Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Hapana mkuu TISS generally inafanya ndani na nje ya nchi nahisi ndani yake ndio section za kudeal na mambo ya ndani tu na ya nje ila FBI yenyewe ina deal na ndani tu ila CIA ndio ina deal na mambo ya nje btw marekani ana communities zaidi ya 17 za usalama, CIA iko independent sana ndo mana perfomance yake ipo juujet TISS tunaweza kufaninisha na FBI kiutendaji???maanake hawa wote wanafanya kazi zao ndani ya mipaka ya nchi tu..
wajumvi wa mambo tusaidiane kwa hili.....
Iko chini ya Ofisi ya RaisHivi TISS ipo wizara gani? naomba mnisaidie hapo
Duh!! Shifting tena????Hapo kwenye commisioner of magereza ungeandika commisioner of prisons, na huyo wa migration ukaandika commissioner of shifting
Ukiangalia Protokali ya ukaaji wao katika hafla mbalimbali huwa anaanza CDF, IGP ndo anafata DG TISS.
Kwa mtiririko huo Inawezekana IGP akawa yupo juu ya DG.
DG TISS na IGP vyeo vyao vimefanana hata mishahara yao imelingana tofauti ni ya majukumu yao(ingawaje wote ni maafisa usalama)
siwezi kukujibu
Hivi huwa wanaramba payroll marambili au ?Yaaani kama vile jamaa wa TISS awe ni DPP,atakula Mshahara wa DPP na TISS?
Sent using Jamii Forums mobile app
siwezi kukujibu
Utanisalimia nikiwa meja[emoji23] ila kamanda uko bize sana siku hizi tangu upewe kamisheni.
5/5
IGP ni mkubwa kuliko DG hata kiitifaki ipo hivyo.CDF, IGP, DG-TISS, CGP..
5/5
Inaweza ikawa kweli ila TPDF hawashauri magogoni kila siku kama hawa wadukua simu wa TISS, Wadukua simu wapo karibu sana na mtukufu kuliko hao wapiga kwata.TPDF, TISS,..............
Mbona umemsahau kamishna wa mgamboHivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
P
- Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
- CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
- DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
- IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
- Commissioner of Magereza
- Commissioner of Uhamiaji
- Commissioner of Zimamoto
- Commissioner wa Tume ya madawa kulevya
Anaitwa mshauri wa mgambo
Siku watakapokung'oa meno kwa bisibisi ndio utajua ni wanajeshi au ni raia. Waulize Clouds Media watakwambia Bashite alivamia na raia au na wanajeshi.Hivi kumbe kuna jeshi la usalama
Hivi takukuru umewasahau kwa makusudi ama kwa bahati mbayaHivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
P
- Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
- CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
- DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
- IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
- Commissioner of Magereza
- Commissioner of Uhamiaji
- Commissioner of Zimamoto
- Commissioner wa Tume ya madawa kulevya
Halafu hukupanga kwa itifakiHivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
P
- Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
- CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
- DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
- IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
- Commissioner of Magereza
- Commissioner of Uhamiaji
- Commissioner of Zimamoto
- Commissioner wa Tume ya madawa kulevya
Hivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
P
- Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
- CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
- DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
- IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
- Commissioner of Magereza
- Commissioner of Uhamiaji
- Commissioner of Zimamoto
- Commissioner wa Tume ya madawa kulevya
Wewe unaota mkuu wa Tiss ana report kwa katibu mkuu kiongozi atakuwaje mkubwa kuliko IGP??Hivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
P
- Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
- CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
- DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
- IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
- Commissioner of Magereza
- Commissioner of Uhamiaji
- Commissioner of Zimamoto
- Commissioner wa Tume ya madawa kulevya
Acha uongo toka lini DSO akawa mkubwa kuliko OCD???DG wa TISS ni mkubwa huyo ndo msimamizibwa usalama wa nchi, polisi ambao IGP anawaongoza ni sehemu ya walinda usalama pamoja na majeshi mengine.
Ndo maana katika level za Wilaya DSO kiitifaki ni mkubwa kuliko OCD au RSO kiitifaki ni mkubwa kuliko RPC kwa level ya mkoa
Sent using Jamii Forums mobile app