Kutoka kuwakoromea Mawaziri hadi mpokea Mwenge wa Uhuru; kutoka kutumia magari lukuki hadi kwenye gari moja

Kutoka kuwakoromea Mawaziri hadi mpokea Mwenge wa Uhuru; kutoka kutumia magari lukuki hadi kwenye gari moja

Maisha ni mzunguko, unapokuwa mkubwa heshimu watu kwani bila watu uwezi kuwa mtu mkubwa.

Unapoaminiwa rizika na kidogo unachopata na kumwachia aliyekuamini akupe kikubwa zaidi

Tambua ipo siri kubwa ya kukutanisha na MWENYEKITI wa CCM Arusha Mzee Sabaya ambaye mikono yake inanuka ukatili.

Waliokupeleka huko wanafahamu kwamba ikizingua watakinukisha na wewe automatically utakosa wakisimama naye. Hakuna msimamo tena ndani ya chama kuna misimamo.

Arusha to Singida
Ushamba mzigo sana
 
Maisha ni mzunguko, unapokuwa mkubwa heshimu watu kwani bila watu uwezi kuwa mtu mkubwa.

Unapoaminiwa rizika na kidogo unachopata na kumwachia aliyekuamini akupe kikubwa zaidi

Tambua ipo siri kubwa ya kukutanisha na MWENYEKITI wa CCM Arusha Mzee Sabaya ambaye mikono yake inanuka ukatili.

Waliokupeleka huko wanafahamu kwamba ikizingua watakinukisha na wewe automatically utakosa wakisimama naye. Hakuna msimamo tena ndani ya chama kuna misimamo.

Arusha to Singida then bench
Vuta Nkuvute leo anakula Pasaka wapi?
 
Tatizo msoga remote! Samia hajui CCM ina ugumu gani mtaani! Anaamini kila neno atavuna mabua! Eti Makala mwenezi kichwa cha mwenda wazimu!
Na wewe ni Mwanajamii Forums?

Bora uishie Facebook huko.

Hakuna Mwanajamii Forums anayeamini Ccm inashinda kwa kura.
 
Kama kuna mtu mmoja muaminifu kwa Samia ndani ya CCM ukiacha watoto wake basi ni Makonda!

Makonda alikuwa tayari ameanza kuirudisha CCM iliyokuwa imepooza, kwa propaganda zake tayari watu walishaanza kuona 'umagufuli' ukirejea. Ukifanya uchunguzi nje ya hii mitandao, Makonda anakubalika sana na watu, wale ambao sio wa mitandaoni, ambao mara nyingi ndio wapiga kura wasiochoka.

Najua aliyemtengua ana vyombo vingi vya kumpa habari kuliko mimi, ila natamani kusema kama ameshauriwa kumtoa hapo uenezi basi aliyemshauri amempotosha na hamtakii mema kama anayo nia hiyo 2025!

Kuhusu Makala, sijui kama kuna sehemu amewekwa akafaa.
Shida moja anamtukuza mwendazake Kila muda waache wafu wazike wafu wenzao
 
Kama kuna mtu mmoja muaminifu kwa Samia ndani ya CCM ukiacha watoto wake basi ni Makonda!

Makonda alikuwa tayari ameanza kuirudisha CCM iliyokuwa imepooza, kwa propaganda zake tayari watu walishaanza kuona 'umagufuli' ukirejea. Ukifanya uchunguzi nje ya hii mitandao, Makonda anakubalika sana na watu, wale ambao sio wa mitandaoni, ambao mara nyingi ndio wapiga kura wasiochoka.

Najua aliyemtengua ana vyombo vingi vya kumpa habari kuliko mimi, ila natamani kusema kama ameshauriwa kumtoa hapo uenezi basi aliyemshauri amempotosha na hamtakii mema kama anayo nia hiyo 2025!

Kuhusu Makala, sijui kama kuna sehemu amewekwa akafaa.
Samia sijaona mtu wa kumfanyia kampeni kama Mwenezi Polepole wakati wa JPM! Nikwambie hakuna mvuto wowote CCM wanao kwa wananchi tofauti na kumtumia Makonda!
Wanaona atakubalika sana na kuna uwezekano walitaka kumtoa kabisa ila Chama kitatingishika!
Siku Samia akiacha kumsikiliza JK ataanza kufanikiwa!
 
Huyu dogo hajifunzi. Watu ndio wanakupandisha na watu ndio wanakushusha.
Makonda ni political figure utake usitake usije ukashangaa wakamrudisha tena ndani ya chama kabla ya uchaguzi!
Kuna kikundi kidogo cha watu wazito hapo ndani ndo hakimtaki Makonda wanaumia sana kwa alivyokuwa anajaza mikutano yake!
 
Hii Nchi, inaumizwa Kwa kua na Rais wajinga, wapumbavu namna ya Mtoa Uzi Huu.


Hivi Kwa Kazi nzuri anayoonyesha Paul Makonda, Ukiondoa mapungufu yake ambaye hata wewe unayo.

Unapata wapi Gut za kumcheka na kumponda Mh Paul Makonda?.

