu ndoa za wake wengi nitakuamini. 2)Kingine tafakaru na usome ndoa za wake wengi zote kwenyw biblia ikiwa zilikua na shida au raha ndo utagundua jambo. Na 3) Wakat Mungu anamuumbia adam hawa au eva kama mke wake alisema "mwanamke atamwacha baba yake na kuungana na mume wake nao watakua mwili mmoja" au alisema "watakua zaidi ya mwili mmoja". Ukifanikiwa kusoma na kutafakari hayo then njoo tuchambue bibLia kwann Yesu alisisitiza sana ndo ya mke na mume mmoja
 
Kutoka 21:10

Kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa.

Hata mitume na manabii wapo waliooa wake wengi, je walikuwa wanazini?

Kinachofatwa ni maandiko au tamaduni za Ulaya ambazo ilibidi makanisa yalioanzishwa Ulaya yafate?
Wewe unafuata tamaduni za ulaya au kitabu cha Biblia?Chagua mojawapo hapo kufuata Utamaduni wa ulaya au kitabu cha biblia takatifu.
 
Back
Top Bottom