Kutoka dimba la Taifa: Simba SC watakata! Wairarua Singida Utd goli 4 kwa nunge, wajikita kileleni kwa alama mbili zaidi

Kutoka dimba la Taifa: Simba SC watakata! Wairarua Singida Utd goli 4 kwa nunge, wajikita kileleni kwa alama mbili zaidi

Yaani leo mnyama analiwa live [emoji12] [emoji12] [emoji12]



Umewahi Kusikia Mnyama Simba Kuliwa na Sungura???
[HASHTAG]#Chura[/HASHTAG] ndiyo Kimekumbana na Ubao Wa Mvinje Hakikufurukuta! 😀 😀 😀
 
999fbd1b0a050d4cd051cca3669852dd.jpg
 
hili limenifanya nicheke sana. jana siku nzima wachezaji wa singida wanazunguka zunguka kwenye mabasi ya mwendo kasi na kupanda train ya mwakyembe.asubuhi niliowana kwenye train wametoka ubungo wanaenda posta wakageuza nalo. wakarudi ubungo kwenda kupanda mabasi ya mwendo kasi. wakazunguka kote kimara,morocco,kariakoo na posta. jioni wakaenda kupiga picha daraja la kigamboni. sijui walirudi saa ngapi na kupumzika. leo wamegongwa vinne wakawaambie dada zao kule jangwani.

wameniudhi sana kwa mambo yao ya kipuuzi. si wangesubiri wamalize mechi ndo wakapige selfie?
 
Simba Raha Sana [emoji92]
[emoji306]
[emoji316][emoji316][emoji316][emoji316][emoji316]
[emoji316][emoji91][emoji316][emoji316][emoji316][emoji91][emoji316]
[emoji316][emoji316][emoji316][emoji316][emoji316][emoji316][emoji316][emoji316]
[emoji316][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji316]
[emoji316][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji316]
[emoji316][emoji316][emoji316][emoji316][emoji316]
 
Hahahaha,
Kwa kiingereza muite thank you Kwasi
Kwa wanyakyusa muite ndaga Kwasi
Kwa wajita muite Wakondya kwasi
Kwa wasukuma muite wabheja kwasi
Kwa wamasai muite khashi kwasi,
Kwa kinyiramba muite songela kwasi,
Kwa kichaga muite Eeka Kwasi,
Kwa kinyiha muite Wasalipa Kwasi
Duuuuuuh, raha sana!!!!!!!
Asante sana Kwasi
 
Mambo ni hivi [emoji258] [emoji258] [emoji258] [emoji258] [emoji258] [emoji258] [emoji258] [emoji258] [emoji258] [emoji258] [emoji258] [emoji258] [emoji258] [emoji258] [emoji258]
 
hili limenifanya nicheke sana. jana siku nzima wachezaji wa singida wanazunguka zunguka kwenye mabasi ya mwendo kasi na kupanda train ya mwakyembe.asubuhi niliowana kwenye train wametoka ubungo wanaenda posta wakageuza nalo. wakarudi ubungo kwenda kupanda mabasi ya mwendo kasi. wakazunguka kote kimara,morocco,kariakoo na posta. jioni wakaenda kupiga picha daraja la kigamboni. sijui walirudi saa ngapi na kupumzika. leo wamegongwa vinne wakawaambie dada zao kule jangwani.

wameniudhi sana kwa mambo yao ya kipuuzi. si wangesubiri wamalize mechi ndo wakapige selfie?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji115]
 
Back
Top Bottom