Kutoka Bungeni: Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa wapitishwa kuwa Sheria

Wamechelewa sana hii inaweza kuwa kifo kwa CCM kama kweli ndio lengo lao. Kwa karne hii Ukomnisti wala usociolist haupo tena na capitalist ndo kama wanaufagia fagia utoweke kabisa duniani. Sasa hawa watu waliokuwa wapiga debe hawawezi kuelewa haya mambo makubwa.
 
Hata mkitunga uongo muswada ndo ushapita hivyo TULIENI DAWA IWAINGIE.
NO FURTHER DISCUSSION OPEN.
 
CCM ndy chama ambacho kimefikisha nchi hapa ilipo,kama ndy mawazo ya mtu ambaye alikuwa kipindi hicho cha JK waziri na akachaguliwa pia na JPJM akawa waziri na inawezekana pia ni mojawapo ya watu ktk ile taasisi nyeti kabisa ya taifa, basi utajua tu mawazo ya hiyo taasisi yetu nyeti yameganda kama siyo tu yapo pomomo kama wasemavyo wana great thinkers hapa JF na kama wakiendelea kuwepo basi maendeleo tutayasikia kwenye Tv na magazeti tu.

maendeleo ya vyama ndy maendeleo ya demokrasia na maendeleo hayana vyama[Rais ya jamhuri wa Tz]
 
mkuu umeshajiuliza ni kwanini Jf tunatumia fake ID?

hili ndio jukwaa pekee unaloweza kuandika chechote, haijalishi kitamgusa nani, ila kiwe cha kweli

Weka ushahidi wa taarifa yako, you have to know, we dare to speak openly here.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuelewa Nyakubonga ila kuna baadhi ya threads zangu kadhaa muhimu nilizofunguka freely zilishawahi kufutwa humu ndani bila taarifa yoyote. Naogopa nisije nikachezea Ban!
 
Nakuelewa Nyakubonga ila kuna baadhi ya threads zangu kadhaa muhimu nilizofunguka freely zilishawahi kufutwa humu ndani bila taarifa yoyote. Naogopa nisije nikachezea Ban!
mkuu hapa Jf, member hapigwi ban kwa kuandika ukweli, we andika tu

Wanaopigwa ban humu ni watukanaji, wazushi na wanaoweka hadharani mambo ya pm.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwendraaaaa uko hata Neno ulijui walahi
Na utakufa kama Abeli walahi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapiga kura wake jimboni kwake wamemsikia ?Ndio walichomtuma au kwa kusema hivyo ndio jiwe atamrudisha kwenye uwaziri .
 
Chadema kwisha kabisa habari yenu...mpaka mnaanza kumsingizia bundi
 
People suffer so much,they don't have time to smile,politicians cause it-Robert(Bob)Nesta Marley.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…