Ziara zake alizofanya, Kuonyesha Wananchi wanataka nn, kuonyesha mashimo yote ya upigaji ,uvivu, Uzembe ,ufisadi, kutokuwajibika, Uonevu , kuchelewesha Kwa miradi , n.k , Kwa Uwezo wake, Changamoto zilizokua mikononi mwake, akafanikiwa kuzitatua hapo hapo, nyingine akazipeleka panapotakiwa.


Utamwambia nn, Mama ambaye alikua akizungushwa, akiliwa Pesa zake ,akionewa kisa wahuni fulan tu wa Ardhi?.

Vipi kuhusu waloonewa na Polis ?.

Vipi wale ambao ilionekana mahakama waziwazi kabisa, imewanyima haki zao?.

Vipi wale waloonewa na Watumishi wa Halmashauri ?.


Paul Makonda Kwa muda wake mfupi, alifanya CHAMA kikaaminika ghafla, Paul Makonda Kwa muda wake, alifanya Watumishi wa Halmashauri nyingi Nchini kuanza kubadilika na kuchukua hatua , Kila Halmashauri ilipopata Taarifa za ujio wa Makonda, wakifanya kazi usiku na mchana bila kulala .

Na Matokeo yakaonekana.



Watanzania, kama tutaendelea na akili za kipumbavu namna hiii, hautakaa kupiga hatua yoyote.

Nchi Sasa umerudi mikononi mwa Matajiri Akina GSM, Familia za JK ,Makamba ..hivi kweli watu Hawa wachache , ndio ambao wanatoa Dira ya Taifa lenye watu million 60?? Na bado mnacheka kindezi kindezi??.


Tulikua na HAYATI JPM, alojitoa Maisha yake , mud wake mfupi aloishi, ukatosha kutuonyesha ni kitu gan tulikosa.

Akafariki, Wajinga wakacheka, Sasa kinachoendelea Leo, kimewafanya mmkumbuke.


Fikra za ukombozi, kwakua hazifi, Leo tunao Akina PAUL MAKONDA... badala ya kuwaunga mkono, nasisi tunaburuzwa na wpaumbavu wachache, wazandiki na mafisadi kiasi Cha kua wasaliti Kwa watu wa aina ya Makonda.



Leo hii, Jerry Silaa, anapambana kuhakikisha Migogoro ya Ardhi inaishia..ila naye tayari nmeanza kumtengenezea Zengwe la kufa mtu.


Mnataka nini?.
Hatuwataki CCM... mtuwache
 
Na wewe ni Mwanajamii Forums?

Bora uishie Facebook huko.

Hakuna Mwanajamii Forums anayeamini Ccm inashinda kwa kura.
Basi sawa wewe unajua! Hata wizi wa kura unahitaji uhalisia unaiba lakini pia unauwezo wa kudefend huo wizi!
 
Maisha ni mzunguko, unapokuwa mkubwa heshimu watu kwani bila watu uwezi kuwa mtu mkubwa.

Unapoaminiwa rizika na kidogo unachopata na kumwachia aliyekuamini akupe kikubwa zaidi

Tambua ipo siri kubwa ya kukutanisha na MWENYEKITI wa CCM Arusha Mzee Sabaya ambaye mikono yake inanuka ukatili.

Waliokupeleka huko wanafahamu kwamba ikizingua watakinukisha na wewe automatically utakosa wakisimama naye. Hakuna msimamo tena ndani ya chama kuna misimamo.

Arusha to Singida then bench
Akakimbizane sasa na Walimu kukusanya michango ya Mwenge
 
Makonda ni political figure utake usitake usije ukashangaa wakamrudisha tena kabla ya uchaguzi!
Kuna kikundi kidogo cha watu wazito hapo ndani ndo hakimtaki Makonda wanaumia sana kwa alivyokuwa anajaza mikutano yake!
Kwani kujaza mkutano kwa CCM unadhani ni kazi ngumu? Makonda hana adabu kwa wakubwa zake na anapenda kujimwambafai sana akipata nafasi . Nasikitika sana hakujifunza kipindi chote alichokua benchi.
 
Kwani kujaza mkutano kwa CCM unadhani ni kazi ngumu? Makonda hana adabu kwa wakubwa zake na anapenda kujimwambafai sana akipata nafasi . Nasikitika sana hakujifunza kipindi chote alichokua benchi.
Sio kazi sawa! Hao wakubwa wakikosewa adabu au kunyimwa adabu wewe unapata nini?
Hao unaojidai hapa ni viongozi wako wengi wao ni wezi n hawana msaada wowote kwako!
Nitajie nani kiongozi ndani ya CCM kwa saaa wenye ushawishi kwa wananchi kumzidi Makonda? Kwa maana hata Samia anazidiwa na Makonda kiushawishi!
 
Sio kazi sawa! Hao wakubwa wakioewa adabu au kunyimwa adabu wewe unapata nini?
Hao unaojidai hapa ni viongozi wako wengi wao ni wezi n hawana msaada wowote kwako!
Nitajie nani kiongozi ndani ya CCM kwa saaa wenye ushawishi kwa wananchi kumzidi Makonda? Kwa maana hata Samia anazidiwa na Makonda kiushawishi!
Samia
 
Back
Top Bottom